Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

JIWE ALIKUWA NA PH.D YA MAGUMASHI NA NDIO MAANA ALIKUWA ANAWAKA BEN SAANANE ALIPOKUWA ANAHOJI JUU YA UHALALI WA PH.D YAKE!!! MASIKINI IKAWA NDIO HUKUMU YAKE NA KUPOTEZWA.
Kabla ya PhD manake alikuwa na degree ya kwanza na ya pili masters tupo sawa!
Zau nimekuacha!
 
Kabla ya PhD manake alikuwa na degree ya kwanza na ya pili masters tupo sawa!
Zau nimekuacha!
Sio lazima uwe na Masters degree ili kutunukiwa PhD!
Nawafahamu watu waliofuzu degree ya kwanza na kwenda straight kwenye PhD program!!
Lakini Sio vyuo vya bongo!
 
Kwa wajuzi naomba kujua kiwango cha elimu Cha Rais wetu wa sasa mama Samia Suluhu Hassan na pia kujua viwango vya elimu vya Marais watano waliopita na siyo vibaya tukaujua ni Rais yupi alikuwa na elimu kubwa zaidi na Rais yupi alikuwa na elimu ndogo. Lengo ni kufahamu wasifu na historia za viongozi wetu wakuu wa nchi.

Lakini pia naomba kujuzwa katika Katiba kuna kipengele kinachozungumzia suala la kiwango cha elimu anachopaswa kuwa nacho Rais wa nchi au halijatajwa hilo.

Je, kiwango cha elimu kina athari gani kwa uongozi mkubwa kabisa katika nchi? Hili ningependa nijulishwe na wabobezi wa siasa.
Mwenzio saa 8 hivi hivi aliuliza mpaka leo yuko mahali pema
 
Back
Top Bottom