Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

Mleta bandiko,naona hujui maana ya elimu,
Tafuta maana ya neno elimu kwanza.
Kujaza vyeti sio elimu,elimu ni zaidi ya kujaza vyeti,rejea kwa tajiri bilionea mwenye makampuni ya Alibaba,anaitwa Jack ma,aliwahi sema Nini kuhusu elimu.
Karume mtoto,alikuwa raisi wa Zanzibar na elimu ya kidato Cha sita tu,lakini alifanya makubwa kuliko watangulizi wake,Ila hakumzidi baba yake,na karume baba inasemekana hakuwa na elimu kubwa alifanya mengi moakay Leo hayajawahi fanywa na raisi yeyote aliekuja mpaka Hadi Sasa.
 
Nyerere hakuwai kuwa na degree, soma historia yake. Pia katiba ya Sasa sidhani Kama imetamka elimu ya rais. Katiba pendekezwa ndio Ina hicho kigezo
Elimu ya Nyerere ilikuepo ni Masters
Screenshot_2021-04-19-09-31-25-63.jpg
 
Kwa wajuzi naomba kujua kiwango cha elimu Cha Rais wetu wa sasa mama Samia Suluhu Hassan na pia kujua viwango vya elimu vya Marais watano waliopita na siyo vibaya tukaujua ni Rais yupi alikuwa na elimu kubwa zaidi na Rais yupi alikuwa na elimu ndogo. Lengo ni kufahamu wasifu na historia za viongozi wetu wakuu wa nchi.

Lakini pia naomba kujuzwa katika Katiba kuna kipengele kinachozungumzia suala la kiwango cha elimu anachopaswa kuwa nacho Rais wa nchi au halijatajwa hilo.

Je, kiwango cha elimu kina athari gani kwa uongozi mkubwa kabisa katika nchi? Hili ningependa nijulishwe na wabobezi wa siasa.
Mbona nilisikia ana Masters in economic development?
 
Yule jamaa sijui alipataje PhD? Kwangu mimi bila kujali kiwango cha elimu, marais vichwa walikuwa ni Julius, Benjamin na Jakaya!
Kuna jina hapo,hujalitendea haki kuliweka hapo ,vichwa ni nyerere,mkapa na jpm. jakaya ni janja ,janja na mission town.
 
Elimu ni makaratasi tu, wasomi ndiyo watu wasio na maendeleo nchi hii kwasababu ya kushindwa kuthubutu......Tumwache mama apige mbombo
mbombo ya urais ngafu fijo mkuu,kitabu muhimu angalau ka digirii,maana mikataba mingi ya kibiashara ni ya wazungu,madini,utarii,anga,majini n.k,kitabu ni muhimu ili kwenda nao sambamba .
 
Kuwa Rais wa Tanzania siyo lazima uwe na Degree.

Degree ni upumbavu mwingine usio na maana yoyote.

Note: Sijasema anayo au hana: Ila degree karne hii ya 21 siyo issue. Dunia iko kwenye SKILLS na PERFORMANCE.
Wewe sikununulii pepsi. ..

Kanywe Grand Malt kwa mangi jioni nitafanya muamala
 
mbombo ya urais ngafu fijo mkuu,kitabu muhimu angalau ka digirii,maana mikataba mingi ya kibiashara ni ya wazungu,madini,utarii,anga,majini n.k,kitabu ni muhimu ili kwenda nao sambamba .
Naloli Nyambala......ila sifa ya kwanza lazima awe na angalau kadigrii,ko alinako nkamu......na master's na vitraining vinginevyo hawezi kukosa.......
 
Kwahiyo tukubaliane kuwa elimu ya mama ni ya hapa na pale?
 
Mama alipigwa mimba na kuolewa akiwa na miaka 18 tu, hizo unazoita elimu unafikiri alizipata saa ngapi?
 
Apo ungemtoa mmoja ungemuweka JPM that's true
Yule jamaa sijui alipataje PhD? Kwangu mimi bila kujali kiwango cha elimu, marais vichwa walikuwa ni Julius, Benjamin na Jakaya!
 
Back
Top Bottom