Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 466
- Thread starter
- #181
Kapitie tena Ile hotuba yake ya kwa Mu7 halafu utanipa majibu hapa .Dalili zipi zitaje ? Au hajui kiingereza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapitie tena Ile hotuba yake ya kwa Mu7 halafu utanipa majibu hapa .Dalili zipi zitaje ? Au hajui kiingereza
Sijui amezikwa wapi?MASIKINI IKAWA NDIO HUKUMU YAKE NA KUPOTEZWA
Elimu ya Nyerere ilikuepo ni MastersNyerere hakuwai kuwa na degree, soma historia yake. Pia katiba ya Sasa sidhani Kama imetamka elimu ya rais. Katiba pendekezwa ndio Ina hicho kigezo
Mbona nilisikia ana Masters in economic development?Kwa wajuzi naomba kujua kiwango cha elimu Cha Rais wetu wa sasa mama Samia Suluhu Hassan na pia kujua viwango vya elimu vya Marais watano waliopita na siyo vibaya tukaujua ni Rais yupi alikuwa na elimu kubwa zaidi na Rais yupi alikuwa na elimu ndogo. Lengo ni kufahamu wasifu na historia za viongozi wetu wakuu wa nchi.
Lakini pia naomba kujuzwa katika Katiba kuna kipengele kinachozungumzia suala la kiwango cha elimu anachopaswa kuwa nacho Rais wa nchi au halijatajwa hilo.
Je, kiwango cha elimu kina athari gani kwa uongozi mkubwa kabisa katika nchi? Hili ningependa nijulishwe na wabobezi wa siasa.
alipewa sadaka na UDOM.PhD gani ya kuungaunga! Mwenye elimu kubwa ni Dr Jakaya mwenye Phd isiyokuwa na shaka.
Kuna jina hapo,hujalitendea haki kuliweka hapo ,vichwa ni nyerere,mkapa na jpm. jakaya ni janja ,janja na mission town.Yule jamaa sijui alipataje PhD? Kwangu mimi bila kujali kiwango cha elimu, marais vichwa walikuwa ni Julius, Benjamin na Jakaya!
mbombo ya urais ngafu fijo mkuu,kitabu muhimu angalau ka digirii,maana mikataba mingi ya kibiashara ni ya wazungu,madini,utarii,anga,majini n.k,kitabu ni muhimu ili kwenda nao sambamba .Elimu ni makaratasi tu, wasomi ndiyo watu wasio na maendeleo nchi hii kwasababu ya kushindwa kuthubutu......Tumwache mama apige mbombo
Wewe sikununulii pepsi. ..Kuwa Rais wa Tanzania siyo lazima uwe na Degree.
Degree ni upumbavu mwingine usio na maana yoyote.
Note: Sijasema anayo au hana: Ila degree karne hii ya 21 siyo issue. Dunia iko kwenye SKILLS na PERFORMANCE.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani mbona tunatishana tena situmekubaliana kuwa Sasa hivi ni Uhuru wa kuongea jamani?
Huyu JK ana Bachelor tu ya Udsm. Hiyo PhD unayosikia ni ya heshima, yaani ya kuzawadiwa, siyo ya kusomeaPhD gani ya kuungaunga! Mwenye elimu kubwa ni Dr Jakaya mwenye Phd isiyokuwa na shaka.
Naloli Nyambala......ila sifa ya kwanza lazima awe na angalau kadigrii,ko alinako nkamu......na master's na vitraining vinginevyo hawezi kukosa.......mbombo ya urais ngafu fijo mkuu,kitabu muhimu angalau ka digirii,maana mikataba mingi ya kibiashara ni ya wazungu,madini,utarii,anga,majini n.k,kitabu ni muhimu ili kwenda nao sambamba .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Phd yakupewaPhD gani ya kuungaunga! Mwenye elimu kubwa ni Dr Jakaya mwenye Phd isiyokuwa na shaka.
Kuna mmoja alipewa uprof na China na kama sijakoseaRaisi mwenye elimu kubwa nadhani ni Hayati Magufuli ana Phd,mengine watanzania wenzangu wataongezea
Yule jamaa sijui alipataje PhD? Kwangu mimi bila kujali kiwango cha elimu, marais vichwa walikuwa ni Julius, Benjamin na Jakaya!
Elimu haina mahusiano na matambiko/kabila ndio ..........Mnataka kujua elimu ya Rais kwani mnataka kutambika?