Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Naomba kuona CV yake.Ana degree.Huyo jamaa ni wale MATAGA wasumbufu!
Halafu mbona huweki CV ya mama?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kuona CV yake.Ana degree.Huyo jamaa ni wale MATAGA wasumbufu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yeye ameuliza Marais jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikuwa kwenye pombe za mataputapu huyu, ndiyo maana hakusikiliza!
Yaani karne ya 21 unasumbua mtu akupe CV ya mtu kama Rais au Mbowe?!Huo mbona ni uvivu wa kishamba sana?Naomba kuona CV yake.
Halafu mbona huweki CV ya mama?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mimi nimeisikiliza Wasifu wa mama kwenye TV,walisema ana masters..wewe hapa umekuja kusema wametudanganya,basi tunaomba CV ya kweli.Yaani karne ya 21 unasumbua mtu akupe CV ya mtu kama Rais au Mbowe?!Huo mbona ni uvivu wa kishamba sana?
Unaweza ukawa na Advance diploma utaenda masters kama sikosei, na inategemea Uko wapi na unafanya nini kuna wakati ukishakua mtu mzima qualifications sio kipaumbele zaidi ya work experience yako
Kikwete alikuepo na Degree moja ya uchumi kilimo . Na yenyewe ilikuepo alipata gentlemen degree yenye matokeo ya chini kabisa. Hizo zote Kikwete alitunukiwa tuu na wazungu asilimia kubwa. Nyerere degree ya ualimu Makelele university na Magufuli ana PhD ya chemistry, MSc chemistry na BSc education chemistry and mathematics
Kipindi anasoma Madam chuo cha IDM Mzumbe sasa Mzumbe University kilikua kinatoa Advanced Diploma which was equivalent to Bachelor Degree.Degree ya pili. Ila ya kwanza hana.
Hapo alitumia lugha ya kujishusha (humble language),wewe ukanasia hapohapo. Elimu kibwa haisababishi mtu kuwa kiongozi mzuri,unaweza kuwa na raisi mwenye PhD lakini akaigawa nchi vipandevipande na kumuacha nchi katika makovu ambayo inachukua mda kufutika.Na je Rais wa Sasa amefikia huko maana nliwah msikia yeye mwenyewe Kama elimu yake ni ya kuungaunga.
Dah[emoji23]Hana ila ana masters ya kuunga unga. Huyo alifeli form four,sema aliunga unga. Ila katika maisha mwisho ndo unaocount. Nampongeza baada ya kufeli skuli,hakukata tamaa.
Kwani elimu zote si za kuungaunga mkuu ? Au kuna elimu ambayo si ya kuungaunga mkuu ? Primary to secondary to A level or certificate then diploma then degree etcNa je Rais wa Sasa amefikia huko maana nliwah msikia yeye mwenyewe Kama elimu yake ni ya kuungaunga.
Dalili zipi zitaje ? Au hajui kiingerezaNimeanza kup mashaka na elimu yake mkuu sababu Kuna dalili mbaya nyingi kuwa huenda kiwango chake hakiridhishi
Sasa wee jamaa unamcheka mwinyi au uyo alietoa jawabu?Hahaha
Una elimu ganiNimeanza kupata mashaka na elimu yake mkuu sababu Kuna dalili mbaya nyingi kuwa huenda kiwango chake hakiridhishi
Hakuna kituDalili zipi zitaje ? Au hajui kiingereza
What is hypocracy??I smell a dot of hypocracy here
Yes ni kweli , ni mzandikiHakuna kitu
Jamaa ni lile Lindi la wazandiki, walidhani mama angekengeuka na kufuata wanayotaka
Mama ana MScMimi ninachojua Rais anitakiwa asiwe na chini ya degree.