Mchumi wa kati
Member
- Jun 21, 2021
- 32
- 29
Habari wanabodi,
Nimekuwa nikisikia biashara ya mashuka kutoka nchi jirani ya Uganda.
Kuna mwenye kujua upatikanaji wake, yaani duka, mtaa, bei n.k?
Nimekuwa nikisikia biashara ya mashuka kutoka nchi jirani ya Uganda.
Kuna mwenye kujua upatikanaji wake, yaani duka, mtaa, bei n.k?