Naomba kufahamishwa kuhusu Rais Samia kumtuma Hussein Mwinyi kumwakilisha nje ya nchi

Wewe ndio umefeli tayari. Sasa akisema Bwana Yesu asifiwe sio udini huo?
 
Wanahakikisha visiwani wana udhibiti wa mambo yote! Kutesa kwa zamu!
 
Kamtuma wapi? Let him go, there's no big deal. Mpango afanye vitu vingine sio kutumwa tumwa mahali
 
Last week kuna taga ananiekitiaga yeye ni Tiss...akaniambia Samia Suluhu Hassan ni mtoto wa kwanza wa nje wa mzee Hussein Mwinyi
Akazidi kusema pia mtoto wa kwanza wa Samia amezaa na Jk( ni mdada)...naye ashapachikwa kwenye kada za ccm! Nikabak kusema inamaana tunaongozwa na le one famile😜? Nikabaki kusema tawile mama
 

*Huyo 'TISS' wako ni bwege kabisa...

Mzee Hussein Mwinyi ndio nani..?!
 
Kuna ukweli kiasi katika jambo hilo

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Sijui...alinisisitiza balaa..nikasema sijui kama kuna ukweli...

Hakuwezi kuwa na ukweli wowote!

Hussein Mwinyi ndiye yule pale Rais wa Z'bar wa sasa...

Na kwa umri wake Rais Hussein Mwinyi wa Znz hawezi 'kumzaa' Rais Samia Suluhu Hassan wa JMT.

Huyo 'TISS' wa vilabuni usimsikilize tena huyo atakudharau! [emoji23][emoji23]
 
Kumzaa anamzaa mzee baba mwinyi ana 97 sijui...samia yuko kwenye 60's
 
Kumzaa anamzaa mzee baba mwinyi ana 97 sijui...samia yuko kwenye 60's

Aisee! [emoji23][emoji23][emoji28]

Kumbe unamzungumzia mzee Ally Hassan Mwinyi, rais mstaafu...

Me nilikuwa namzungumzia mzee 'Hussein Mwinyi' [emoji23][emoji23] uliyemtaja kwenye post niliyoku-quote mwanzo; ndo maana nikauliza huyo 'mzee Hussein Mwinyi' ndie nani..?
[emoji23][emoji28]
 
We naye!
 
Hapana , lazima Katiba izingatiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…