Naomba kufahamishwa kuhusu tabia hii ya kuku

Naomba kufahamishwa kuhusu tabia hii ya kuku

Jamani asanteni sana kwa mchango wenu ila nimejifunza kua hii ni moja ya tabia ya kuku mwanzo anakua anasuasua ila baadae analalia vizuri tu,maana tarehe 20 july 2017 alitotoa mayai yake yote 11 na hakuna lililoharibika wala aliloacha kutotoa
bahati yake
 
Jamani asanteni sana kwa mchango wenu ila nimejifunza kua hii ni moja ya tabia ya kuku mwanzo anakua anasuasua ila baadae analalia vizuri tu,maana tarehe 20 july 2017 alitotoa mayai yake yote 11 na hakuna lililoharibika wala aliloacha kutotoa
Asante kwa mrejesho tumejifunza.

Angalizo;
Kutumia neti kufugia kuku ni kosa
 
Ni huyu hapa
4e7c4f1ce2890e5170a31a69a64cd1d7.jpg
2a7851a4269c230d08060c378af627eb.jpg
24983998018a92369a3b7ece04941d71.jpg
huyu kuku alikuwa anakwambia kimoyomoyo "usinifundishe kazi"

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuwa Ni mara yake ya Kwanza lazima afanye hivyo kwani hajazoea
 
Back
Top Bottom