bahati yakeJamani asanteni sana kwa mchango wenu ila nimejifunza kua hii ni moja ya tabia ya kuku mwanzo anakua anasuasua ila baadae analalia vizuri tu,maana tarehe 20 july 2017 alitotoa mayai yake yote 11 na hakuna lililoharibika wala aliloacha kutotoa
Asante kwa mrejesho tumejifunza.Jamani asanteni sana kwa mchango wenu ila nimejifunza kua hii ni moja ya tabia ya kuku mwanzo anakua anasuasua ila baadae analalia vizuri tu,maana tarehe 20 july 2017 alitotoa mayai yake yote 11 na hakuna lililoharibika wala aliloacha kutotoa
Huyo kuku tunamuita mvia(sawa na mtu asietaka kufanya kazi) mchinje haraka na mayai leta hapa
huyu kuku alikuwa anakwambia kimoyomoyo "usinifundishe kazi"Ni huyu hapa
Hilo nalo neno, Wafugaji wanatakiwa waende taratibu na hawa viumbe maana kila mmoja ana namna yake, ukitaka uende haraka unawaaribia pozi.huyu kuku alikuwa anakwambia kimoyomoyo "usinifundishe kazi"
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app