Plutoz
Member
- May 13, 2015
- 18
- 6
Naomba kufahamishwa kuhusu tabia hii ya kuku wa kienyeji
Nina kuku wangu wa kienyeji pure ametaga kafikisha mayai 10 na ndio mtago wake wa kwanza lakin ameanza tabia ambayo sijaielewa ikifika jion anaenda kwenye kiota chake cha mayai analalia ikifika asubui wakati nafungua banda anatoka na harud tena kulalia mpaka ikifika jion muda wa kuingia bandani na leo ni siku ya pili kafanya hivyo :
1.sasa nilitaka kujua ndio inavyokuwa kwa kuku anaeanza kulalia/kuatamia kufanya hivi kwa siku za kwanza au sio mlaliaji mzuri
2.je mayai yatakua salama kwa style hii aliyoifanya kulalia usiku tu kwa siku mbili
3.je nifanye nini kuyaokoa mayai yasiharibike kama itakua bado hayajaharibika?
Nina kuku wangu wa kienyeji pure ametaga kafikisha mayai 10 na ndio mtago wake wa kwanza lakin ameanza tabia ambayo sijaielewa ikifika jion anaenda kwenye kiota chake cha mayai analalia ikifika asubui wakati nafungua banda anatoka na harud tena kulalia mpaka ikifika jion muda wa kuingia bandani na leo ni siku ya pili kafanya hivyo :
1.sasa nilitaka kujua ndio inavyokuwa kwa kuku anaeanza kulalia/kuatamia kufanya hivi kwa siku za kwanza au sio mlaliaji mzuri
2.je mayai yatakua salama kwa style hii aliyoifanya kulalia usiku tu kwa siku mbili
3.je nifanye nini kuyaokoa mayai yasiharibike kama itakua bado hayajaharibika?