Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unaujua uwezo wa anayeuliza kifedha?Hii mkuu siyo ya kununua kabisa inakula mafuta sana ikitaidi km 8 lth 1! Hapo haijaanza kuchoka halafu kama mtu wa kuuza mbeleni itakusumbua last ina tatizo la engine kwa dodosa za kijiweni! Nakushauri tafuta gari walau ya "cc 1300-2000! Im stand to be corrected!
Naona wanatutisha Tu. Gari naielewa Sana hiyoNinatumia hio gari mwaka wa 2 sasa......haipitishi mwezi sijakatiza bagamoyo road kulenga arusha....nimenunua ikiwa na km 35000 mpaka sasa iko na km 129000 haijawahi nisumbua zaidi ya mumwaga oil....na njian sijawahi kuwa overtaken na gari ingine.....mafuta binafsi naona ni kawaida tuu
Ninatumia hio gari mwaka wa 2 sasa......haipitishi mwezi sijakatiza bagamoyo road kulenga arusha....nimenunua ikiwa na km 35000 mpaka sasa iko na km 129000 haijawahi nisumbua zaidi ya mumwaga oil....na njian sijawahi kuwa overtaken na gari ingine.....mafuta binafsi naona ni kawaida tuu
Kwani ukiweka full tank ni bei gani ????Ninatumia hio gari mwaka wa 2 sasa......haipitishi mwezi sijakatiza bagamoyo road kulenga arusha....nimenunua ikiwa na km 35000 mpaka sasa iko na km 129000 haijawahi nisumbua zaidi ya mumwaga oil....na njian sijawahi kuwa overtaken na gari ingine.....mafuta binafsi naona ni kawaida tuu
135000....na nikiweka mliman city pale ikajaa sijaz popote mpaka r chugaKwani ukiweka full tank ni bei gani ????
tafuta gari yenye cc ndogo km 1400Ohk. Na vipi kwa mizunguko ya hapa dar na mafoleni
Mkuu kukimbiza sana si ujikoNinatumia hio gari mwaka wa 2 sasa......haipitishi mwezi sijakatiza bagamoyo road kulenga arusha....nimenunua ikiwa na km 35000 mpaka sasa iko na km 129000 haijawahi nisumbua zaidi ya mumwaga oil....na njian sijawahi kuwa overtaken na gari ingine.....mafuta binafsi naona ni kawaida tuu
Kuingia mkenge kivp. Kama kununua nachukua mpya. Na sio used kwa mtutafuta gari yenye cc ndogo km 1400
achana nalo hilo linabwiya km yale maCresta
kwa sasa yanashuka kichizi huenda ukayapata kwa nillioni 5 tuau hata kwa 1,000,000/ (milioni moja tu) ingia ZOOM
2003 Toyota Brevis in Dar Es Salaam
AU KWA UJUMLA TAFUTA HAPA CHINI
Toyota Vehicles for Sale
TUNAZIOGOPA HAZIDUMU USIJE UKAINGIZWA MKENGE
Lita 1/km 8 mbona ni ulaji wa kawaida kabisa huo.Hii mkuu siyo ya kununua kabisa inakula mafuta sana ikitaidi km 8 lth 1! Hapo haijaanza kuchoka halafu kama mtu wa kuuza mbeleni itakusumbua last ina tatizo la engine kwa dodosa za kijiweni! Nakushauri tafuta gari walau ya "cc 1300-2000! Im stand to be corrected!
Kuingia mkenge kivp. Kama kununua nachukua mpya. Na sio used kwa mtu