mbusage
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 447
- 122
Me sijawai kuionaa broooTafuta brevis yenye engine ya 1G, japo ni chache san kuzipata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me sijawai kuionaa broooTafuta brevis yenye engine ya 1G, japo ni chache san kuzipata
Mkuu usije kukuta hauwashagi AC ndo maana wese lake linakufikisha Arusha. Platz tu najaza full tank nikifika njia panda himo taa inawaka mbaya135000....na nikiweka mliman city pale ikajaa sijaz popote mpaka r chuga
Brevis Mpya- Brand New-zero km unainunulia wapi?Kuingia mkenge kivp. Kama kununua nachukua mpya. Na sio used kwa mtu
Hapo hujawa na uwezo wa kuinunua Bado 😀 😀 😀Hiyo kitu huku mbeya watu wanaigopa sana kuhusu swala zima la mafuta.
Yani tuna uwezo wa kununua lkn tunaogopa kuilisha chakula chake
Brevis 7M njoo uchukuee, au tubadilishane na RaumHarier matako ya ngedere ni milion 25 , brevis milion 12-13
Weka picha mkuuBrevis 7M njoo uchukuee, au tubadilishane na Raum
Ni Engine ya 1G ndiyo ikoje hiyo CC ngap.Tafuta brevis yenye engine ya 1G, japo ni chache san kuzipata
mpya ya mwisho kutengenezwa ni 2007Brevis Mpya- Brand New-zero km unainunulia wapi?