Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Nataman kujua huyo monnalisa alikuwepo zaman au ni picha ya kufikirika tuu ilichorwa na leonardo da vinci,ma kama monnalisa alikuwepo kweli yeye alikuwa ni nani kwa zama hizo
Ukifatilia kwa haraka haraka historia ya hiyo picha ni kuwa huyo mwanamke alikuwa ni mke wa mfanyabiashara maarufu ya silk na alimpa hiyo ruhusa da vinci kumchora.. Alikuwa anaitwa lisa.. Hiyo mona maana yake ni my lady.. Ingawa mpaka sasa sehem nyingi ukifatilia bado hakuna mtu mwenye uhakika zaid na hiyo kuwa ni mke wa huyo mfanyabiashara ndo theory pekee iliyopo.. Uki Google monalisa tu utapata vitu vingi juu yake ila karibu vyoote vina circulate hapo hapo tu..
 
Nataman kujua huyo monnalisa alikuwepo zaman au ni picha ya kufikirika tuu ilichorwa na leonardo da vinci,ma kama monnalisa alikuwepo kweli yeye alikuwa ni nani kwa zama hizo
Monalisa ni binti aliyekuwepo kabisa nchini Italy na alikuwa mzuri kweli na mchangamfu, Baba yake alikuwa akimpenda sana na kupenda kumwona muda wote akiwa mchangamfu.

Jina lake ni "Lisa" neno "Mona Lisa" inamaanisha "My lady Lisa"

Pia Monalisa inamaanisha "Mwanamke mchangamfu" kwa kiitaliano.

Ukigoogle utayaona yote hayo.
 
Hiki ni kipande kifupi kutoka wikipedia;

The title of the painting, which is known in English as Mona Lisa, comes from a description by Renaissance art historian Giorgio Vasari, who wrote "Leonardo undertook to paint, for Francesco del Giocondo, the portrait of Mona Lisa, his wife."[5][6] Mona in Italian is a polite form of address originating as ma donna – similar to Ma’am, Madam, or my lady in English. This became madonna, and its contraction mona. The title of the painting, though traditionally spelled "Mona" (as used by Vasari[5]), is also commonly spelled in modern Italian as Monna Lisa ("mona" being a vulgarity in some Italian dialects) but this is rare in English.[citation needed]
 
Chaaaa!!!
Kumbe picha nyingine zinakuwa na ujumbe ndani yake!!!
Asante sana mkuu kwa kunifumbua macho.
Nakumbuka marehemu babu yangu alinipa picha flani hivi, akasema ndani ya hii picha kuna ujumbe muhimu kuhusu maisha yako ya mbeleni.
Akasema nikiweza kung'amua angalau jumbe 5 tu, basi nitakuwa mwenye maarifa na mambo mengine mengi.
Nilikaa miaka 3 bila kuambulia kitu.
Nasikitika wakati niko chuo Morogoro, huku nyuma nikapewa taarifa kuwa babu yangu amepewa upako wa mwisho, ile nakanyaga Ubungo tu, babu anakata kauli bila kunifumbulia fumbo.
Au ndo hii mikosi inayoniandama?
Je, nikiweza kung'amua jumbe ndani ya picha ile, haya mabalaa yataisha ilhali babu ameshafariki?
Au nikisema niende kwa mnajimu, nitakuwa nimefumbua fumbo lile?
Maana ile picha ninayo mpaka sasa
Tuwekee hapa tukusaidie.
 
View attachment 425984

Picha hii imechorwa na msanii Leonardo da Vinci, hilo tu ndilo nijualo. Lakini nasikia kuna mengi nyuma ya hii picha, ujumbe uliofichika, umaarufu wake hadi leo ni nini haswa?? Ilikua ngumu sana kuichora au?

Wajuzi naombeni msaada
Nina wasi wasi huyu jamaa ndio atakua amechora mapicha kule Vatican
 
Hizi Conspiracy theories zinaweza kufanya ukadata bure , the less you know the better
 
Hii picha imechorwa na genious Da Vinci during medieval era..inasemekana imebeba siri nyingi saana. Siri hizo wachache saana wamepata bahati ya kuzing'amua.
Pia material alio tumia ni creative, ame mix na mayai ,kiasi ambacho ukiangalia hio picha so special, kwa rangi tu hizi za siku hizi huwezi kuchora picha kama hio, huyo jamaa ni history katika dunia in art.
 
Monalisa ni binti aliyekuwepo kabisa nchini Italy na alikuwa mzuri kweli na mchangamfu, Baba yake alikuwa akimpenda sana na kupenda kumwona muda wote akiwa mchangamfu.

Jina lake ni "Lisa" neno "Mona Lisa" inamaanisha "My lady Lisa"

Pia Monalisa inamaanisha "Mwanamke mchangamfu" kwa kiitaliano.

Ukigoogle utayaona yote hayo.
Asante sana mkuu
 
Ukifatilia kwa haraka haraka historia ya hiyo picha ni kuwa huyo mwanamke alikuwa ni mke wa mfanyabiashara maarufu ya silk na alimpa hiyo ruhusa da vinci kumchora.. Alikuwa anaitwa lisa.. Hiyo mona maana yake ni my lady.. Ingawa mpaka sasa sehem nyingi ukifatilia bado hakuna mtu mwenye uhakika zaid na hiyo kuwa ni mke wa huyo mfanyabiashara ndo theory pekee iliyopo.. Uki Google monalisa tu utapata vitu vingi juu yake ila karibu vyoote vina circulate hapo hapo tu..
Nimefatilia mwanzo mpk mwisho nimegundua mambo sana ingawa kuna majibu mengi ila kiasi nimeelewa kidogo
 
Uko sahihi. Yohana katika biblia ndo alikua mdogo kabisa katika mitume wake na ndo wa mwisho kufa. Biblia inaposema mwanafunzi aliye mpenda Yesu alikuwa ndo huyo. Si tu kuwa yesu alimpenda bali pia walifanana sana kiasi hata Yuda alitumia ishara ya busu ili aakari wasilamate asiye. Huyo ndo Yohana ambaue Yesu alimzaa na Magdaleni. Narudia siyo mimi bali davinci code!
Heee wanasem yesu alikufa akiwa na miaka 33, sasa Huyo yohane alimzaa lini mpka awe Mtu mzima wafanane hadi yuda achanganyikiwe kumuoneshea????[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
 
The Annunciation by Leonard da Vinci.
1477964232899.jpg
 
Back
Top Bottom