Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] teh teh teh teh
Haya hamna shida mkuu.
Nitatekeleza wajibu.
Afadhali.
Unajua unapopata maarifa mapya, ni vema kuwasaidia wale wasio na uelewa kuhusu maarifa hayo ili nasi 'ungumbaru' ututoke...teh teh teh
Shukrani sana.
 
Aiseee.
Dah!!!
Je, Monalisa na Cleopatra nani alikuwa maarufu zaidi?
Na nani alizaliwa kabla ya mwenzake?
Cleopatra aliishi zamani sana kabla kabisa ya Mona Lisa

Umaarufu wa Cleopatra ni mkubwa zaidi duniani kwani habari zake ziko wazi maisha yake mpaka kifo chake ila za huyu Mona Lisa zilikuwa na usiri sana na rumuors zilizoongezwa pia.
 
Afadhali.
Unajua unapopata maarifa mapya, ni vema kuwasaidia wale wasio na uelewa kuhusu maarifa hayo ili nasi 'ungumbaru' ututoke...teh teh teh
Shukrani sana.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Teh teh teh
Eti ungumbaru....
Teh teh teh
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cleopatra aliishi zamani sana kabla kabisa ya Mona Lisa

Umaarufu wa Cleopatra ni mkubwa zaidi duniani kwani habari zake ziko wazi maisha yake mpaka kifo chake ila za huyu Mona Lisa zilikuwa na usiri sana na rumuors zilizoongezwa pia.
Aisee...wazidi kunifumbua macho.

Ila kuna swali huwa linanitatiza sijui utanijibu au...
Wanasema miji ya Sodom na Gomorrah iliteketezwa kutokana na muingiliano wa kinyume na maumbile kati ya wanaume na wanaume.
Ila kuna mada ilikuja nadhani juzi, ilikuwa inasema kuwa, wanawake wa Sodom na Gomorrah walikuwa wanaingiliwa kinyume na wanaume zao, ila mara tu wanaune walipoanza nao kuingiliana wenyewe kwa wenyewe, ndipo Mungu akashusha gharika la moto.

Swali,
Hii ina maana kwamba
1. Wanawake tumeruhusiwa kuingiliwa kinyume na maumbile?

2. Wanaume ni mwiko kuingiliana?

3. Mbona moto haukushushwa kabla wanaune hawajaanza kuingiliana?

Otorong'ong'o nawe ukinisaidia hapa si mbaya pamoja nawe Azarel
 
Na picja orijino ya Monalisa ni ipi ?
Nataka kuwafaham hao night templar ni kina nan na kwanini waliuwawa?? Ntapenda kufahamu tu
Kuna mtu nimemuonesha hiyo picha nikamuuliza unaijua?akasema hapana ,,nikamuambia hii picha unaona nini ? Akasema naona kama anatabasamu halaf ananuna,halaf kama mwanaume upande mmoja hivi ,,,halaf akaona kwenye mkono kuelekea begani akasema kuna sura ya mtu mwingine hapo
Nikasema na humu mmesema hivyoo kuna watu wanajua kuona aisee ,,akasema kuna vifaa ukitumia kuangalia hii picha kuna vitu vingi utaona
hahahaaa.... umemuuliza mtu anaeamka na kukesha ktk uzi huu... umeokotwa. Unampa sifa za bure kumbe ana dinya ktk hii thread,.. kalaghabhaoo..
 
Afadhali.
Unajua unapopata maarifa mapya, ni vema kuwasaidia wale wasio na uelewa kuhusu maarifa hayo ili nasi 'ungumbaru' ututoke...teh teh teh
Shukrani sana.
Hahaha...Madam B, sio picha hii tu ya Mona Lisa iliyo na secrete codes duniani ingawa ndiyo yenye codes nyingi na ndio iliyokuwa ya kwanza kufichuliwa siri zake.

Zingine maarufu ni

2) Karamu ya mwisho ya Yesu (imeshaelezewa hapa)

3) Uumbaji wa Adam na ubongo unaoelea (Floating brain) Mchoraji wa kwanza kabisa kuchora picha hiyo na wachoraji waliofuatia kamwe hawaachi kuweka ubongo unaoelea uliopo upande wa kushoto wa Adam (akiwa uchi), kisha adam anauangalia na malaika wakimpa Adam mkono bila Adam kuufikia...itafute picha hiyo.

3) Lady Madonna na mtoto wa asili ya Mwamba Mgumu (Hard rock child)- Hii ni picha ya Maria mama yake Yesu akiwa anamuelekea mwanae LAKINI juu angani inaonekana jua juu ya bega la maria katika upande wake wa kulia.

Lakini zaidi juu angani upande wa bega la kushoto utaona tundu jeusi angani.

Hivyo vitu wachoraji huwa hawaachi kuvichora.

Inawezekana umewahi huona hata kwenye Calendar.
 
Aisee...wazidi kunifumbua macho.

Ila kuna swali huwa linanitatiza sijui utanijibu au...
Wanasema miji ya Sodom na Gomorrah iliteketezwa kutokana na muingiliano wa kinyume na maumbile kati ya wanaume na wanaume.
Ila kuna mada ilikuja nadhani juzi, ilikuwa inasema kuwa, wanawake wa Sodom na Gomorrah walikuwa wanaingiliwa kinyume na wanaume zao, ila mara tu wanaune walipoanza nao kuingiliana wenyewe kwa wenyewe, ndipo Mungu akashusha gharika la moto.

Swali,
Hii ina maana kwamba
1. Wanawake tumeruhusiwa kuingiliwa kinyume na maumbile?

2. Wanaume ni mwiko kuingiliana?

3. Mbona moto haukushushwa kabla wanaune hawajaanza kuingiliana?

Otorong'ong'o nawe ukinisaidia hapa si mbaya pamoja nawe Azarel
Hilo naomba ajibu Otorong'ong'o.
 
bado sijaenda google... nikienda huko ntaelewa haraka.. ngoja niendelee wa enjoy watanzania.
 
Nilihadithiwa miaka mingi kidogo, wanasema hyo picha inareflect any kind of feelings yan unahotaka kuona utakiona, ukitaka kuona sura ya huzun ukimuangalia Kwa makin utaona huzun, furaha utaona sura ya furaha, uchovu etc yan chochote.

Nlijaribu kufanya hvyo nkaona ni kweli baada ya kuiangalia kwa kina, hebu na ww jarbu unipe mrejesho
Kwa hiyo unataka watu wajiue sio
 
Ukisema imechorwa na msanii Leonardo Da Vinci, unakua haujamtendea haki. Unaweza ukamuita polymath Leonardo Da Vinci maana ni mmoja wa watu extraordinary ambao wamewai kutokea duniani. Jamaa alikua ni architect, engineer, doctor, na mtu mbunifu zaidi kutokea duniani.
Mkuu tusiwaamini sana hawa ngozi nyeupe wakati mwingine wanapambiza visivyo pambizwa.
Mbwembwe nyingi tu eti kisa wao walikuwa wa kwanza kugundua maandishi na hatmae kuwa wa kwanza kuweka kumbukumbu.
Hivi wale mababu zetu wa "ULINDI NA ULIMBOMBO" aka wazee wa FRICTION walisoma haya haya ma blah blah ya wazungu ndo wakagundua moto??

Waafrika tubadilike, yawezekana kabisa haya maajabu tunayoona hawa weupe wameyafanya pengine yalitoka huku huku kwetu ila kwasababu mababu hawakuwa na uwezo wa kutunza kumbukumbu kimaandishi ndo maana wanavuma wazungu tu.
Yawezekana kabisa hata TESLA alidesa kwa Mwafrika kwa yale maajabu yote aliyofanya.

HAKUNA KAMA MWAFRIKA EVER IWILL STAND TO BELIEVE SO...
 
Hii ni picha ya kuchora inaitwa Gioconda pia inajulikana kama Monna Lisa na inasemekana ni moja ya kazi za kuchora ya muda wote iliyowahi kuchorwa na Leonardo da Vinci,hiyo picha imehifadhiwa kwenye Museum(nyumba ya makumbusho inaitwa Louvre huko Paris mji mkuu wa ufaransa.picha yenyewe inasemekana ina tafsiri nyingi sana ukianza na tabasamu la huyo aliyechorwa yaani Gioconda.alikuwa ni Leonardo da Vinci mwenyewe aliyeipeleka ufaransa kazi yake hiyo ya sanaa inawezekana ilinunuliwa,tunazungumzia mambo ya miaka 1625 huko ehhh.na ilishawahi kuibiwa mara nyingi sana mara ya kwanza kabisaa kuubiwa picha hiyo ni mwaka 1911 kabla ya siku ya kuifunga nyumba ya makumbusho.Pia zipo copy zake nyingi tu kama ukienda Geneva uswiss na pale hispania Madrid kwenye ile nyumba ya sanaa inaitwa Prado.ni kifupi tu japo mimi sijasomea Art history mambo hayo ukienda Firenze mkoa wa toscana ndiyo wenyewe.nitaifuatilia
Nataman kujua huyo monnalisa alikuwepo zaman au ni picha ya kufikirika tuu ilichorwa na leonardo da vinci,ma kama monnalisa alikuwepo kweli yeye alikuwa ni nani kwa zama hizo
 
Back
Top Bottom