Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Endelea basiiiii hiyo picha ina maana gani???

Hakuna mwenye maana kamili juu ya hiyo picha. Ila tuu, mambo mengi yaliyomo katika hiyo picha ni kama baadhi ya wadau walivyotangulia kusema hapo kabla. Ngoja nikupe summary ya baadhi.

1. Picha inabadilikabadilika face impression yakeukiiangalia tokea angle tofautitofauti.

2. Kuna wanaoona kuwa kuna alama za secret societies kama Freemason, skull and bones ndani ya hiyo picha.

3. Kuna wanaoona kuwa hiyo sura ni mjumuisho wa sura mbili kati ya mwanamke na mwanamme.

Bonus :

Ni miongoni mwa picha aghali katika kipindi chake. Kwani Miaka ya 1500, mfalme Francis I wa ufaransa aliinunua picha hiyo kwa kilo 13 za dhahabu ambayo kwa leo ni sawa na dola laki sita na nusu za kimarekani.
 
Wewe unatishia tishia au sijui unapima watu?

Hayo yoote unayoyaelezea kwanini usifunguke zaidi?

Assume yeye hayajui...si ufunguke kwa msaada wa wengine?
Tatizo ni kwamba mnajifanya kujua kumbe hamjui mlijualo...nyie mmekaririshwa na baba mchungaji kuwa secret societies ni waabudu shetani bila hata kujua chanzo cha hizi societies ni nini. Nyie mnachojua ni kua secret societs ni freemason na illuminat, mnasikitisha sana.
Nilijua mnajua ili tujadili kwa maana ya kupashana elimu. Kama ni imani hata mimi ni mkristo safi kabisa lakini siwezi kuifunga akili yangu kwa kigezo cha imani.
Naombeni majibu ya maswali yangu ya hapo juu na kama hamjui basi nyamazeni ili muelishwe na si kubisha msilolijua
 
Tatizo ni kwamba mnajifanya kujua kumbe hamjui mlijualo...nyie mmekaririshwa na baba mchungaji kuwa secret societies ni waabudu shetani bila hata kujua chanzo cha hizi societies ni nini. Nyie mnachojua ni kua secret societs ni freemason na illuminat, mnasikitisha sana.
Nilijua mnajua ili tujadili kwa maana ya kupashana elimu. Kama ni imani hata mimi ni mkristo safi kabisa lakini siwezi kuifunga akili yangu kwa kigezo cha imani.
Naombeni majibu ya maswali yangu ya hapo juu na kama hamjui basi nyamazeni ili muelishwe na si kubisha msilolijua
Wewe unabwatabwata tu hapa na kukimbia maswali ya kuelezea vitu unavyojifanya unajua.

Wewe umetuuliza, tumekuambia hatujui,elezea basi unachokijua wewe.
 
Swali linakuja je hizo feelings utaziona kwenye picha hiyo hiyo original tu iliyoko France au hat akwa picha zingine copy ya Monalisa zilizochorwa na wasanii wengine??
mimi niliyoangalia sijui kama ilikua ni original or copy coz nliiona kwenye kitabu flan cha historia ya Europe, bt nlichotaka kuona nlikiona
 
mimi niliyoangalia sijui kama ilikua ni original or copy coz nliiona kwenye kitabu flan cha historia ya Europe, bt nlichotaka kuona nlikiona
Niambie basi uliona nini na sie tujue
 
Me nilipochoka ni pale mtu kasema yesu alimuoa magdalene akazaluwa john ( yohana)... na sababu kubwa anasema yesu alimpenda sana yohana, yesu alifanana sana na yohana, yesu alimbusu sana magdalene, yesu alimkabidh yohana kwa magdalene kabla hajafa....... [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] am afraid Yesu akija leo , sijui atamchukua nani maana huku dunian watu wanamfanya yesu kama siasa za CDM na CCM.....
Yaani we acha tu.
Ina maana mie nikiwa nampenda sana mtu fulani basi nitaambiwa na-date nae.
Wangapi wanafanana na watu huko mabarabarani lakini sio ndugu zao na hawana undugu hata wa utaifa.
Washazoea kuchezea akili za Lema, basi wanajua kila mtu wa kumchezea.

Wanaume wa humu wameshindwa kutetea hoja ya mtoa mada, wanaishia kurukaruka tu kama popcorn watoe jibu tuone kidume wa kweli hapa, sio tunacheka na vidume humu Jf, kumbe hata mahakamani watatukimbia na kutuachia kesi wenyewe
 
Mona Lisa ni picha ya dada mmoja kutoka koo ya kifalme huko ufaransa ambae Da vinci aliwahi kumpenda na hakukuwa na msichana mzuri machoni mwa da vinci zaidi ya huyu.

Lakini picha hii inawakilisha kitu kingine kikubwa sana. "The Holy grail" au royal bloodline of jesus. Hii ni picha si ya Maria Magdalena bali ni ya mtoto wa Maria Magdalena na Yesu aliyeitwa SARAH. Ikumbukwe kuwa Da vinci alikua ni grand master wa priori of zion hivyo moja kati ya majukumu yake yalikua ni kuhakikisha anautunza ukweli na kuhakikisha hii royal bloodline haipotei.

Hivyo akaamua kuuchora mchoro huo na ukawa kama secrete code ya the holy grail. Koo zote za kifalme za ulaya zimeunganishwa pamoja na hii kitu. Ikumbukwe kuwa Yesu alikua anatokea kwenye koo ya kifalme sawa sawa na maria magdalena.

Hivyo kanisa la Roma lilikua limedhamiria kuupoteza ukweli huu pamoja na secret societies zote kama vile priori of zion na knights templar ambao wamezihifadhi nyaraka hizi.

Hivyo Mona Lisa ni representation ya The Holy grail au royal bloodline of Jesus. Na wenye jukumu la kutunza siri hii ni priori of zion pamoja na knights templar.
Nawasilisha
Mkuu, Bwana Yesu aliishi miaka takribani 1500 nyuma ya Da Vinci, sasa huyu jamaa alijuaje haya hata akaichora hii picha ya huyo Sarah. Na tujiulize pia kwanini mfalme wa France wakati huo aliitaka na kuinunua picha hii kwa bei ghali sana??
 
Madam B, kuna meeengi yanayosemwa haswa ulaya kuhusu hiyo picha ya Mona Lisa

"(My lady Lisa in Italian)" yenye miaka 500 hivi sasa.

Watafiti wa Uingereza mpaka mwaka 2011 walikuwa wanatafuta ukweli kuhusiana na siri za picha hiyo na hata wamarekani.....google utaelewa!!!

¤ Miongoni mwa fictions /facts zake ni kuwa:-

- Kwanza rangi nyeusi ya nywele za bibie huyo ina maana yake kuwa nyeusi na iliindicate aina ya cheo

-Pia Rangi ya kitambaa cha nguo aliyoivaa na style aliyokaa ilimaanisha utawala wa kifalme (ndio maana anahusishwa na Yesu aliyetoka kwenye ufalme wa Daudi) hivyo kuwafanya wengi kuamini alikuwa na uhusiano na Kristo Yesu.

-Nyingine ni namna picha hiyo ilivyo yaani tabasamu la Mona Lisa kuna jina lilitungiwa kabisa wakimaanisha inaashiria furaha na huzuni kwa wakati mmoja

-Pia jicho la kushoto katika picha hiyo na mdomo inafanya picha hiyo kuwa ya Mwanaume pia si ya mwanamke tu.

-Mwisho na ambayo ni siri kubwa zaidi iliyowachanganya watu ni kuwa picha ya kwanza kabisa ya da Vinci ilikuwa na Codes ndogo sanaa na ilipochinguzwa kwa makini sana na kiteknolojia ikagundulika kuna maandishi ambayo:

Katika jicho la kulia pameandikwa LV ikimaanisha jina "Leonardo da Vinci"

Katika jicho la kushoto pia kuna mchoro wa ramani ya siri (haijaelezewa)

Na katika uso mzima pia kuna codes zingine ambazo hazijatafsiriwa vizuri mpaka leo ukiacha kwny kitabu cha Da Vinc Code. By Dan Brown

Hii picha ipo Ufaransa na zimeshachorwa picha kama hizo zaidi ya 300 na kuwekwa kwenye makumbusho ya mataifa mbalimbali.

Mwaka 1963 ilipelekwa kwa Meli mpaka Marekani na Rais J.F Kennedy pamoja na raia 1.7 million walipiga nayo picha.

Ni picha iliyochorwa kwa miaka almost 12 bila kukamilika, 1505 - 1517, na da Vinci alipoenda france aliibeba hiyo tu kati ya picha zake zote alizochora.

Mbali na hiyo, picha nyingine maarufu na nzuri sana ya da Vinci ni ile ya Karamu ya mwisho ya Yesu Kristu, japo nayo ilitungiwa uzushi kuwa maria magdalena akijuwa miongoni mwa wanafunzi wa Yesu.

Hayo ndio yanayosemwasemwa.

NaaView attachment 426871View attachment 426872mini umeelewa kwa sehemu kubwa.
Asante.
Mpaka hapa wewe na The King of Jews ndo wanaume humu.
Wengine wanaambiwa waeleze, wanaanza kuleta stori za Simba na Yanga.
Nashukuru kwa ufafanuzi mkuu.

Nangojea wanaume wengine waeleze,
Maana wanasema uanaume sio kuvaa suruali tu, ni pamoja na kupangua hoja kiu-yakinifu mbele ya hadhara.
Ila fact ya 4 sijaielewa, wanaposema upande Ke na upande Me, ina maana ushoga ulikuwa ruksa au?
 
Hakuna mwenye maana kamili juu ya hiyo picha. Ila tuu, mambo mengi yaliyomo katika hiyo picha ni kama baadhi ya wadau walivyotangulia kusema hapo kabla. Ngoja nikupe summary ya baadhi.

1. Picha inabadilikabadilika face impression yakeukiiangalia tokea angle tofautitofauti.

2. Kuna wanaoona kuwa kuna alama za secret societies kama Freemason, skull and bones ndani ya hiyo picha.

3. Kuna wanaoona kuwa hiyo sura ni mjumuisho wa sura mbili kati ya mwanamke na mwanamme.

Bonus :

Ni miongoni mwa picha aghali katika kipindi chake. Kwani Miaka ya 1500, mfalme Francis I wa ufaransa aliinunua picha hiyo kwa kilo 13 za dhahabu ambayo kwa leo ni sawa na dola laki sita na nusu za kimarekani.
Na picja orijino ya Monalisa ni ipi ?
Nataka kuwafaham hao night templar ni kina nan na kwanini waliuwawa?? Ntapenda kufahamu tu
Kuna mtu nimemuonesha hiyo picha nikamuuliza unaijua?akasema hapana ,,nikamuambia hii picha unaona nini ? Akasema naona kama anatabasamu halaf ananuna,halaf kama mwanaume upande mmoja hivi ,,,halaf akaona kwenye mkono kuelekea begani akasema kuna sura ya mtu mwingine hapo
Nikasema na humu mmesema hivyoo kuna watu wanajua kuona aisee ,,akasema kuna vifaa ukitumia kuangalia hii picha kuna vitu vingi utaona
 
Hiyo ilichorwa na Leonardo da Vinci mwaka 1505,huyu alikuwa Mtaliano. Ni picha ya mwanamke mmoja aliyempenda. Ila wataalamu wa ku "decode" yaani kufichua kilichojificha wanasema sio sura ya mwanamke huyo tu, Bali picha ina habari nyingi,. Wanasema ukiiangalia unaona kama vile huyo mwanamke anakutizama. Huyo Leonardo da Vinci alikuwa na uwezo wa kutumia mikono yake miwili kwa wakati mmoja, yaani anaweza akawa anachora (paint) kwa mkono mmoja, na kisha mkono mwingine akawa anaandika. Alikuwa na akili sana "genius". Alikuwa ni mhandisi, mchoraji majengo, mchongaji (sculpture), mvumbuzi n.k. Wanasema alikufa kabla hajaimalizia kuchora picha hiyo. Na wanazidi kujiuliza nani aliimalizia na kuikabidhi. Na kuna swali jingine la kwamba je ilifikaje nchi ya Ufaransa.. Na mpaka sasa sijui mchoro halisi wa Mona Lisa (original paint) iko wapi maana wakijitokeza watu wengi wakabuni mchoro huo. Huenda pale mchoro halisi ulipo utakuwa unalindwa sana.
Leonardo da Vinci alikuwa akisema yeye alizaliwa katika ukoo wa Yesu. Huyu Leonardo da Vinci pamoja na mchoro wake wa Mona Lisa Kuna siri nzito ambazo mpaka sasa ufafanuzi wake haujawa sawa sawa. Huyo mwanamke inaoneka alikuwa mke wa mtu maarufu, pia Kuna walio sema kwamba Leonardo da Vinci alikuwa shoga "gay".
Hii nilioandika ni kidogo sana, najua wengine wataelezea zaidi
Asante mkuu lakini maelezo yako yanakanganya sehemu kubwa sana. Picha iko Ufaransa, ilimaliziwa na Leonardo mwenyewe na ndio maana mfalme wa kipindi hicho aliinunua, asingeweza kununua kitu hakijakamilika. Leonardo alikarbishwa na mfalme kwenda kuchora/ design kitu fulani na ndipo alipopata fursa ya kumuonesha mfalme picha ya Monalisa na ikapendwa na ndio kisa haswa kwanini picha imechorwa na mu Italiano lakini hadi leo ni mali ya Ufaransa.
 
Mkuu...to stick to the picture, kwanza ni picha ambayo da Vinci alitumia muda mrefu sanaaa kuichora, yaani mpaka 1517 ndio aliimaliza.

Ila inaaminika na wengi kuwa ina siri nyingi tu kuanzia colour zake,

mfano, black colour ya nywele zake ina maana yake, jaribu kugoogle

Nguo alizovaa na maana ya uvaaji akimaanisha utawala wa kifalme, pamoja na namna alivyoweka mikono.

Pia hii picha ukiiangalia kwa umakini utagundua huyu si mwanamke tu ila kwa upande flani ni mwanaume, hasa ukichunguza mdomo na jicho la kushoto.
Asante mkuu, nimependa mchango wango asante sana. Kuna mahali nami nilisoma kua huo mtindo wa uvaaji kwenye picha ni wa kiume kwa enzi hizo, huwezi mkuta mwanamke kaacha sehem kubwa ya kifua hivyo. Sasa Leonardo kachora mdada na kamvalisha kiume, ujumbe ni nini? Bado mtihani
 
Na picja orijino ya Monalisa ni ipi ?
Nataka kuwafaham hao night templar ni kina nan na kwanini waliuwawa?? Ntapenda kufahamu tu
Kuna mtu nimemuonesha hiyo picha nikamuuliza unaijua?akasema hapana ,,nikamuambia hii picha unaona nini ? Akasema naona kama anatabasamu halaf ananuna,halaf kama mwanaume upande mmoja hivi ,,,halaf akaona kwenye mkono kuelekea begani akasema kuna sura ya mtu mwingine hapo
Nikasema na humu mmesema hivyoo kuna watu wanajua kuona aisee ,,akasema kuna vifaa ukitumia kuangalia hii picha kuna vitu vingi utaona
Ndio nmeona sasa sura ya mtu begani....

kweli kusoma picha inahitaji ustad wa hali ya juu
 
Asante.
Mpaka hapa wewe na The King of Jews ndo wanaume humu.
Wengine wanaambiwa waeleze, wanaanza kuleta stori za Simba na Yanga.
Nashukuru kwa ufafanuzi mkuu.

Nangojea wanaume wengine waeleze,
Maana wanasema uanaume sio kuvaa suruali tu, ni pamoja na kupangua hoja kiu-yakinifu mbele ya hadhara.
Ila fact ya 4 sijaielewa, wanaposema upande Ke na upande Me, ina maana ushoga ulikuwa ruksa au?
Hapana kabisa, Na ukweli ni kwamba Leonardo da Vinci hakuwa shoga kama wengi wanavyosema ila kazi yake ilimfanya awe busy sanaa hata kuonekana haikuwa rahisi at all.

Kuhusu jicho la kushoto pamoja na lips za Mona Lisa, hizo ni sehemu pekee zinazoifanya sura yake kuwa na muonekano wa kiume pia.

Katika mkono wa kulia wa Mona Lisa, juu ya kuelekea mabegani kuna picha ya mwanaume anayehuzunika, ila utaiona tu utakapopata picha yake akiwa anageukia upande wa pili, angalia kwa umakini.
1477917322350.jpg

Asante.
Mpaka hapa wewe na The King of Jews ndo wanaume humu.
Wengine wanaambiwa waeleze, wanaanza kuleta stori za Simba na Yanga.
Nashukuru kwa ufafanuzi mkuu.

Nangojea wanaume wengine waeleze,
Maana wanasema uanaume sio kuvaa suruali tu, ni pamoja na kupangua hoja kiu-yakinifu mbele ya hadhara.
Ila fact ya 4 sijaielewa, wanaposema upande Ke na upande Me, ina maana ushoga ulikuwa ruksa au?
 
Mkuu, Bwana Yesu aliishi miaka takribani 1500 nyuma ya Da Vinci, sasa huyu jamaa alijuaje haya hata akaichora hii picha ya huyo Sarah. Na tujiulize pia kwanini mfalme wa France wakati huo aliitaka na kuinunua picha hii kwa bei ghali sana??
Hii picha ilikuwa ni nzuri sana kwa wakati ule ila inawezekana ilivuviwa nguvu flani ya kuvutia watu mashuhuri.

Kwaajili ya picha hii mfalme wa ufaransa yaani Francis alimpa da Vinci nyumba kubwa sana ya kifahari ya kuishi bure...the Palace.
 
Mambo bado hayajakaa sawa bado vitu vingi vimefichwa kuhusu hiyo picture ama kweli dunia ina mambo The bold na @ MziziMkavu njooni tusaidie kuichambua hii photo.
 
Hapana kabisa, Na ukweli ni kwamba Leonardo da Vinci hakuwa shoga kama wengi wanavyosema ila kazi yake ilimfanya awe busy sanaa hata kuonekana haikuwa rahisi at all.

Kuhusu jicho la kushoto pamoja na lips za Mona Lisa, hizo ni sehemu pekee zinazoifanya sura yake kuwa na muonekano wa kiume pia.

Katika mkono wa kulia wa Mona Lisa, juu ya kuelekea mabegani kuna picha ya mwanaume anayehuzunika, ila utaiona tu utakapopata picha yake akiwa anageukia upande wa pili, angalia kwa umakini.View attachment 427227
Yelewiiiiiii.....asa jamani mbona huyu Vinci alikuwa anachanganya sana na machapisho yake.
Ila kuna mahala nimeona wamesema kuwa hiyo picha haikumaliziwa kuchora na mwenyewe akafa.
Asa nani aliimalizia?
Au mtoto wake?

Ila jicho na lips sio atakuwa amefanana na baba yake tu au ndo picha reality ya mwanaume kamili imejichora?
Hiyo picha begani sikuijua hata, mpaka nilipozoom.

Kweli kuna watu wana vipaji.
Nasikia ndani ya huo mchoro kuna michoro 7 ndano yake.
Nimeona wa sura begani tu, mingine hata nipewe mwakwa sijui kama nitaiona.
Shukrani
 
Back
Top Bottom