Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Naomba kufahamishwa kwa kina kuhusu picha maarufu ya Monalisa

Kwanini unafikiri anaifunga imani yake..?
huu ni uongo mwingine...Biblia halisi inavitabu 72/73
unaweza ukatupa sababu ya kwanini vitabu hivyo vikaondolewa...? Unafahamu lengo la kuja kwa Yesu ulimwenguni...?
sio kuondoa tu...pia aliyeandika vitabu hivyo ni binadamu pia...Hata hivyo ambavyo havikuondolewa pia viliandikwa na binadamu pia

[quote{Moja kati ya vitabu vilivyoondolewa ni kitabu cha "gospel of peter" na "gospel of Marry magdalen"
Ndio maana nikakuuliza unajua lengo la Yesu kuja duniani...??
Sio akiwa kijana hata akiwa mtoto maisha yake watu walipata kuyaandika..."gospel of Nativity"... Unafikiri sisi Wakristo tunaotaka wokovu tuliitaji kujua utoto wa Yesu au Ujana wake..? Ili iweje...Yesu alianza kazi aliyotumwa na Baba yake akiwa na miaka 33... Sisi tuna-focus na kazi zake...Mambo ya utoto na ujana wake ni mambo ya kishabiki tuu..
Ambayo siyo ya Kawaida ndio unaamini inaelezea ubinadamu wa Yesu..? Yes! Kwakuwa Yesu ni Mungu...

kabla huyo Constantine hajazaliwa Kanisa lilokuwepo ma Neno la Mungu lilikuwepo ..Sijui ulitaka kitiambia kitu gani hapa..
umeshawahi kuona hiyo ambayo haijachakachuliwa...?[/QUOTE]
Namsubiri ajibu kwa uhalisia kabisa hayo maswali yote lakini zaidi hilo la mwisho....!!!
 
Jina kamili la Leonardo lilikuwa "Leonardo di Ser Piero da Vinci", ambalo lina maana ya "Leonardo, mtoto wa Bwana Piero kutoka Vinci".
------------------------------------------------
Nimependa sana utambulisho wa aina hii, kwa nini haukuendelea hadi sasa, mfano:
Mimi ningeitwa "bdo, mtoto wa Bwana Mbuya kutoka Matepwende - Namtumbo".

Hapa ndio tungefahamiana ni akina nani wanaume wa Dar, Arachuga, Chato, ama Pemba.

Hahahahhahah
""Wanaumw wa Dar" Ha haa haaaaa

Kaka ...
 
Hebu simulia kidogo maana unaelekea kuelewa vitu
Ukweli ulikuja kudhihirika na kuandikwa na Muitaliano wa karibu na da Vinci kuwa Yesu wa nazareti hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Maria Magdalena ila Atheists na wapinga Kristo tokea mwanzoni walitumia mbinu hii kusambaza uzushi ili kupata agents wa kutangaza ibada zao.

Na kwenye picha ya karamu ya mwisho aliyekuwa karibu na Yesu ni Yohana na hakukuwa na mwanamke usiku ule.

Ikumbukwe pia Leonardo da Vinci alikuwa Atheist pia kama magenious wengi wa zamani na pia naye alishatokewa na vitu vya ajabu ajabu kuanzia kuzaliwa kwake.
 
Lini Yesu alitengeneza pombe kimiujiza?

Kitabu cha injili ya Barnaba ni kipi?

Lini wanafunzi wa Yesu walipatwa wivu kwa ajili ya maria magdalena? Ilikuwa wapi ambapo waliambatana naye?

Acha Uongo na Uzushi mkuu, havikusaidii.
Lini Yesu alitengeneza pombe kimiujiza?

Kitabu cha injili ya Barnaba ni kipi?

Lini wanafunzi wa Yesu walipatwa wivu kwa ajili ya maria magdalena? Ilikuwa wapi ambapo waliambatana naye?

Acha Uongo na Uzushi mkuu, havikusaidii.
Unauliza lini? Wewe ndio wale mnaosema Yesu alizaliwa tarehe 25th December! Huku hamfahamu kabisa miaka 18 ambayo haijaandikwa kwenye biblia habari zake... Kabisa... Sasa wajuao ukipewa habari unaona ni mpya na mshangao mkuu... Chumbuka utapata source tu.. Wala hazijafichwa... Na utapata hadi visa why hazijawekwa kwenye bible... Kama ulisikia kuwa ukweli humuweka mtu huru .. Wewe huujui ukweli hivyo upo kifungoni
 
Kwanini unafikiri anaifunga akili yake..?
huu ni uongo mwingine...Biblia halisi inavitabu 72/73
unaweza ukatupa sababu ya kwanini vitabu hivyo vikaondolewa...? Unafahamu lengo la kuja kwa Yesu ulimwenguni...?
sio kuondoa tu...pia aliyeandika vitabu hivyo ni binadamu pia...Hata hivyo ambavyo havikuondolewa pia viliandikwa na binadamu pia

Ndio maana nikakuuliza unajua lengo la Yesu kuja duniani...??
Sio akiwa kijana hata akiwa mtoto maisha yake watu walipata kuyaandika..."gospel of Nativity"... Unafikiri sisi Wakristo tunaotaka wokovu tuliitaji kujua utoto wa Yesu au Ujana wake..? Ili iweje...Yesu alianza kazi aliyotumwa na Baba yake akiwa na miaka 33... Sisi tuna-focus na kazi zake...Mambo ya utoto na ujana wake ni mambo ya kishabiki tuu..
Ambayo siyo ya Kawaida ndio unaamini inaelezea ubinadamu wa Yesu..? Yes! Kwakuwa Yesu ni Mungu...

kabla huyo Constantine hajazaliwa Kanisa lilikuwepo ma Neno la Mungu lilikuwepo ..Sijui ulitaka kituambia kitu gani hapa..
umeshawahi kuona hiyo ambayo haijachakachuliwa...?


Nafikiri uliyejibu hapa ndo Leonardo da vinci mwenyewe...... very nice hoja kwa hoja, swali kwa swali, swali kwa jibi
 
Kwanini unafikiri anaifunga akili yake..?
huu ni uongo mwingine...Biblia halisi inavitabu 72/73
unaweza ukatupa sababu ya kwanini vitabu hivyo vikaondolewa...? Unafahamu lengo la kuja kwa Yesu ulimwenguni...?
sio kuondoa tu...pia aliyeandika vitabu hivyo ni binadamu pia...Hata hivyo ambavyo havikuondolewa pia viliandikwa na binadamu pia

Ndio maana nikakuuliza unajua lengo la Yesu kuja duniani...??
Sio akiwa kijana hata akiwa mtoto maisha yake watu walipata kuyaandika..."gospel of Nativity"... Unafikiri sisi Wakristo tunaotaka wokovu tuliitaji kujua utoto wa Yesu au Ujana wake..? Ili iweje...Yesu alianza kazi aliyotumwa na Baba yake akiwa na miaka 33... Sisi tuna-focus na kazi zake...Mambo ya utoto na ujana wake ni mambo ya kishabiki tuu..
Ambayo siyo ya Kawaida ndio unaamini inaelezea ubinadamu wa Yesu..? Yes! Kwakuwa Yesu ni Mungu...

kabla huyo Constantine hajazaliwa Kanisa lilikuwepo ma Neno la Mungu lilikuwepo ..Sijui ulitaka kituambia kitu gani hapa..
umeshawahi kuona hiyo ambayo haijachakachuliwa...?


Nafikiri uliyejibu hapa ndo Leonardo da vinci mwenyewe...... very nice hoja kwa hoja, swali kwa swali, swali kwa jibi
 
Naona mnaleta udini tu na upagani humu.
Hebu tuelewesheni maana ya hiyo picha na ukweli uliojificha.
Wengine tujue ili nasi tukawahadithie wengine


Kila mtu anapoleta maana anapigwa balaa, bahati mbaya waliojaribu kutoa
Mana wote wamebase kwenye dini, ukristo na upagani..... kila mtu anavutia kwake mara yesu kaoa, mara kambusu mtu frequently, mara da vinci alikuwa gay, mara hakusoma,... basi tu ilimradi confusion
 
Unauliza lini? Wewe ndio wale mnaosema Yesu alizaliwa tarehe 25th December! Huku hamfahamu kabisa miaka 18 ambayo haijaandikwa kwenye biblia habari zake... Kabisa... Sasa wajuao ukipewa habari unaona ni mpya na mshangao mkuu... Chumbuka utapata source tu.. Wala hazijafichwa... Na utapata hadi visa why hazijawekwa kwenye bible... Kama ulisikia kuwa ukweli humuweka mtu huru .. Wewe huujui ukweli hivyo upo kifungoni
Usiseme nichimbuke niupate ukweli.

Wewe huo ukweli unaoujua si uuweke hapa?

Au huujui ukweli wowote ila unajifanya unajua?
 
Kila mtu anapoleta maana anapigwa balaa, bahati mbaya waliojaribu kutoa
Mana wote wamebase kwenye dini, ukristo na upagani..... kila mtu anavutia kwake mara yesu kaoa, mara kambusu mtu frequently, mara da vinci alikuwa gay, mara hakusoma,... basi tu ilimradi confusion
Yaani mie ndo napochoka hapo tu.
Mtoa mada kaomba kufahamishwa juu ya picha ya Monalisa.
Watu washavuka milima na mabonde na miaka na kwenda kumfuata Yesu alikokuwa.

Ngoja tuendelee kusubiri, huenda jibu liko njiani kuja.
 
Yaani mie ndo napochoka hapo tu.
Mtoa mada kaomba kufahamishwa juu ya picha ya Monalisa.
Watu washavuka milima na mabonde na miaka na kwenda kumfuata Yesu alikokuwa.

Ngoja tuendelee kusubiri, huenda jibu liko njiani kuja.

Me nilipochoka ni pale mtu kasema yesu alimuoa magdalene akazaluwa john ( yohana)... na sababu kubwa anasema yesu alimpenda sana yohana, yesu alifanana sana na yohana, yesu alimbusu sana magdalene, yesu alimkabidh yohana kwa magdalene kabla hajafa....... [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] am afraid Yesu akija leo , sijui atamchukua nani maana huku dunian watu wanamfanya yesu kama siasa za CDM na CCM.....
 
DUU!!!!!!!!!!!
itabidi niiweke kwenye hardcopy(niiprint) maana siona utofauti ambao wenzangu wanauona
 
Naona mnaleta udini tu na upagani humu.
Hebu tuelewesheni maana ya hiyo picha na ukweli uliojificha.
Wengine tujue ili nasi tukawahadithie wengine
Madam B, kuna meeengi yanayosemwa haswa ulaya kuhusu hiyo picha ya Mona Lisa

"(My lady Lisa in Italian)" yenye miaka 500 hivi sasa.

Watafiti wa Uingereza mpaka mwaka 2011 walikuwa wanatafuta ukweli kuhusiana na siri za picha hiyo na hata wamarekani.....google utaelewa!!!

¤ Miongoni mwa fictions /facts zake ni kuwa:-

- Kwanza rangi nyeusi ya nywele za bibie huyo ina maana yake kuwa nyeusi na iliindicate aina ya cheo

-Pia Rangi ya kitambaa cha nguo aliyoivaa na style aliyokaa ilimaanisha utawala wa kifalme (ndio maana anahusishwa na Yesu aliyetoka kwenye ufalme wa Daudi) hivyo kuwafanya wengi kuamini alikuwa na uhusiano na Kristo Yesu.

-Nyingine ni namna picha hiyo ilivyo yaani tabasamu la Mona Lisa kuna jina lilitungiwa kabisa wakimaanisha inaashiria furaha na huzuni kwa wakati mmoja

-Pia jicho la kushoto katika picha hiyo na mdomo inafanya picha hiyo kuwa ya Mwanaume pia si ya mwanamke tu.

-Mwisho na ambayo ni siri kubwa zaidi iliyowachanganya watu ni kuwa picha ya kwanza kabisa ya da Vinci ilikuwa na Codes ndogo sanaa na ilipochinguzwa kwa makini sana na kiteknolojia ikagundulika kuna maandishi ambayo:

Katika jicho la kulia pameandikwa LV ikimaanisha jina "Leonardo da Vinci"

Katika jicho la kushoto pia kuna mchoro wa ramani ya siri (haijaelezewa)

Na katika uso mzima pia kuna codes zingine ambazo hazijatafsiriwa vizuri mpaka leo ukiacha kwny kitabu cha Da Vinc Code. By Dan Brown

Hii picha ipo Ufaransa na zimeshachorwa picha kama hizo zaidi ya 300 na kuwekwa kwenye makumbusho ya mataifa mbalimbali.

Mwaka 1963 ilipelekwa kwa Meli mpaka Marekani na Rais J.F Kennedy pamoja na raia 1.7 million walipiga nayo picha.

Ni picha iliyochorwa kwa miaka almost 12 bila kukamilika, 1505 - 1517, na da Vinci alipoenda france aliibeba hiyo tu kati ya picha zake zote alizochora.

Mbali na hiyo, picha nyingine maarufu na nzuri sana ya da Vinci ni ile ya Karamu ya mwisho ya Yesu Kristu, japo nayo ilitungiwa uzushi kuwa maria magdalena akijuwa miongoni mwa wanafunzi wa Yesu.

Hayo ndio yanayosemwasemwa.

Naa
1477863036876.jpg
1477863051882.jpg
mini umeelewa kwa sehemu kubwa.
 
Mm nijuwavyo, huyo mtu haexist alichora tu kutoka kichwani, pia katika mchoro wako hajamwekea monalisa Nyusi katika mchoro!!!
 
Kwanini unafikiri anaifunga akili yake..?
huu ni uongo mwingine...Biblia halisi inavitabu 72/73
unaweza ukatupa sababu ya kwanini vitabu hivyo vikaondolewa...? Unafahamu lengo la kuja kwa Yesu ulimwenguni...?
sio kuondoa tu...pia aliyeandika vitabu hivyo ni binadamu pia...Hata hivyo ambavyo havikuondolewa pia viliandikwa na binadamu pia

Ndio maana nikakuuliza unajua lengo la Yesu kuja duniani...??
Sio akiwa kijana hata akiwa mtoto maisha yake watu walipata kuyaandika..."gospel of Nativity"... Unafikiri sisi Wakristo tunaotaka wokovu tuliitaji kujua utoto wa Yesu au Ujana wake..? Ili iweje...Yesu alianza kazi aliyotumwa na Baba yake akiwa na miaka 33... Sisi tuna-focus na kazi zake...Mambo ya utoto na ujana wake ni mambo ya kishabiki tuu..
Ambayo siyo ya Kawaida ndio unaamini inaelezea ubinadamu wa Yesu..? Yes! Kwakuwa Yesu ni Mungu...

kabla huyo Constantine hajazaliwa Kanisa lilikuwepo ma Neno la Mungu lilikuwepo ..Sijui ulitaka kituambia kitu gani hapa..
umeshawahi kuona hiyo ambayo haijachakachuliwa...?
Makanisa mengi ya kikristo yanatumia biblia yenye vitabu 66 ukiacha kanisa la Roma. King james version ina vitabu 66 ambayo ndo mimi ninatumia. ( kama unabisha endelea kubisha).
Swala la kwa nini baadhi ya vitabu viliachwa zipo sababu nyingi sana...kama nilivyoeelezea tangu awali ni kuwa mfalme constatine alitaka kuufanya utawala wake kuwa imara hivyo akaamua kuunganisha ukristo na upagani.
Pia, kanisa liliondoa baadhi ya vitabu ili kuendelea kuuficha ukweli mfano kusema yesu hakuoa hii ilikua na maana kubwa sana kwao kwani mfumo huu wameutumia mpaka leo
Hivyo wakaondoa vitabu vilivyokuwa vinaelezea maisha ya kibinadamu ya yesu na kuacha vile vinavyoelezea uungu.
Pia suala la kusema sisi tunapaswa kumtambua yesu tu akiwa na nguvu ya uungu sio sahihi na ndio maana nyaraka hizi zinafichwa na kulindwa kwa nguvu zote! Baada ya kumtambua yesu kama Mungu nikatafuta kujua ukweli wa kile kinachofichwa!
Mkuu nilikuuliza maswali haya naomba unijibu kwanza
1: unawajua knights templar? Na majukumu yao ni nini?
2: priory of zion ni akina nani na wanafanya kazi gani?
3: je ni waabudu shetani?
4: kwa nini ni maadui wakubwa sana wa kanisa? Na kwa nini kanisa liliwaua?
5: kama da vinci ni atheist ni kwa nini michoro yake inatumika hadi makanisani? Kuna siri gani katika hili?
6: cue-records ni nyaraka zinazoongelea nini?
Ukijibu maswali haya tutaendelea na mjadala.
 
Makanisa mengi ya kikristo yanatumia biblia yenye vitabu 66 ukiacha kanisa la Roma. King james version ina vitabu 66 ambayo ndo mimi ninatumia. ( kama unabisha endelea kubisha).
Swala la kwa nini baadhi ya vitabu viliachwa zipo sababu nyingi sana...kama nilivyoeelezea tangu awali ni kuwa mfalme constatine alitaka kuufanya utawala wake kuwa imara hivyo akaamua kuunganisha ukristo na upagani.
Pia, kanisa liliondoa baadhi ya vitabu ili kuendelea kuuficha ukweli mfano kusema yesu hakuoa hii ilikua na maana kubwa sana kwao kwani mfumo huu wameutumia mpaka leo
Hivyo wakaondoa vitabu vilivyokuwa vinaelezea maisha ya kibinadamu ya yesu na kuacha vile vinavyoelezea uungu.
Pia suala la kusema sisi tunapaswa kumtambua yesu tu akiwa na nguvu ya uungu sio sahihi na ndio maana nyaraka hizi zinafichwa na kulindwa kwa nguvu zote! Baada ya kumtambua yesu kama Mungu nikatafuta kujua ukweli wa kile kinachofichwa!
Mkuu nilikuuliza maswali haya naomba unijibu kwanza
1: unawajua knights templar? Na majukumu yao ni nini?
2: priory of zion ni akina nani na wanafanya kazi gani?
3: je ni waabudu shetani?
4: kwa nini ni maadui wakubwa sana wa kanisa? Na kwa nini kanisa liliwaua?
5: kama da vinci ni atheist ni kwa nini michoro yake inatumika hadi makanisani? Kuna siri gani katika hili?
6: cue-records ni nyaraka zinazoongelea nini?
Ukijibu maswali haya tutaendelea na mjadala.
Wewe unatishia tishia au sijui unapima watu?

Hayo yoote unayoyaelezea kwanini usifunguke zaidi?

Assume yeye hayajui...si ufunguke kwa msaada wa wengine?
 
Back
Top Bottom