mmh makubwa haya........mbona mambo mia kichelevitu nilivyogundua humo kuna ishu kama ya freemason,kuna society inaitwa skull n bones, kuna khits, kuhusu kanisa, kuhusu mnara wa paris kuhusu mstari wa greenwich, kuhusu machiano na olympics kuhusu mungu venus na mambo meeeengi sana na kubwa zaidi ni kwamba ile picha ya monalisa inabsura mbili ikiwamo ya huyo jamaa da vinci, na humo anasema kwamba ktk wale wafuasi wa yesu 12 na pia kuhusu maria magdalena kwamba alikuwa na mahusiano na jesus aah we jaribu kusoma vizuuri hicho kitabu utaelewa tuu.
Umeanza vizuri nikadhani utashusha havy nondo kumbe holaaKwanza tabasamu lake hubadilika, yaani ukimwangalia straight anatabasamu na ukimwangalia kwa upande kanuna.
Hilo tabasamu limewachanganya watu wengi enzi hizo na mmoja alijitupa kwenye daraja na mwingine aliiangalia na kusema nimechoka kuliona hili tabasamu na kujipiga risasi ya kichwa.
Kwa kweli maajabu mengine siyajui zaidi ya kope zake
Ni mengi yameandikwa kuhusu Lisa mengine ni hadithi tu.Umeanza vizuri nikadhani utashusha havy nondo kumbe holaa
- mshana jr Embu njoo sema hapa
Hakuna tofauti sana na ile movie ya 'Da Vinci Code'.vitu nilivyogundua humo kuna ishu kama ya freemason,kuna society inaitwa skull n bones, kuna khits, kuhusu kanisa, kuhusu mnara wa paris kuhusu mstari wa greenwich, kuhusu machiano na olympics kuhusu mungu venus na mambo meeeengi sana na kubwa zaidi ni kwamba ile picha ya monalisa inabsura mbili ikiwamo ya huyo jamaa da vinci, na humo anasema kwamba ktk wale wafuasi wa yesu 12 na pia kuhusu maria magdalena kwamba alikuwa na mahusiano na jesus aah we jaribu kusoma vizuuri hicho kitabu utaelewa tuu.
Mkuu sawa nikiwa kwenye pc tafanya hivo..Weka version ya English mkuu hii hapana!
Au nitumie link niifuate mwenyewe mkuu!Mkuu sawa nikiwa kwenye pc tafanya hivo..
Nitakupa usijali mkuu,mambo yote ninayo kwenye pc,hapa nipo na simu,halafu sipendi kuchat chat na simu mabarabarani,naona kama ni ushamba flani,usijali..consider it done mkuu!Au nitumie link niifuate mwenyewe mkuu!
Nasubiri ujio wako naamini utafanikisha.....Nitakupa usijali mkuu,mambo yote ninayo kwenye pc,hapa nipo na simu,halafu sipendi kuchat chat na simu mabarabarani,naona kama ni ushamba flani,usijali..consider it done mkuu!
I am a man of my word...
[emoji106] [emoji106] [emoji106]Nitakupa usijali mkuu,mambo yote ninayo kwenye pc,hapa nipo na simu,halafu sipendi kuchat chat na simu mabarabarani,naona kama ni ushamba flani,usijali..consider it done mkuu!
I am a man of my word...