LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,320
- 6,686
Au nitumie link niifuate mwenyewe mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au nitumie link niifuate mwenyewe mkuu!
Mkuu, Da Vinci Code ni fiction, not factual.kwa kukusaidia fasta fasta tafuda kitabu kinaitwa da vince code, kipo ktk pdf usome mwenyewe
Lete mambo mkuuvitu nilivyogundua humo kuna ishu kama ya freemason,kuna society inaitwa skull n bones, kuna khits, kuhusu kanisa, kuhusu mnara wa paris kuhusu mstari wa greenwich, kuhusu machiano na olympics kuhusu mungu venus na mambo meeeengi sana na kubwa zaidi ni kwamba ile picha ya monalisa inabsura mbili ikiwamo ya huyo jamaa da vinci, na humo anasema kwamba ktk wale wafuasi wa yesu 12 na pia kuhusu maria magdalena kwamba alikuwa na mahusiano na jesus aah we jaribu kusoma vizuuri hicho kitabu utaelewa tuu.
Version ya kiswahili ipohichi ndio kitabu cha the da vinci code cha Dan Brown version ya kiingereza
Dah mkuu una macho mangapi mbona mimi naona sura moja tuvitu nilivyogundua humo kuna ishu kama ya freemason,kuna society inaitwa skull n bones, kuna khits, kuhusu kanisa, kuhusu mnara wa paris kuhusu mstari wa greenwich, kuhusu machiano na olympics kuhusu mungu venus na mambo meeeengi sana na kubwa zaidi ni kwamba ile picha ya monalisa inabsura mbili ikiwamo ya huyo jamaa da vinci, na humo anasema kwamba ktk wale wafuasi wa yesu 12 na pia kuhusu maria magdalena kwamba alikuwa na mahusiano na jesus aah we jaribu kusoma vizuuri hicho kitabu utaelewa tuu.
Hiyo fiction vipi,mbn ROMA kinawapa stress,na kwanini kipigwe marufuku pale kama hakina ukweli mwingi,acheni kuamini mambo ya upande mmoja,jitahidi kuyajua mengi mno kadri uwezavyo na iwezekanvyo,then choose your own way,acha uvivu na uwoga wa maarifa,DA VINCI CODE IS MORE THAN A GREATEST NOVEL mkuu!Mkuu, Da Vinci Code ni fiction, not factual.
Siri mojawapo ni kwamba mchiraji alikuwa anahisiwa kuwa homosexual au?Hii picha imechorwa na genious Da Vinci during medieval era..inasemekana imebeba siri nyingi saana. Siri hizo wachache saana wamepata bahati ya kuzing'amua.
Umenikumbusha prof.longdon,,,,,mtaalamu wa symbology......Silas na bishop Alingarosa.They kill to pritect faith.Louvire museum na Jackie Sunnierre the Grand master of Priori of Zion.Duuuh!
Last supper,kna nyingine,,,,madona of the rockInaitwa Gioconda au ukipenda monalisa ni kazi ya Leonardo da vinci mtaalam wa kuchora kutoka Firenze ipo pale ufaransa katika nyumba ya sanaa ya Louvre sijawahi kwenda paris au kuisoma historia ya Leonardo da vinci ila nilipata bahati mwaka jana kwenda Firenze ila nitaisaka historia yake maana hii picha kwa wale wachoraji ina tafsiri nyingi sana hata ile nyengine nayo wataliani wanaiita ultima chena au kwa kiswahili itakuwa chakula cha mwisho kile cha yesu na wanafunzi wake pia ina maana nitaisaka kwa kweli niisome
We jamaa ni mjanja,safiUmenikumbusha prof.longdon,,,,,mtaalamu wa symbology......Silas na bishop Alingarosa.They kill to pritect faith.Louvire museum na Jackie Sunnierre the Grand master of Priori of Zion.
Kuwapa Roma stress na kupigwa marufuku hakumaanishi kwamba ni factual. Kuna vitabu vingapi ambavyo ni fiction na vimepigwa marufuku sehemu mbali mbali? Mfano mzuri ni "the satanic verses".Hiyo fiction vipi,mbn ROMA kinawapa stress,na kwanini kipigwe marufuku pale kama hakina ukweli mwingi,acheni kuamini mambo ya upande mmoja,jitahidi kuyajua mengi mno kadri uwezavyo na iwezekanvyo,then choose your own way,acha uvivu na uwoga wa maarifa,DA VINCI CODE IS MORE THAN A GREATEST NOVEL mkuu!
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Na hapo chini umejijibu mwenyewe. DA VINCI CODE NI NOVEL.Hiyo fiction vipi,mbn ROMA kinawapa stress,na kwanini kipigwe marufuku pale kama hakina ukweli mwingi,acheni kuamini mambo ya upande mmoja,jitahidi kuyajua mengi mno kadri uwezavyo na iwezekanvyo,then choose your own way,acha uvivu na uwoga wa maarifa,DA VINCI CODE IS MORE THAN A GREATEST NOVEL mkuu!
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Ukirudi Fanya kuanzisha Uzi maana nina shahuku yakufahamuInaitwa Gioconda au ukipenda monalisa ni kazi ya Leonardo da vinci mtaalam wa kuchora kutoka Firenze ipo pale ufaransa katika nyumba ya sanaa ya Louvre sijawahi kwenda paris au kuisoma historia ya Leonardo da vinci ila nilipata bahati mwaka jana kwenda Firenze ila nitaisaka historia yake maana hii picha kwa wale wachoraji ina tafsiri nyingi sana hata ile nyengine nayo wataliani wanaiita ultima chena au kwa kiswahili itakuwa chakula cha mwisho kile cha yesu na wanafunzi wake pia ina maana nitaisaka kwa kweli niisome
Unajua kuzaliwa/kutokea kwa Leonardo da Vinci kulikuaje?Ukisema imechorwa na msanii Leonardo Da Vinci, unakua haujamtendea haki. Unaweza ukamuita polymath Leonardo Da Vinci maana ni mmoja wa watu extraordinary ambao wamewai kutokea duniani. Jamaa alikua ni architect, engineer, doctor, na mtu mbunifu zaidi kutokea duniani.