Callme Sally
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 218
- 206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaaaBasi mi nkawa najua ndo bikira maria huyo
mamaeee "" kwa sasa si " 2billions hiyoHakuna mwenye maana kamili juu ya hiyo picha. Ila tuu, mambo mengi yaliyomo katika hiyo picha ni kama baadhi ya wadau walivyotangulia kusema hapo kabla. Ngoja nikupe summary ya baadhi.
1. Picha inabadilikabadilika face impression yakeukiiangalia tokea angle tofautitofauti.
2. Kuna wanaoona kuwa kuna alama za secret societies kama Freemason, skull and bones ndani ya hiyo picha.
3. Kuna wanaoona kuwa hiyo sura ni mjumuisho wa sura mbili kati ya mwanamke na mwanamme.
Bonus :
Ni miongoni mwa picha aghali katika kipindi chake. Kwani Miaka ya 1500, mfalme Francis I wa ufaransa aliinunua picha hiyo kwa kilo 13 za dhahabu ambayo kwa leo ni sawa na dola laki sita na nusu za kimarekani.
Me too bro. kumbe ni genious kaichora aisee.Basi mi nkawa najua ndo bikira maria huyo
watu wanacomplicate tu da vinci amechora simple kama arts nyengine ila kwa kuwa kachora genious basi ndo imekuwa kiki ya enzi.Dah mkuu una macho mangapi mbona mimi naona sura moja tu
Umesoma Da Vinci codes?watu wanacomplicate tu da vinci amechora simple kama arts nyengine ila kwa kuwa kachora genious basi ndo imekuwa kiki ya enzi.
Kaamua kupinga muacheUmesoma Da Vinci codes?
Akitagiwa akikutagi na mimi unitagAkikutag na Mimi unitag tafadhali
Mchoro wa karne ya 16, ila ulichorwa kwa technology ya 3DHuu mchoro ni wa ajabu sana. Ukiuzungusha katika angle zote macho ya huyu mwanamama yanaonekana yakikutazama. Ajabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app