Naomba kufahamishwa mshahara wa mwalimu wa shule za msingi daraja III

Naomba kufahamishwa mshahara wa mwalimu wa shule za msingi daraja III

ngajone

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2015
Posts
531
Reaction score
300
Habari zenu wana JF
Naomba kujua mshahara wa mwalimu wa s/primary ngazi ya cheti [ lll ] kwa mwezi kwa wale walioanza kazi mwaka 2013 ukiondoa makato yao yote yani ile salary taslim inayoingia bank Maana kuna jamaa namdai na jinsi anavyonilipa kiasi kidogo sana tofauti na makubaliano yetu Nataka kuchukua hatua ili nisimuonee.

Majibu ningependa kujibiwa na walimu husika au mwenye uhakika anayejua kiwango sahihi cha mishahara ya walimu wa s/ za msingi
Msaada wenu wadau
Nawasilisha
 
Siku hizi hawalipwi so msamehe hilo deni Mungu atakulipa zaidi
 
bora anakulipa ata hicho kidogo!
Walimu ndio wanaongoza kuwa na madeni mengi hivyo mshahara wake hugawanywa na kubaki namba tu
 
Mishahara siri ww kama unataka nenda halmashauri kwa ma hr kaulize sio humu ,
 
Lakini mkuu si wapo waajiliwa humu watanijibu hakuna haja ya kuficha coz hawatumii ID zao original wafunguke tu
Kwa mwajiri mwenye maadili hawezi fanya ivyo maana watu wengine humu wanadharu kada mbalimbali za watu kwa ajili ya ku expose mambo nyeti kama hayo ,.
 
Back
Top Bottom