hapana mimi ni katolikiLazima utakua mtoto wa mchungaji wewe,bisha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana mimi ni katolikiLazima utakua mtoto wa mchungaji wewe,bisha!
Hiyo sawa kabisa.Upo kama Mimi!kuugua ni ndoto!cha pili nafanana na watoto wangu Kwa kila kitu mpk kitabia!
Basi hilo group 0+ lako ni fake..!labda wewe una +O na sii O+hapana mimi ni katoliki
hahah Jomoni una vi2ko weye...Basi hilo group 0+ lako ni fake..!labda wewe una +O na sii O+
Hapo toa tabia ya kuugua maana cjawahi ugua tangu nijitambuehaha
Sii kweli...!Ebu tujuze zaidi maana hata Mimi Nina group O
Mmmhhhh....Group 0 negative akikutana na mpenzi mwenye group km lake hawazai labda kwa maombi
Kwann si kweli?Sii kweli...!
Unatafuta tu "gear" ya kumtongozea huyu binti mwenye bandiko,bisha!!Kwann si kweli?
Katika utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 2006 nchini Thailand, ulibaini kuwa watu wenye kundi A la damu wako katika hatari kubwa ya kupata saratani ya kinywa, tezi za mate na umio. Lakini pia utafiti huo ulibainisha kuwa watu wenye kundi B wana hatari kubwa ya kupata saratani ya koo.Na mtu mwenye blood group A+ naomba kufahamu..
Hapana si hivyoUnatafuta tu "gear" ya kumtongozea huyu binti mwenye bandiko,bisha!!
Well done mkuu.....Mimi msomaji mzuri sana nilianza muda mrefu na hapa kwng Nina library ndogo
Ok sawa.Hapana si hivyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unatafuta tu "gear" ya kumtongozea huyu binti mwenye bandiko,bisha!!
Na mkeo nae ni O negAsante mkuu tuna club yetu tunajuana, unajua pia sisi damu twaweza mpa yeyote lakini sisi twapeana wenyewe tu? Nashukuru Mungu pia ninae mtu wa karibu sana mwenye group hii ambae tunashea nae mpaka DNA, my lovely daughter.
hapana yeye ni group tofauti kabisa.Na mkeo nae ni O neg
Safi kabisa kwa sisi kuweza kisaidiwa damu nao ,tatizo linakuja kwao kupata Msaada wa damu wao wanahitaji damu aina yao tu,yaani Rh negative! huwa inasumbua hasa wakati wa dharura.Universal donor. Watu muhimu sana nyie na mpo wachache sana katika jamii zetu.
Jilinde mkuu maana unaweza kuja kutusaidia baadae..
Sio kweli,O rh -anazaa vizuri bila shida akiwa na mume Orh-,coz kiumbe atakua ni Orh- kwahyo hitakua shida kwa mama,,shida inakuja kama mama ni rh + na baba no rh-,kiumbe atakua rh+ kama baba yake,so mama atatengeneza antibodies agaist rh+ ya mtoto,mtoto wa kwanza atazaa vizuri,shida itakua kwa mtoto atakayefuataMkuu unaweza tupa facts ni kwann hawazai wakiwa wote kundi O rh- ???