Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani!Shukrani
Mvaaji wa ninii?Noma kwelikweli ila inategemea na mvaaji[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2]we jamaaWanataga mayai mengi Zaidi ya hayo ila kama wewe masikini hawatagi hata Yai Moja hawakaagi Na masikini
"Babu yangu anao ngoja nikamuulizee...Mvaaji wa ninii?
Muda wote wapo smart.Babu yangu anao ngoja nikamuulizee...
Hawa bata bikini noma sana ukiwapa tu mgongo wanakufukuza na ukiwa mwoga wanakudonyoa huku wanapiga kelele, ukisimama na wao wanasimama! alafu wanazuga!
Ni wazuri sana kwa ulinzi wa nyumbani ila uwe na hela!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanataga mayai mengi Zaidi ya hayo ila kama wewe masikini hawatagi hata Yai Moja hawakaagi Na masikini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa bata huuzwa bei ghali sana, hutumika kama walinzi kwasababu wana uwezo wa kushika na ukitumia SMG kama brother Hamza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi we dogo unaadabu kweli wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa bata huuzwa bei ghali sana, hutumika kama walinzi kwasababu wana uwezo wa kushika na ukitumia SMG kama brother Hamza.
Nauza pair elfu 60 wanataga.Habari za leo,
Ntaomba kufahamishwa kuhusu Hawa Bata,nataka kuwafuga kwa kweli.
Hua naaikia wanataga mayai mawili tu kwa mwaka.
Kama Kuna taarifa nyingine au Kuna mtu anawafuga, mwenye uzoefu nao anifahamiahe zaidi.
Upo / wapo mkoa gani?Nauza pair elfu 60 wanataga.
sababu ya kuwauza hivi.
nipo mbali na wanakosa wakuwatunza nataka kuwauza wote wapo 60.
NB:Nauza wote
View attachment 1975698
Morogoro DumilaUpo / wapo mkoa gani?
Typing error [emoji848]Babu yangu anao ngoja nikamuulizee...
Hawa bata bikini noma sana ukiwapa tu mgongo wanakufukuza na ukiwa mwoga wanakudonyoa huku wanapiga kelele, ukisimama na wao wanasimama! alafu wanazuga!
UsijaliTyping error [emoji848]
UsijaliTyping error [emoji848]
Kumbe wanahatari."Babu yangu anao ngoja nikamuulizee...
Hawa bata bikini noma sana ukiwapa tu mgongo wanakufukuza na ukiwa mwoga wanakudonyoa huku wanapiga kelele, ukisimama na wao wanasimama! alafu wanazuga!"