financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mbona kama umepanic mjomba kuliko hata yeye au mtu mmoja I'ds tofauti? Pole sana ila kama nilivosema hili ni jukwaa huru ana haki na kaitumia kuandika! Nna haki na nimeitumia kuchangia kama comment yangu imekuudhi vunga endelea na comments nyingine mbona simple tu, kupangiana cha kuandika siyo kabisa umenikosea tena uniombe radhi😬😬We bana wee hampendani. Mbona sisi wanaume tunatajiana machimbo bila noma Wala maswali maswali. Alafu kwani wewe hujui kinacho enda kufanyika huko au basi ujuaji tu......?
Punguza ujuaji ndugu yetu, Kama unaweza muoneshe huwezi vunga nyie ndio mnao fanya watu wasichangie mada humu kwa sababu ya ujuaji wenu
[emoji1787][emoji1787] nilishakukataza kuuliza maswali Kwa mkupuo..Kwa nn hutaki kunielewa mrembo wangu ?Be specific unahitaji huduma gani?, unataka ujue sehemu wanayojiuza ili nawe uende kujiuza ama unataka kununua?, wewe ni jinsia gani? Unahisi uzi wako una maana na tija yoyote kwa wasomaji na jamii? Je ukifutwa utakua umeonewa?
Dah nimekoma akii, maana nimepanikiwa mbaya😪[emoji1787][emoji1787] nilishakukataza kuuliza maswali Kwa mkupuo..Kwa nn hutaki kunielewa mrembo wangu ?
Km hakimu bn
HahaahaWe bana wee hampendani. Mbona sisi wanaume tunatajiana machimbo bila noma Wala maswali maswali. Alafu kwani wewe hujui kinacho enda kufanyika huko au basi ujuaji tu......?
Punguza ujuaji ndugu yetu, Kama unaweza muoneshe huwezi vunga nyie ndio mnao fanya watu wasichangie mada humu kwa sababu ya ujuaji wenu
Sawa mama dunia mwendokasi,Elimu ya vitendo hiyo safii na bila shaka ulipata chimbo la mtu wa kuku.... mbususu! How much you paid for the service?Elimu haina mwisho nataka kuongeza elimu dunia,, hio dunia inayoenda taratibu hata sitaki kujua ni dunia yangapi!
Ukimkaushia huyo na mm nakukaushiaMbona kama umepanic mjomba kuliko hata yeye au mtu mmoja I'ds tofauti? Pole sana ila kama nilivosema hili ni jukwaa huru ana haki na kaitumia kuandika! Nna haki na nimeitumia kuchangia kama comment yangu imekuudhi vunga endelea na comments nyingine mbona simple tu, kupangiana cha kuandika siyo kabisa umenikosea tena uniombe radhi[emoji51][emoji51]
Mkuu ebu nidokeze! Wewe ndiye mteja uliyepatikana huko chimbo alikokua anaulizia?🤔 au ni mtetezi tu wa haki za wanawake?Ukimkaushia huyo na mm nakukaushia
.Mkuu ebu nidokeze! Wewe ndiye mteja uliyepatikana huko chimbo alikokua anaulizia?[emoji848] au ni mtetezi tu wa haki za wanawake?
Hasa huyo juu ya comment yakoMbingu utaisikia tu mkuu
kwamba huku mtaani nimefulia nikakosa kabisa mpaka nije kuhangaika na hawa fekero wa nyuma ya keyboard?? Sijafikia hatua hio
Achana nao mama wasikuzungushe zungushe. Njoo nipo nauza barabara ya 7 hapo. Au nikutajie na kiwango kabisa,na size ya mashine?Ona Mlivo selfish na wakujithamini sasa?? Ndio kwamba huu wingi wa wanawake ndio unapelekea wao kujiuza ama?? Kama ni life's hardship mbona kuna wanaume hali tete kimaisha?? Kwanini nao wasijiuze kwa wanawake?? Kwani hakuna wanawake wenye pesa??