Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Xr used upati kwa bei hiyoUsed 2.5m na kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Xr used upati kwa bei hiyoUsed 2.5m na kidogo
Niliwai kukutana na jamaa mmoja buguruni ana honda cc 2600 , amenunua milion 45. Element yake amenunua million 8, na anazo elementi kama 10 kwake pia amenunua na airbag ya piki piki, inakuwa kama overlol lkn yenye ina kama upepo ambayo hata ukiburuzika ktk lami haumiii ,mishe zangu mkuu zinahitaji pikipiki sio gar
Mzee ni helmet ama element?Niliwai kukutana na jamaa mmoja buguruni ana honda cc 2600 , amenunua milion 45. Element yake amenunua million 8, na anazo elementi kama 10 kwake pia amenunua na airbag ya piki piki, inakuwa kama overlol lkn yenye ina kama upepo ambayo hata ukiburuzika ktk lami haumiii ,
Vile vibao vya mbuzi vina mlio kama dondora vileye itakuwa alijua ni zile xl za kichina
Body ni yeye mwenyewe [emoji28]Mi nina XLR 250 Honda sasa sijui hiyo XR ni tofauti.
We nunua engine tu nzuri m3 ma bodi kibao ya 200/250 yapo. Body liwe na Kadi na shock up ya kati iwe nzima. Ile shockup ni laki 3 na exhaust pipe laki 3
Vyote viwepo. Ukitaka nzima mzima Utalizwa. Body bei ya kawaida sio mbaya inanunulika ni maelewano.
Hii ni baja
Mi nina XLR 250 Honda sasa sijui hiyo XR ni tofauti.
We nunua engine tu nzuri m3 ma bodi kibao ya 200/250 yapo. Body liwe na Kadi na shock up ya kati iwe nzima. Ile shockup ni laki 3 na exhaust pipe laki 3
Vyote viwepo. Ukitaka nzima mzima Utalizwa. Body bei ya kawaida sio mbaya inanunulika ni maelewano.
Baja ni jina la jangwa huko Mexico ambapo mashindano ya kidunia yalikuwa yakifanyika. Honda walikuwa washiriki wenye mafanikio, hiyo Baja ni Lebo ya mashindano kama Paris-Dakar Rally. Kuna Honda 450 zilikuja na tank zenye label ya Paris-DakarHii
Hii ni baja
Baja ni jina la jangwa huko Mexico ambapo mashindano ya kidunia yalikuwa yakifanyika. Honda walikuwa washiriki wenye mafanikio, hiyo Baja ni Lebo ya mashindano kama Paris-Dakar Rally. Kuna Honda 450 zilikuja na tank zenye label ya Paris-Daka
Duh! Milioni 2.5 itakua imechoka sana... Kuna jamaa nikiwauliza wanasema ikiwa hali nzuri ni kitu kama milioni 5 hadi 7Used 2.5m na kidogo
Yes, hata mimi jamaa wenye nazo huku mererani nikiuliza wanasema milioni 5+... Inategemea ipo kwenye ubora gan.kwaa bei ya wap hiyo mzee
nilienda kuulizia mererani(arusha) mtumba inachezea kwenye 9ml
mh, hii ya airbag skuwahi isikia mkuu,ni kweli au unatupanga ??[emoji16][emoji16]Niliwai kukutana na jamaa mmoja buguruni ana honda cc 2600 , amenunua milion 45. Element yake amenunua million 8, na anazo elementi kama 10 kwake pia amenunua na airbag ya piki piki, inakuwa kama overlol lkn yenye ina kama upepo ambayo hata ukiburuzika ktk lami haumiii ,
Ila kiukweli upande wa design XR ama XRL ziko vizuri kuliko hizi CRF , yaani CRF zimekaa kma dinossour[emoji16]Kwa sasa hizo XR na XRL ni matoleo ya Zamani yaliyozalishwa miaka ya 1980 Sasa hazitengenezwi Tena. Honda saizi wanatengeneza CRF kuanzia 125/150/250/450 ambazo ni Rally na Kawaida.
View attachment 1862236
Sasa Helment 10 imeingiaje au ndio kunogesha mada? Mpaka utaje idadi? Naomba unishushe broNiliwai kukutana na jamaa mmoja buguruni ana honda cc 2600 , amenunua milion 45. Element yake amenunua million 8, na anazo elementi kama 10 kwake pia amenunua na airbag ya piki piki, inakuwa kama overlol lkn yenye ina kama upepo ambayo hata ukiburuzika ktk lami haumiii ,