Naomba kufahamu bei ya taa hizi

Naomba kufahamu bei ya taa hizi

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Wadau hivi ni kweli taa hizi za mbu zina uwezo wa kuvuta na nzi.

Vipi bei yake halali ni Tsh ngapi
 

Attachments

  • TAA ZA MBU.jpg
    TAA ZA MBU.jpg
    13 KB · Views: 13
Hivi ni kweli taa hizi zinavuta mbu na nzi.

Bei yake halali ni Tsh ngapi.
TAA ZA MBU.jpg
 
Hivyo vidude bana hakuna kitu ni utapeli tu.

Inavuta mbu tena wachache sana,lakini sio kwamba inaondoa usumbufu wao,kama unavyojua jinsi walivyo wengi.
Kidogo iwe umefunga milango na madirisha hakuna kuruhusu wengine kuingia.
 
Hivyo vidude bana hakuna kitu ni utapeli tu.

Inavuta mbu tena wachache sana,lakini sio kwamba inaondoa usumbufu wao,kama unavyojua jinsi walivyo wengi.
Kidogo iwe umefunga milango na madirisha hakuna kuruhusu wengine kuingia.
Jf Bwana😂 Kila mtu ni mjuaji na mshauri !! Hizi taa zina Circuit ambayo inatoa sauti ya Mbu Dume hivyo Mbu majike(wanaoeneza Homa ya Malaria) huvutwa na hatimae upigwa Short na High Voltage Circuit hivyo upelekea kufa kwa hao mbu. Vinaweza kuwa weak iwapo Battery (chager yake kuwa low) lakini vinafanya kazi vizuri
 
Wadau hivi ni kweli taa hizi za mbu zina uwezo wa kuvuta na nzi.

Vipi bei yake halali ni Tsh ngapi
Huo mwanga wa utraviolet ndio unawavutia mbu kulingana na macho yao, hii pia hutokea ukiwasha simu kwenye giza mbu hufuata huo mwanga, kinachoua ni waya zenye umeme wa DC wenye kiwango kikubwa sana kuliko unaoingia AC au DC, mbu akigusa hizo waya zilizozungurushwa na kuifanya taa iwe katikati humrarua au kumkausha. Uono wa macho ya nzi unakaribiana na wa mbu kwenye kufuata mwanga wa taa.
Taa hizi sijaziona zinapouzwa ila zipo aina nyingi na nyingine si taa ni raketi kama za kuchezea tenesi ambazo mtumiaji unampiga mbu, hizi zinatumia betri kwa ajili ya kuzalisha voti kubwa sana ya kuua mbu.
 
kuhusu kufukuza mbu inategemea na ukubwa wa chumba mwambie anayekuuzia ukubwa wa eneo kusudiwa ili akupe device cha kuendane na mazingira yako
 
Back
Top Bottom