Naomba kufahamu chimbo la wale wauza viatu vya kike simple jion mbezi mwisho na kimara kwa 5k na 6k wanazitoa wapi?

Naomba kufahamu chimbo la wale wauza viatu vya kike simple jion mbezi mwisho na kimara kwa 5k na 6k wanazitoa wapi?

Kwa faida ya wote najihusisha hii biashara kwa jumla, njoo mtaa wa narung'ombe ndipo tulipo. Ukiwa kituo cha mwendokasi ingia mtaa wa narung'ombe hesabu frem za jengo la DDC hadi frem no 42 or 41 kuna nguzo ya zege then tizama upande wa pili kuna nguzo nyingine ya kawaida njoo kwenye hizi meza chini ya nguzo umefika.
 
Kwenye hizi meza tupo wajasiriamali tunaouza jumla tu kwa kugawa kuanzia pc 5 nk ama ukitaka caton. Maduka ya jumla yapo ukifika utayaona bt wachina wanauza caton tu, na kuna maua mazuri(viatu) unakuta tumenunua chote kwa mchina hamna. Kwa ushauri anzia kwetu maana tunauza kinacholika sokoni by the way kama ni mzuri kwa kulenga kiatu sio mbaya ukaingia dukani na kama mtaji hauko poa anzia kwetu pia unaweza changanya aina tofauti kwa pesa ulionayo. For more info +255784705349
 
Kwenye hizi meza tupo wajasiriamali tunaouza jumla tu kwa kugawa kuanzia pc 5 nk ama ukitaka caton. Maduka ya jumla yapo ukifika utayaona bt wachina wanauza caton tu, na kuna maua mazuri(viatu) unakuta tumenunua chote kwa mchina hamna. Kwa ushauri anzia kwetu maana tunauza kinacholika sokoni by the way kama ni mzuri kwa kulenga kiatu sio mbaya ukaingia dukani na kama mtaji hauko poa anzia kwetu pia unaweza changanya aina tofauti kwa pesa ulionayo. For more info +255784705349
Safi sana
Kiatu cha 5K mbezi hapo kwenu wanachukua kwa sh.ngapi bei ya jumla?
 
Kwa mgawanyo wetu kwa simpo jumla 6000,6500,7000 nk. Hapo rejareja ni 10k na punguzo lipo nafikiri kwa mbez bei ya simpo inalandana. Ila kuna quality ya chini ama mzigo umebuma kwa mchina yani imemkamata ndo anashusha bei hata 4000 ama 5000 jumla bt ukiona kiatu chinga wa jumla amekataa ujue ukiingiza hela yako utaichoma.
Safi sana
Kiatu cha 5K mbezi hapo kwenu wanachukua kwa sh.ngapi bei ya jumla?
 
Hizi ndizo simpo
 

Attachments

  • WA-IMG-20221027-c4477c2d.jpg
    WA-IMG-20221027-c4477c2d.jpg
    100.1 KB · Views: 32
  • WA-IMG-20221026-f6d89397.jpg
    WA-IMG-20221026-f6d89397.jpg
    49.5 KB · Views: 30
  • WA-IMG-20221024-51388675.jpg
    WA-IMG-20221024-51388675.jpg
    61.6 KB · Views: 32
Kwa mgawanyo wetu kwa simpo jumla 6000,6500,7000 nk. Hapo rejareja ni 10k na punguzo lipo nafikiri kwa mbez bei ya simpo inalandana. Ila kuna quality ya chini ama mzigo umebuma kwa mchina yani imemkamata ndo anashusha bei hata 4000 ama 5000 jumla bt ukiona kiatu chinga wa jumla amekataa ujue ukiingiza hela yako utaichoma.
Safi sana
 
Back
Top Bottom