Naomba kufahamu gharama za kutengeneza website

Naomba kufahamu gharama za kutengeneza website

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
16,879
Reaction score
31,253
Habari zenu, naomba kufahamishwa gharama za kutengeneza website ambayo unaweza kufanya online payments za ndani pamoja na Visa & Master cards

Pia naomba kufahamishwa makampuni/watu kutoka hapa Tanzania, ambayo yanaweza/wanaweza kufanya kazi hiyo.
 
Mkuu hilo ni suala la kukaa chini na unaetaka kumpa zabuni/kazi hiyo unampa requirements zako anajuwa ukubwa na ugumu wa system unayotaka utengenezewe.

Je unatoa kazi kama wewe au wewe kama kampuni?
Je wewe unataka kutoa kazi kwa kampuni iliyo sajiliwa au hata kwa individual developer (freelancer software developer) bila ya shariti ya kuwa na kampuni?

Nitafute PM nikupe makadirio ya bei baada ya kuniambia unataka system yako iwe na nini au ifanye kazi zipi.
Ukijieleza sana hapa watu wataiba idea yako ya biashara, au sisi wenye kufanya hiyo kazi tunaweza kujibana bei au kuwatisha watu ktk kazi zingine zijazo.

Kumtengenezea John anae anza biashara gharama ni ndogo kuliko XSpace Limited ambae ni kampuni established yenye uwezo mkubwa na uwezekano mkubwa wa kuingiza fedha nyingi kupitia system hiyo kuliko individual John.
 
Mkuu hilo ni suala la kukaa chini na unaetaka kumpa zabuni/kazi hiyo unampa rquirements zako anajuwa ukubwa na ugumu wa system unayotaka utengenezewe.

Je unatoa kazi kama wewe au wewe kama kampuni?
Je wewe unataka kutoa kazi kwa kampuni iliyo sajiliwa au hata kwa individual developer (freelancer software developer) bila ya shariti ya kuwa na kampuni?

Nitafute PM nikupe makadirio ya bei baada ya kuniambia unataka system yako iwe na nini au ifanye kazi zipi.
Ukijieleza sana hapa watu wataiba idea yako ya biashara, au sisi wenye kufanya hiyo kazi tunaweza kujibana bei au kuwatisha watu ktk kazi zingine zijazo.

Kumtengenezea John anae anza biashara gharama ni ndogo kuliko XSpace Limited ambae ni kampuni established yenye uwezo mkubwa na uwezekano mkubwa wa kuingiza fedha nyingi kupitia system hiyo kuliko individual John.

Imekaa poa hii.
 
Kwangu, gharama ni 619000 ikijumuisha na ununuzi wa domain.

Naifanya kama freelancer!
Habari zenu, naomba kufahamishwa gharama za kutengeneza website ambayo unaweza kufanya online payments za ndani pamoja na Visa & Master cards

Pia naomba kufahamishwa makampuni/watu kutoka hapa Tanzania, ambayo yanaweza/wanaweza kufanya kazi hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubaya wa watu wengi wanaotafuta Web developer humu ni kwamba,

1.Hawapo specific ni kile wanachokitaka from the start
2.Baadhi huwa wanajaribu

Chief ungetoa maelezo kidogo ni Aina gani ya website unayohitaji ili watu wakupe Bei inayoendana na hitaji lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu, naomba kufahamishwa gharama za kutengeneza website ambayo unaweza kufanya online payments za ndani pamoja na Visa & Master cards

Pia naomba kufahamishwa makampuni/watu kutoka hapa Tanzania, ambayo yanaweza/wanaweza kufanya kazi hiyo.
mimi nakutengenezea kwa Laki 2 tu website bomba ikiwa na domain kabsa plus one month hosting service
Check website hii www.magaribay.com ni moja ya kazi nimezifanya. Nipigie kwa 0763017461
 
Mimi ni 100,000/= tu nikashibe

Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
 
Mkuu unapohitaji website unanunua bidha zifuatazao kwa wakati mmoja:
  1. Unanunua domain name ambayo ndio utambulisho wa website yako na anuani ya biashara yako mtandaoni.Bei ya hii inaanzia TZS 25000 na kuendelea kutegemea na aina ya kikoa n.k.
  2. Pili unanunua hosting space ambayo kutegemea na mipango yako inaweza pia kuwa server ya emails zako kwa hio unahitaji storage space kama ambavyo unahifadhi data kwenye PC yako ambayo inakuwa inauzwa kwa kipimo kulingana na mahitaji
  3. Tatu unanunua bandwidhth ambayo inategemea na idadi ya watembeleaji unaotegemea na uzito wa maudhui yako kama unavyotumia MB kwenye DATA package ya simu au modem
  4. Nne unanua vitu optional kama vile ssl encryptionk kwa ajili ya kuhakisha usalama wa taarifa zako na za wateja wako
  5. Kitu kingine unachonunua ni huduma ya kuandaa maudhui(Contents kulingana na eneo lako/biashara yako
  6. Kisha unanunua huduma ya kutengeneza pages kulingana na maudhui yako,na mahitaji mengineyo ambapo anayekutengenezea anaweza kukuchaji kati ya shilingi 10,000 hadi 45000 kwa page kwa kutegemea idadi ya kurasa na complexity
  7. Vile veile utanunua huduma ya kufanyiwa SEO optimazationa ambayo mara nyingi unapewa pamoja na page design fee(Ndivyo ninavyofanya mimi ili wengine wanaweza kukuchaji separately)
  8. Pia utanunua huduma ya kusimamia website yako hasa kufanya marekebisha,kuweka updates na kufuatilia ufanisi wa tovuti yake.
Kwa ujumla hivo ndio baadhi ya vitu unavyolipia na ambavyo vyote vinatumia muda au rasilimali pesa katika kuvifanya.Unapotaka kufanyiwa kazi nzuri kaa na developer wako umueleze kuhsu malengo yako ya kibiashara,changamoto zako,uwezo wako kifedha na mambo mengine ya muhimu ili kumuwezesha kufanya scoping ya kazi yako.

Iwapo bado hujafanya uamuzi wa kufanyiwa kazi basi tunaweza kuwasiliana zaidi ili tuweze kushauriana kuhusu huduma hizi.Kwa mawasiliano nitafute kwa masokotz@yahoo.com au ni PM

Karibu sana na kila la heri
 
Back
Top Bottom