Nani kamuua Malcolm? I have never asked myself this question. Walibishana na Elijah Muhammad kuhusu maoni aliyosema Malcolm baada ya Kennedy kuuawa,"It is a case of roosters coming home to roost";kwamba kama Kennedy kauawa,huo ni uovu wanaotutendea Wazungu kila siku,umewarudia wao.
Ndio Elijah Muhammad akasema,"Wewe,,kaa kimya. Kama Kennedy kauawa,we(Black Muslims) don't have to make any comments." Elijah Muhammad was right. Ile March to Washington ya Negroes iliyoongozwa na Martin Luther King Jr,ilifanyika wakati Kennedy alipokuwa rais.
Lakini kifo cha Malcolm,kama kifo cha Martin Luther Kingjr,most probably kilikuwa kazi ya American government.
I cite these various revolutions, brothers and sisters, to show you, you don’t have a peaceful revolution. You don’t have a turn-the-other-cheek revolution. There is no such thing as a nonviolent revolution. The only kind of revolution that’s nonviolent is the Negro revolution, the only revolution based on loving your enemy is the Negro revolution. The only revolution in which the goal is a desegregated lunch counter, a desegregated theater, a desegregated park, and a desegregated public toilet; you can sit down next to white folks on the toilet