Naomba kufahamu hospital ya macho inayotibu vizuri kwa gharama nafuu ukiachana na CCBRT

Naomba kufahamu hospital ya macho inayotibu vizuri kwa gharama nafuu ukiachana na CCBRT

Je mtu anayepoteza kuona au kuona hafifu kwa sabab ya uzee nae anatibika?
Je humu mnaisema bei kubwa bila kutaja wastan mnatusaidiaje.
How expensive is expensive!

Miwani ina kuhusu mkuu

Labda kama shida kubwa sana basi watakuchuna

Haya mara nyingi ndio matibabu ya uzee
 
Mkuu fatherhood ulienda kutibiwa??, 👉Kama ndio ni hospital ipi Kati ya ccbrt au agarwal morroco
👉Gharama zao zikoje?? Kuanzia kupima ??, Dawa??
Maelekezo mengine boss, Nina Mgonjwa anasumbuka Sana🙏🙏
 
Mkuu fatherhood ulienda kutibiwa??, 👉Kama ndio ni hospital ipi Kati ya ccbrt au agarwal morroco
👉Gharama zao zikoje?? Kuanzia kupima ??, Dawa??
Maelekezo mengine boss, Nina Mgonjwa anasumbuka Sana🙏🙏
Ndugu ebu nenda pale Tandika,kwa unayetokea maeneo ya mjini ukifika mwembe yanga kama umepanda gari za kuendea Buza unashuka kituo kona ya Bandari na unatambaa na barabara ya lami kama unaendea majaribio round about na kabla haujafika utakutana na shule inaitwa Bilal muslim ukiivuka tu unakata kulia hapo unakutana na hiyo hospital,huduma zao ni nzuri sana na gharama ni kama bure maana kujisajiri ni 10,000 ambayo inabeba gharama zote ndani ya mwezi mzima hata kama utatakiwa operesheni ndani ya huo mwezi pesa hiyo hiyo inacover
 
Ndugu ebu nenda pale Tandika,kwa unayetokea maeneo ya mjini ukifika mwembe yanga kama umepanda gari za kuendea Buza unashuka kituo kona ya Bandari na unatambaa na barabara ya lami kama unaendea majaribio round about na kabla haujafika utakutana na shule inaitwa Bilal muslim ukiivuka tu unakata kulia hapo unakutana na hiyo hospital,huduma zao ni nzuri sana na gharama ni kama bure maana kujisajiri ni 10,000 ambayo inabeba gharama zote ndani ya mwezi mzima hata kama utatakiwa operesheni ndani ya huo mwezi pesa hiyo hiyo inacover
Samahani mkuu, hospital Ina itwaje???, Mbona Gharama ziko cheap hivyoo🤔🤔
👉Usalama wa matibabu ukoje??
👉 Hospital Ina itwaje??
👉Ushawai tibiwa hapo shikamkono01
 
Samahani mkuu, hospital Ina itwaje???, Mbona Gharama ziko cheap hivyoo🤔🤔
👉Usalama wa matibabu ukoje??
👉 Hospital Ina itwaje??
👉Ushawai tibiwa hapo shikamkono01
ndugu yangu wamiliki wa hiyo hospital ndio wamiliki wa hiyo shule ni wale mashia,ujue mashia uwa na utaratibu wa kufanya matibabu bure na nadhani hata kuweka iko kiwango ni kutaka wananchi wathamini huduma kwa kujiona wamechangia kitu,mimi wanafamilia wangu wawili wasgpapata matibabu hapo tena mmoja operesheni kabisa mwezi wa kwanza,watu ni wengi wanaofika ila waweza kwenda siku kama leo kupajua then kesho yake unadamka kuwahi,huduma ni nzuri na salama nadhani unawajua jamii ya mashia katika masuala hayo,nenda ndugu yangu
 
Je mtu anayepoteza kuona au kuona hafifu kwa sabab ya uzee nae anatibika?
Je humu mnaisema bei kubwa bila kutaja wastan mnatusaidiaje.
How expensive is expensive!
Inawezekana umefanya mtoto wa jicho (cataracts) ndiyo tatizo kubwa la macho uzeeni.

Mama yangu alikuwa miaka 85 alipopoteza nuru ya macho, tulimpeleka kwa Mturuki pale Ali Hassan Mwinyi Road kwenye moja ya yale majengo marefu (karibu na kile kituo cha mafuta nimesahau jina).

Alifanyiwa operation macho yote mawili kwa dola 1300 (kama miaka mitano nyuma) lakini hatukujutia maana huwezi amini nuru yake ya macho ilirudi kwa asilimia mia moja (20/20 vision). Alikuwa akiona vitu mpaka vya mbali na vidogo kabisa.
 
Unataka huduma nzuri kwa bei ya bure. Sasa wataendeleza vipi kuwa na huduma bora kama wewe wataka vitu cheap tu. Watu bwana.
 
Mkuu fatherhood ulienda kutibiwa??, [emoji117]Kama ndio ni hospital ipi Kati ya ccbrt au agarwal morroco
[emoji117]Gharama zao zikoje?? Kuanzia kupima ??, Dawa??
Maelekezo mengine boss, Nina Mgonjwa anasumbuka Sana[emoji120][emoji120]
Aisee maisha haya. Hospital zote za macho kubwa Tanzania nimefika.

CCBRT
ALFA
MUHIMBILI
KCMC
AGARWAL
INTERNATION EYE HOSPITAL

AGARWAL NA INTERNATIONAL ni Wazuri , kama huna bima jipange vizuri (AGARWAL target DR. KAZIM DHALLA)

CCBRT ni Wazuri pia gharama nafuu ila ukienda upande wa private clinic yao kama huna bima jiandae kisaikolojia

ALFA- ni hospital ya Specialist mkubwa wa hapo Muhimbili yupo vizuri sana. Gharama ni za wastani tu

MUHIMBILI - Gharama ni nafuu kabisa, wataalamu ni wengi kutokana na tatizo la mtu husika. Jipange kuwahi foleni na kupoteza siku nzima ila kama ni MTOTO huwa wanapewa FAST TRACK


KCMC - Sina uzoefu nao sana mana nilienda mara moja tu. Ila jiandae kiakili kuwahi namba na foleni moja matata
 
Aisee maisha haya. Hospital zote za macho kubwa Tanzania nimefika.

CCBRT
ALFA
MUHIMBILI
KCMC
AGARWAL
INTERNATION EYE HOSPITAL

AGARWAL NA INTERNATIONAL ni Wazuri , kama huna bima jipange vizuri (AGARWAL target DR. KAZIM DHALLA)

CCBRT ni Wazuri pia gharama nafuu ila ukienda upande wa private clinic yao kama huna bima jiandae kisaikolojia

ALFA- ni hospital ya Specialist mkubwa wa hapo Muhimbili yupo vizuri sana. Gharama ni za wastani tu

MUHIMBILI - Gharama ni nafuu kabisa, wataalamu ni wengi kutokana na tatizo la mtu husika. Jipange kuwahi foleni na kupoteza siku nzima ila kama ni MTOTO huwa wanapewa FAST TRACK


KCMC - Sina uzoefu nao sana mana nilienda mara moja tu. Ila jiandae kiakili kuwahi namba na foleni moja matata
Umeongea vyote ila Gharama hujasema??, na hata location ya hizo hospital hujatajaa🤔🤔 duh
 
Mimi siku hizi kusoma maandishi kwenye vitabu imekua mtihani kweli kweli

Simu ikifika giza machozi yananitoka kwa jinsi ninavyo binya macho ili nisome

Nadhani hospitali za macho zinanihusu sasa
 
Umeongea vyote ila Gharama hujasema??, na hata location ya hizo hospital hujatajaa[emoji848][emoji848] duh
Asante.

KCMC -Moshi KILIMANJARO

DR AGARWAR EYE HOSP-Morroco (Dar es Salaam ipo FAYKAT TOWER 4TH FLOOR)

INTERNATIONAL EYE HOSPITA - Ipo Eneo linaitwa VODACOM ilipo makao makuu ya VODACOM ipo jengo linaitwa TROPICAL HOUSE 2nd FLOOR

ALFA SPECIALIZED HOSP- Ipo UPANGA Next to ROMAN CATHOLIC UPANGA (wana tawi Mikocheni Chama nyuma ya ENGEN PETROL STATION

CCBRT CLINICS YA KAWAIDA NA PRIVATE zipo msasani njia ya kwenda COCO BEACH kituo kinaitwa MACHO (PANDA gari zozote za kwenda MASAKI utafika)

MUHIMBILI HOSP- Hii inajulikana sana

Kuhusu gharama: hizi zina vary tokana na tatizo na dawa ila INTERNATION NA AGARWARL gharama zipo juu kama huna Bima Ndio utakoma. Mfano dawa ya 15k pale ni 25k hivi. Pia wanahuduma nyingi ambazo bima haina cover.


CCBRT Private ina gharama kubwa mana ni premium clinic

CCBRT ya kawaida ni affordable tu kwa maisha yetu
 
Asante.

KCMC -Moshi KILIMANJARO

DR AGARWAR EYE HOSP-Morroco (Dar es Salaam ipo FAYKAT TOWER 4TH FLOOR)

INTERNATIONAL EYE HOSPITA - Ipo Eneo linaitwa VODACOM ilipo makao makuu ya VODACOM ipo jengo linaitwa TROPICAL HOUSE 2nd FLOOR

ALFA SPECIALIZED HOSP- Ipo UPANGA Next to ROMAN CATHOLIC UPANGA (wana tawi Mikocheni Chama nyuma ya ENGEN PETROL STATION

CCBRT CLINICS YA KAWAIDA NA PRIVATE zipo msasani njia ya kwenda COCO BEACH kituo kinaitwa MACHO (PANDA gari zozote za kwenda MASAKI utafika)

MUHIMBILI HOSP- Hii inajulikana sana

Kuhusu gharama: hizi zina vary tokana na tatizo na dawa ila INTERNATION NA AGARWARL gharama zipo juu kama huna Bima Ndio utakoma. Mfano dawa ya 15k pale ni 25k hivi. Pia wanahuduma nyingi ambazo bima haina cover.


CCBRT Private ina gharama kubwa mana ni premium clinic

CCBRT ya kawaida ni affordable tu kwa maisha yetu
Asante Philipo D. Ruzige je kuhusu Gharama za vipimo mfano shingapi kuanzia ccbrt kawaida na Dr agwaral ??
 
Back
Top Bottom