Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Vipimo vinatofautiana Sana. Ila CCBRT naona ni kuna nafuu mana wana ufadhili sana pale.Asante Philipo D. Ruzige je kuhusu Gharama za vipimo mfano shingapi kuanzia ccbrt kawaida na Dr agwaral ??
Labda ungekua specific otherwise nikulink na Dr wa Alfa Hospital ni mshikaji mnaweza ongea mkaelewana vizuri
AGARWAL vipimo karibia vyote bei ni kubwa