inaitwa Infectious coryza ni ugonjwa hatari wa bacteria ambao unaathiri mfumo wa upumuaji na huwa unaonekana kwa kuvimba macho na eneo chini ya jicho, kuku kutoa makamasi na kupiga chafya ugonjwa huu husababisha hasara kubwa.
cha kufanya
chukua wembe pasua huo uvimbe utatoa kitu cheupe kama gololi. weka dawa ya kidonda au paka ute wa jani la aloevera
safisha banda tumia dis infectant ya v-rid 20ml changanya na maji lita kumi na tano wape kuku vitamini kwenye maji,maana pia kupungua kwa vitamin A husababisha washikwe ugonjwa huo kirahisi. walishe majani kwa wingi na chakula kamili kutokana na umri wao. unaweza kutibiwa kwa kutumia antibiotic na dawa zenye salfa. uaweza kupata ushauri zaidi duka la dawa za mifugo
wafugaji wengi wanashindwa kutofautisha kati ya ugonjwa huu wa coryza na fowl pox (ndui)
fowl pox (ndui) wanakuwa na vidoti na madonda madonda mwili mzima mpaka hata baadhi ya sehemu za miguu na ukifunua mwanyoya na mabawa utaviona
coryza ni kama inavyoonekana kwenye picha
https://web.facebook.com/makurainvestment/