Naomba kufahamu juu ya hili kwenye simu za XIAOMI

Naomba kufahamu juu ya hili kwenye simu za XIAOMI

Nimefanikiwa ku update MIUI 13 kwenye Redmi Note 10 Pro.
Kati ya matokeo ya hovyo niliyokutana nayo ni kama ifuatavyo
1. Nikigusa sehemu ya finger print simu ina reboot. Imebid ni disable finger print.
2. Niki customize Font style upande wa sms hazibadili zinabaki vile vile....
Ushauri kwa waliokuwa wakiwaza ku update kwenda MIUI 13 wanaweza kutana na matokeo ya hivi.
Mimi toka toleo lipya limetoka sija update kabsa..naonea huruma gb zangu
 
Nimefanikiwa ku update MIUI 13 kwenye Redmi Note 10 Pro.
Kati ya matokeo ya hovyo niliyokutana nayo ni kama ifuatavyo
1. Nikigusa sehemu ya finger print simu ina reboot. Imebid ni disable finger print.
2. Niki customize Font style upande wa sms hazibadili zinabaki vile vile....
Ushauri kwa waliokuwa wakiwaza ku update kwenda MIUI 13 wanaweza kutana na matokeo ya hivi.
Hivi kwa nini huwa mnapenda kuchokonoa hizo MIUI na kuziupdate?
Licha ya watumiaji wengi wa simu kulalamika kuwa wanapata matatizo wanapoupdate software za simu zao ila bado watu wanaendelea kuupdate
Sitakuja kuupdate software yangu mimi, ikipitwa sana na wakati nanunua simu nyingine. Tabia ya kuupdate software ni hatari kwa simu yako[emoji879][emoji879]
 
Hivi kwa nini huwa mnapenda kuchokonoa hizo MIUI na kuziupdate?
Licha ya watumiaji wengi wa simu kulalamika kuwa wanapata matatizo wanapoupdate software za simu zao ila bado watu wanaendelea kuupdate
Sitakuja kuupdate software yangu mimi, ikipitwa sana na wakati nanunua simu nyingine. Tabia ya kuupdate software ni hatari kwa simu yako[emoji879][emoji879]
Shida iliyopo ni kwamba inakupromt mara kwa mara uifanyie update....
Shida nyingine iliyonipata ni camera imepoteza ubora..... Picha inafifia upande wa chini kulia......
 
Hivi kwa nini huwa mnapenda kuchokonoa hizo MIUI na kuziupdate?
Licha ya watumiaji wengi wa simu kulalamika kuwa wanapata matatizo wanapoupdate software za simu zao ila bado watu wanaendelea kuupdate
Sitakuja kuupdate software yangu mimi, ikipitwa sana na wakati nanunua simu nyingine. Tabia ya kuupdate software ni hatari kwa simu yako[emoji879][emoji879]

Inategemea na simu, ziko brand zina get better with new updates
 
Watu wanaupdate hadi One UI ya Samsung wanaishia kulalamika tu
Sijajua kuhusu iPhone na Google Pixel

Iphone IOS iko stable one thing about them hawabadilishi vitu vingi sana. Core ni ilele ndio maana hawayumbi.
One Ui samsung ime improve itategemea una update Simu gani, but sio unstable as MIUI.

Wadau wa google pixel wataongezea
 
Hio Ni global

Io
Chinese ROM haina Playstore Wala Google services lakini ina Xiaomi GetApps na Mi Browser ambazo zitakuwezesha kuipata hiyo PlayStore na all other Google services.
Xiaomi GetApps ni app store ya Xiaomi ambayo unaweza kudownload apps bila kuwa na account yaani hata kama hauja-sign in wewe unapakua tu apps

NB: Kwa kutumia Xiaomi GetApps na Mi Browser ndio utaweza kupata Google services zote ikiwemo PlayStore. Kwa hiyo kwenye Chinese ROM Google services ikiwemo PlayStore unazipata lakini yakupasa uzidownload wewe mwenyewe

Xiaomi sio Huawei, haijawahi kuzuiwa kutumia Google.
 
Chinese ROM haina Playstore Wala Google services lakini ina Xiaomi GetApps na Mi Browser ambazo zitakuwezesha kuipata hiyo PlayStore na all other Google services.
Xiaomi GetApps ni app store ya Xiaomi ambayo unaweza kudownload apps bila kuwa na account yaani hata kama hauja-sign in wewe unapakua tu apps

NB: Kwa kutumia Xiaomi GetApps na Mi Browser ndio utaweza kupata Google services zote ikiwemo PlayStore. Kwa hiyo kwenye Chinese ROM Google services ikiwemo PlayStore unazipata lakini yakupasa uzidownload wewe mwenyewe

Xiaomi sio Huawei, haijawahi kuzuiwa kutumia Google.
Mkuu kwenye xiaomi chinese nawezaje kuondoa zile app za zenye maandishi ya kichina ?
 
Mkuu kwenye xiaomi chinese nawezaje kuondoa zile app za zenye maandishi ya kichina ?

Sijawahi kumiliki Chinese ROM smartphones lakini labda ujaribu kutafuta solution Google.
Sijui jinsi ya kuzifuta as sijawahi kumiliki Chinese ROM smartphones.
 
Back
Top Bottom