Naomba kufahamu kuhusu Bachelor of Science in Chemistry

Naomba kufahamu kuhusu Bachelor of Science in Chemistry

Acha uongo kijana,unapewa story za kusadikika,muingize chaka mwenzako,huyo Mdada anaitwa Mary kapwani na nilicomfuse amemaliza 2012 sio 2013,..kama una graduate wa mwaka huo muulizie,hio kupata kazi ni 20% but sana sana ni chaki,na cku hizi huo utaratibu wa kubakishwa umeshaisha,wanatoa tangazo mnaomba,best student wa UDSM yote 2010 anaitwa Salome amemaliza computer science but mpaka walipotoa tangazo la kazi ndio aliomba ndio wakamuajiri,hakuna tena kushikwa mkono kubakishwa siku hizi,


Hivi we dogo unajua maana ya kubakizwa?? Wapi uliona mtu anapata ajira bila nafasi za kazi kutangazwa na bila kufanya usaili, a catastrophe for you- u ain't even knowing some points of you contention. Grow big bloke.

Hebu soma kwanza comment yangu, then scroll back to your prior post, afu urudi tena kujibu hoja.
 
Hivi we dogo unajua maana ya kubakizwa?? Wapi uliona mtu anapata ajira bila nafasi za kazi kutangazwa na bila kufanya usaili, a catastrophe for you- u ain't even knowing some points of you contention. Grow big bloke.

Hebu soma kwanza comment yangu, then scroll back to your prior post, afu urudi tena kujibu hoja.

Ckia we kijana,kama ulikua hujui zamani ukiwa kipanga huna haja ya kusubiri watoe nafasi za kazi,unabakishwa moja kwa moja,mfano mzur wanaosoma comp science UDSM wanawajua jamaa wanaitwa abdallah faki au mahundi pia madam kateule hao ni mfano wa waliobakishwa moja kwa moja,but kuanzia miaka ya katikati ya 2000 kujia mwisho ndio hayo mambo yemegeuka,ni lazima tangazo litoke ndio uombe na interview unapigwa,so kama hujui ulizia vizuri kijana
 
Hivi we dogo unajua maana ya kubakizwa?? Wapi uliona mtu anapata ajira bila nafasi za kazi kutangazwa na bila kufanya usaili, a catastrophe for you- u ain't even knowing some points of you contention. Grow big bloke.

Hebu soma kwanza comment yangu, then scroll back to your prior post, afu urudi tena kujibu hoja.

Then mimi sio Dogo kama unavyoropoka,angalia ulimi wako,mimi ni mkubwa wako coz najua saiv unafkiria kuchomoa supplementary hapo
 
Ckia we kijana,kama ulikua hujui zamani ukiwa kipanga huna haja ya kusubiri watoe nafasi za kazi,unabakishwa moja kwa moja,mfano mzur wanaosoma comp science UDSM wanawajua jamaa wanaitwa abdallah faki au mahundi pia madam kateule hao ni mfano wa waliobakishwa moja kwa moja,but kuanzia miaka ya katikati ya 2000 kujia mwisho ndio hayo mambo yemegeuka,ni lazima tangazo litoke ndio uombe na interview unapigwa,so kama hujui ulizia vizuri kijana


Your point please, where's a word???

Naona kila graduate wa udsm ni shemeji yako. next time you'll narrate 'em same parables but my name your reference of assertion...
😛oor😛oor:
 
Your point please, where's a word???

Naona kila graduate wa udsm ni shemeji yako. next time you'll narrate 'em same parables but my name your reference of assertion...
😛oor😛oor:

We andika English yako mbovu hapa lakini ukweli umeshaujua,hapo UDSM napajua kuliko unavyofikiria,usijifanye kichwa ngumu bure
 
We andika English yako mbovu hapa lakini ukweli umeshaujua,hapo UDSM napajua kuliko unavyofikiria,usijifanye kichwa ngumu bure


Kubishana na kilaza, hapana. Endelea kupiga yowe ati unaijua UDSM, watu tunakimbiza tu kitaa. teh teh teh we the bold, prefer discretion it's a huge track of valor.
Ntafurahi next time ukiwa unahadithia wifi zako story zangu. Unaonekana we ni bingwa wa kuzururia nyota za wanaume. Hah hah na lichuo lako la kinyago, you've seen either a begger being a chooser?? Never.
 
Kubishana na kilaza, hapana. Endelea kupiga yowe unaijua atii UDSM, watu tunakimbiza tu kitaa. teh teh teh we the bold, prefer discretion it's a huge track of valor.
Ntafurahi next time ukiwa unahadithia wifi zako story zangu.

Ama kweli kuwa uyaone,we b.wege unataka kuleta ngebe za kijinga hapa,familia yako yote peke yako ndio umebahatisha kufika chuo ma.kalio wewe,story gani niwahadithie?kama umeshawahi kula.witiwa au?..nenda kafanye mapenzi na bimkubwa wako ndio nitapata kuhadithia,
 
Ama kweli kuwa uyaone,we b.wege unataka kuleta ngebe za kijinga hapa,familia yako yote peke yako ndio umebahatisha kufika chuo ma.kalio wewe,story gani niwahadithie?kama umeshawahi kula.witiwa au?..nenda kafanye mapenzi na bimkubwa wako ndio nitapata kuhadithia,


'em join, if you can't beat them. Hah haa hah Maneno ya kilaza hua hayachezi mbali ya pipa la matusi, if you wan't judge a man or a bi.tch too, just watch the pattern of his/her word...
 
'em join, if you can't beat them. Hah haa hah Maneno ya kilaza hua hayachezi mbali ya pipa la matusi, if you wan't judge a man or a bi.tch too, just watch the pattern of his/her word...

Ulianza wewe kuleta maneno ya kashfa,unajifanya kujua mambo kumbe mbumbumbu,
 
Ulianza wewe kuleta maneno ya kashfa,unajifanya kujua mambo kumbe mbumbumbu,

Btw 2 wrong doesn't make a right, better get your time kuliko kujifanya bingwa wa matusi na kilakitu. We stay silent, sio kwamba hatujui kutukana ama nini, ni ustaarabu tu na mazingira tuliyolelewa.

Kama mtu anakua analala chumba ki1 na wazazi to his adulthood, wanakula sahani1 familia nzima, anasoma chini ya mipapai, baba'ke ana minazi mi2 that's all he calls a life at his climax, see that brat'll never get civilized.
Only we the bold are favoured by fortune.
 
Kubishana na kilaza, hapana. Endelea kupiga yowe ati unaijua UDSM, watu tunakimbiza tu kitaa. teh teh teh we the bold, prefer discretion it's a huge track of valor.
Ntafurahi next time ukiwa unahadithia wifi zako story zangu. Unaonekana we ni bingwa wa kuzururia nyota za wanaume. Hah hah na lichuo lako la kinyago, you've seen either a begger being a chooser?? Never.
eti ......vijana wakimaliza mafunzo ya JKT watakuwa na nidhamu ya hali ya juu....thubutu! Jukwaa limeanza kufurika matusi kisa ni hawa wahitimu wa JKT, shame on you!
 
na mie nimechagua bachelor of
science hortculture sua kwenye
second round selction lakini
sifahamu hii course ipoje na ajira
zake naomba kwa anayefahamu
anijibu please
mkuu hujaona kozi nsuri ispokua horticulture??mkuu hiyo kozi ni magumashi!! Karibu sua tutakua jiran!!BORA UNGECHAGUA HATA WILDLIFE!! BUT KARIBU SAANA MIMI NIPO HAPO NACHUKUA VETERINARY MEDICINE
 
eti ......vijana wakimaliza mafunzo ya JKT watakuwa na nidhamu ya hali ya juu....thubutu! Jukwaa limeanza kufurika matusi kisa ni hawa wahitimu wa JKT, shame on you!


Hujaelewa mada ama??

Jkt imetoka wapi? Say well or remain still, :shame:
 
na mie nimechagua bachelor of
science hortculture sua kwenye
second round selction lakini
sifahamu hii coursegnayefahamu
anijibu please

kilimo cha maua mkuu..kama haikua kwe mipango yako nenda ka edit fasta..
 
Back
Top Bottom