Wewe unamuelezea Kai Green wakati donlucchese anamuelezea Great Khali mwanamieleka.Kai ni Body builder kama umemjua natumai unawajua pia Strong Man kama huwajui wafuatilie.
Strong man wana Size kubwa ya mwili kuliko Body builder na sifa ya kuwa Strong man uwe na mwili miraba 7 wakuzaliwa....Mabula mwili mkubwa kuzaliwa Kai ana mwili mdogo kuzaliwa kuijaza sana through ujazo wake unaenda na Dimension ya Anatomy ya mifupa yake.
aaah nimechanganya nikajua kakosea jina ila Kai green nae wanamwita Great Kai...yule nimemzoea Kalii yule mtu mkubwa sana aisee mabula ni ki-toy kwayuleWewe unamuelezea Kai Green wakati donlucchese anamuelezea Great Khali mwanamieleka.
Alikuwa na show yake moja, anawekewa jiwe kubwa sana kifuani, (sio Meko). Uzito tu wa like jiwe unakufanya upate korona na ukiwa umeacha kiasi kikubwa sana cha mboji sakafuni.
Akishawekewa jiwe hilo, hutafutwa mtu mwenye nguvu zake, Kisha huanza kulipiga na nyundo kubwa Sana.
Power Mabula alistaafu michezo yake baada ya kwenda Rukwa, sumbawanga, huko alipita mitaani akiwa juu ya Land Rover 109, akionyesha promo.
Kuna mtaa unaitwa Mazwi, akakuta mtoto wa miaka mitano analisukuma Scania na trela lake, akastaabu sana, akauliza baba yako Yuko wapi? Akajibiwa kaenda kuuleta mlima uleeeee, auweke jirani na nyumba yetu
Yaani Great Khali who is over 7 ft unataka mfananisha na huyu mtu ambaye roughly ni kama ana 6.6ft hivi...Great Kai na huyo jamaa hapo Jamaa ni mkubwa ki Size ya mwili, Kai ana misuli tu.
Powe Ngeta Super Kibonge, namkumbuka huyo alikuja shuleni primary enzi hizo za 90's.Power Iranda, Power Manyati super mapigo
Powe Ngeta Super Kibonge, namkumbuka huyo alikuja shuleni primary enzi hizo za 90's.
Watu wanaosemekana waliishi zamani, yaani watu wa zamani ndio walikuwa na miili hiyo sisi tumetokana tu na mabadilikoWanefili ndio kinanani
Pamoja na mwili wa asili nafikiri alikuwa na mzingaombwe piaPower Mabula kitambo sana,kweli kila zama na kitabu chake,
Alikua anaweka ubao kifuani kisha zinapita Pikipiki juu ya kifua chake,alikua akizuwia pikipiki kwa meno! Pikipiki inafungwa kamba kisha ile kamba yeye anaiuma na meno,alikua akizuwia gari mbili kwa wakati mmoja,gari inafunga kamba kisha ila kamba anaishika kwa mkono wa kushoto na gari ya pili kwa mkono wa kulia,gari zinapiga resi ila zipo pale pale!
Sijui hali hii aliiweza kutokana na mazoezi au alikua tu na nguvu za kuzaliwa nazo,inaweza kua ni Inborn talent.
Nani amepata kumuona Great Khali kwa macho? Na Mabula kwa macho?Yaani Great Khali who is over 7 ft unataka mfananisha na huyu mtu ambaye roughly ni kama ana 6.6ft hivi...
Ila kama ni yule bodybuilder Kai Greene, yule mwamba ni mfupi size ya kawaida tu 1.7 meter hivi
PichaGreat Kai na huyo jamaa hapo Jamaa ni mkubwa ki Size ya mwili, Kai ana misuli tu.
Saiv hawez kutoboa...kuna akina gwajimaIla SI bado hajafa? Tumtafuteni star wa zamani
Alikuwa na show yake moja, anawekewa jiwe kubwa sana kifuani, (sio Meko). Uzito tu wa like jiwe unakufanya upate korona na ukiwa umeacha kiasi kikubwa sana cha mboji sakafuni.
Akishawekewa jiwe hilo, hutafutwa mtu mwenye nguvu zake, Kisha huanza kulipiga na nyundo kubwa Sana.
Power Mabula alistaafu michezo yake baada ya kwenda Rukwa, sumbawanga, huko alipita mitaani akiwa juu ya Land Rover 109, akionyesha promo.
Kuna mtaa unaitwa Mazwi, akakuta mtoto wa miaka mitano analisukuma Scania na trela lake, akastaabu sana, akauliza baba yako Yuko wapi? Akajibiwa kaenda kuuleta mlima uleeeee, auweke jirani na nyumba yetu
Ilikuwaje Moro na sio Mwanza/ShinyangaPower Mabula alishafariki na kuzikwa Morogoro nadhani ilikuwa 2015 kama sijakosea