Naomba kufahamu kuhusu Power Mabula

Wewe unamuelezea Kai Green wakati donlucchese anamuelezea Great Khali mwanamieleka.
 


Kwahiyo yeye na michezo yake yote akajiona cha mtoto???🤣🤣
 
Great Kai na huyo jamaa hapo Jamaa ni mkubwa ki Size ya mwili, Kai ana misuli tu.
Yaani Great Khali who is over 7 ft unataka mfananisha na huyu mtu ambaye roughly ni kama ana 6.6ft hivi...

Ila kama ni yule bodybuilder Kai Greene, yule mwamba ni mfupi size ya kawaida tu 1.7 meter hivi
 
ingekuwa ni miaka hii angekuwa zake ughaibuni akishindana na watu wenye nguvu kama yeye kwenye mashindano ya deadlift. this competition is for people like power mabula, very professional and well organized.
https://youtu.be/rVRvAsJKf6Y
 
Wanefili ndio kinanani
Watu wanaosemekana waliishi zamani, yaani watu wa zamani ndio walikuwa na miili hiyo sisi tumetokana tu na mabadiliko

Kwahiyo kwa ufahamu wangu nahisi kina Mabula ni mabaki ya mwisho mwisho ya watu wa zamani, tazama yale mapiramidi ya misri zile nguzo na matofali yake, hakukuwa na greda lakini inasemekana watu waliyabeba kujengea, rejea stori za Ng'wana Malundi inasemekana alikua na unyayo mkubwa mno hivyo lazima hata mwili wake ulikuwa mkubwa

Ndio ilikuwa miili ya zamani
 
Pamoja na mwili wa asili nafikiri alikuwa na mzingaombwe pia
 
Yaani Great Khali who is over 7 ft unataka mfananisha na huyu mtu ambaye roughly ni kama ana 6.6ft hivi...

Ila kama ni yule bodybuilder Kai Greene, yule mwamba ni mfupi size ya kawaida tu 1.7 meter hivi
Nani amepata kumuona Great Khali kwa macho? Na Mabula kwa macho?

Vipimo vya Great Khali tunaweza kuvipata hata Google, vya Mabula je? Tunajuaje kama Khali anamzidi Mabula?
 
Power Mabula alishafariki na kuzikwa Morogoro nadhani ilikuwa 2015 kama sijakosea
 
Mkuu nampenyezea MAMA kimemo.... hatakuacha hv hv
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…