Naomba kufahamu kuhusu Ushirikina (Uchawi) Mitishamba

Naomba kufahamu kuhusu Ushirikina (Uchawi) Mitishamba

20PROFF

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
8,186
Reaction score
7,184
Habari wanajamvi humu,

Kuna hili swali nimekuwa nikijiuliza sana.

Labda niseme kuwa ninavyoelewa kuwa ushirikina na uchawi hutumia mitishamba na tech zao katika kuharibu na kuroga watu.

Pia waganga hutumia miti na vikolombwezo vingine katika kutibu na kurejesha hali ya mtu.

Hivi mtu akipata tatizo lets say kuwa kaumwa tumbo na ugonjwa hauonekani, au anasikia vitu vinamtembea mwilini, lakini mtu wa karibu ambae jirani au yeyote yule akamwambia ogea magadi au majani flani kwa siku kadhaa, hapi atakuwa amefanya shiriki? Dini zinasemaje juu ya jambo kama hili?

Kuna vijiswali vingi najiulizaga hapa, mshana jr, Eiyer, Mkuu waa chuo kahtaan yeyote mwenye details hebu shusha elimu hapa.
 
Namkumbuka hata Sharifu pia mkuu, ila lengo la hapa si kujadili nani ni nani, maana ukienda nje ya misikiti utakuta mitishamba pia. By the way mimi nimetaka kujuzwa ila naona wew unapenda kubishana badala ya kuelimishana

Ok mkuu twende taratibu.
Mitishamba ni kitu cha kawauda kabisa kwa imani yyt na taifa llt bila kujali Imani wala kabila la mtu.
Lkn ukitaja Mambo ya uchawi na nguvu za giza hapo ndipo unapohama na kwenda Ukurasa mwingine kabisa
Sasa ulitaka Dawa gani nikuunganishie fasta!
Je! Nguvu za kiume ziko swsw?
Usiniulize dawa ya bahati hapa, manake hao wanauza hizo ni matapeli tu.

Hebu Mcheki huyu hapa Yuko Pale Karibu na Kanisa la Magomeni Kitu gani Anasema.

1424323455118.jpg

Piga hio simu.
Atapokea Mpambe kwanza anaitwa Remote
Mwambie akuunganishe na Fundi mitambo halafu sema Shida yako.
 
Last edited by a moderator:
Nmekwambia nina shida na mganga……? Nimeelee ulilotak kusema

Teh teh teh mkuu mbona Unaniogopa Kiasi hiki?
Mi siwezi kukuroga! Na maswali yako najaribu kuyajibu lkn naona Kila nikikupa Unapangua!

NI HIVI!
Hakuna Maradhi Duniani Ambayo Utaugua siku zote mpaka yakudhuru kabisa Halafu Ukapimwe uambiwe hayaonekani!
Hio tabia Ya kukimbilia Kwa Waganga ni Kupenda Short cut! Mtu Unaumwa Kaswende Jamaa (mganga) Anakutibu Ebola! Matokeo yake Mgonjwa anakuwa km Matola. Akitembea km Anakuja kumbe anakwenda.

We ukiugua Nenda Hospitali. Achana Na Hizo dawa za Buku jero.
Utakuja kufa Siku Si zako.
 
Last edited by a moderator:
Washirikina ni watu wasiotumia akili bali kutekeleza wanayodhani yatawasaidia kupata...pesa au madaraka. Haya hayaishi mpaka mauti yao maana Mungu naye huwaacha...tujitahidi kuwaombea tu
 
Teh teh teh mkuu mbona Unaniogopa Kiasi hiki?
Mi siwezi kukuroga! Na maswali yako najaribu kuyajibu lkn naona Kila nikikupa Unapangua!

NI HIVI!
Hakuna Maradhi Duniani Ambayo Utaugua siku zote mpaka yakudhuru kabisa Halafu Ukapimwe uambiwe hayaonekani!
Hio tabia Ya kukimbilia Kwa Waganga ni Kupenda Short cut! Mtu Unaumwa Kaswende Jamaa (mganga) Anakutibu Ebola! Matokeo yake Mgonjwa anakuwa km Matola. Akitembea km Anakuja kumbe anakwenda.

We ukiugua Nenda Hospitali. Achana Na Hizo dawa za Buku jero.
Utakuja kufa Siku Si zako.

Mtu akiwa calm unaona ni sign ya kuogopwa…? Sipo hapa kwa vita vya manen au kushindana kuongea kama unavyo tagg watu. Hakuna sehem yeyote kwenye uzi huu nimsema naumwa. Nimeuliza kitu kingine unajibu kwa kuzunguka,unatoka kwenye mada na kuridi.

Hivi ukapewa mti shamba na mganga hii ni shirk…?
 
Last edited by a moderator:
Mtu akiwa calm unaona ni sign ya kuogopwa…? Sipo hapa kwa vita vya manen au kushindana kuongea kama unavyo tagg watu. Hakuna sehem yeyote kwenye uzi huu nimsema naumwa. Nimeuliza kitu kingine unajibu kwa kuzunguka,unatoka kwenye mada na kuridi.

Hivi ukapewa mti shamba na mganga hii ni shirk…?

Teh teh teh!
Kumbe mkuu mpaka leo hii hujanizoea tu eti?
Mi nataka Kuuchangamsha Huu uzi wako manake Umesinzia mno.
Ndio ukaona nawa Tag Hawa Waefeso waje hapa niwagawie Dozi wakalale!
Km unaogopa Basi Twende utakavyo wewe.

Kabla Ya kuuliza hilo swali hapo Juu lzm Kwanza Utambue MAANA ya SHIRK ni Nini.

SHIRK maana yake Ni Kumshirikisha Mungu Na Viumbe vyake au Kitu chochote.
Mfano hai Ni Hawa Wagalatia!
Wao Tunawaita MUSHRIKUUN kwa Sababu Wanamshirikisha Mungu na Viumbe wake!

Lkn Wewe Kula Dawa ya Mitishamba Ukiwa na Lengo la Kupata Afya hapo Unakuwa Hujafanya Shirki Yyt lkn Ukiamini kuwa Mganga yule Aliyekupa Hio Mitishamba Ana Nguvu za Kukudhuru wewe basi Hapo Tayari na Wewe unakuwa Umeingia Ktk Kundi la WASHIRIKINA.

Na Hio Ni Laana Kubwa mno!
 
Teh teh teh!
Kumbe mkuu mpaka leo hii hujanizoea tu eti?
Mi nataka Kuuchangamsha Huu uzi wako manake Umesinzia mno.
Ndio ukaona nawa Tag Hawa Waefeso waje hapa niwagawie Dozi wakalale!
Km unaogopa Basi Twende utakavyo wewe.

Kabla Ya kuuliza hilo swali hapo Juu lzm Kwanza Utambue MAANA ya SHIRK ni Nini.

SHIRK maana yake Ni Kumshirikisha Mungu Na Viumbe vyake au Kitu chochote.
Mfano hai Ni Hawa Wagalatia!
Wao Tunawaita MUSHRIKUUN kwa Sababu Wanamshirikisha Mungu na Viumbe wake!

Lkn Wewe Kula Dawa ya Mitishamba Ukiwa na Lengo la Kupata Afya hapo Unakuwa Hujafanya Shirki Yyt lkn Ukiamini kuwa Mganga yule Aliyekupa Hio Mitishamba Ana Nguvu za Kukudhuru wewe basi Hapo Tayari na Wewe unakuwa Umeingia Ktk Kundi la WASHIRIKINA.

Na Hio Ni Laana Kubwa mno!

Kwa hiyo utumiaji product za waganga bila kuamini yey anaweza kukudhuru kunakuwa hujafany shirik...sina uhakika na hili, hebu nijuze zaidi unavitu vya kushare nakusikiliza.
 
Kwa hiyo utumiaji product za waganga bila kuamini yey anaweza kukudhuru kunakuwa hujafany shirik...sina uhakika na hili, hebu nijuze zaidi unavitu vya kushare nakusikiliza.

Unaposema Product za waganga hapo unakuwa umetaja kitu ambacho ni kipana sana! Na ndani ya hizo So called (PRODUCT ZA WAGANGA) Kuna vitu ambavyo vinaweza kukupelekea wewe ukaingia ktk SHIRK.
Mfano:-
Mganga akikwambia VAA HIRIZI utajikinga Na BALAA au Maradhi hapo tayari Unaingia ktk SHIRK manake Mwenye Kuweza Kukukinga na Maradhi Au MABALAA ni MUNGU PEKE YAKE.
Kumbuka Hapa Naongelea Imani Yangu Tukufu ya KIISLAMU manake Hao wengine wana imani kuwa Askofu pia Anaweza kukukemea tu Biashara Yote ya Maradhi Ikaisha!
Huko sitaki kwenda kwa sasa manake kumejaa USANII MTUPU!

Lkn Km hizo Product ni dawa Za Mitishamba tu za Kupaka Au Kunywa ili Zitibu hayo maradhi ya mwilini basi Hazikuingizi ktk USHIRIKINA WWT.
 
Unaposema Product za waganga hapo unakuwa umetaja kitu ambacho ni kipana sana! Na ndani ya hizo So called (PRODUCT ZA WAGANGA) Kuna vitu ambavyo vinaweza kukupelekea wewe ukaingia ktk SHIRK.
Mfano:-
Mganga akikwambia VAA HIRIZI utajikinga Na BALAA au Maradhi hapo tayari Unaingia ktk SHIRK manake Mwenye Kuweza Kukukinga na Maradhi Au MABALAA ni MUNGU PEKE YAKE.
Kumbuka Hapa Naongelea Imani Yangu Tukufu ya KIISLAMU manake Hao wengine wana imani kuwa Askofu pia Anaweza kukukemea tu Biashara Yote ya Maradhi Ikaisha!
Huko sitaki kwenda kwa sasa manake kumejaa USANII MTUPU!

Lkn Km hizo Product ni dawa Za Mitishamba tu za Kupaka Au Kunywa ili Zitibu hayo maradhi ya mwilini basi Hazikuingizi ktk USHIRIKINA WWT.

So wewe waweza kwa mganga ili upate tiba ya miti shamba kwa matatizo, yako…?
 
So wewe waweza kwa mganga ili upate tiba ya miti shamba kwa matatizo, yako…?

Mimi sitibiwi na dawa Isio na kipimo kisichojulilana.

Hilo ni chaguo langu lkn.

Na kwa taarifa tu. Mimi fani ya utabibu wa kisasa Ni Moja ya Kazi zangu.
 
Mimi sitibiwi na dawa Isio na kipimo kisichojulilana.

Hilo ni chaguo langu lkn.

Na kwa taarifa tu. Mimi fani ya utabibu wa kisasa Ni Moja ya Kazi zangu.

Oky, leo nakuelewa sana mkuu. So wew ni prof doct……?
 
Labda kuhusu mimi tusiingie sana huko.

Mi ni mtu wa kawaida tu.

Tusitoke nje ya Topic

Oky, ts personal nimekuelewa.
Kama kuna jambo la kushare hapa tuendelee. Ila kwa imani yangu, nijuavyo sipaswi kuwa na uhitaji na waganga
 
Oky, ts personal nimekuelewa.
Kama kuna jambo la kushare hapa tuendelee. Ila kwa imani yangu, nijuavyo sipaswi kuwa na uhitaji na waganga

Matibabu ya Kienyeji hayana Ubaya Wwt unaohusiana na Imani km utautumia Km Dawa Tu.

Matatizo ni pale unapozichanganya Hizo dawa za mitishamba Na Imani.

Dawa ziache km dawa, hapo Huwezi kupata Tabu. Wala Huwezi Kuiharibu Imani Yako.

Mimi mara Moja moja hutumia Dawa za kiasili za Kiarabu kwa ajili Ya External use only. Kama Dawa za Misuli na Joints.
 
Matibabu ya Kienyeji hayana Ubaya Wwt unaohusiana na Imani km utautumia Km Dawa Tu.

Matatizo ni pale unapozichanganya Hizo dawa za mitishamba Na Imani.

Dawa ziache km dawa, hapo Huwezi kupata Tabu. Wala Huwezi Kuiharibu Imani Yako.

Mimi mara Moja moja hutumia Dawa za kiasili za Kiarabu kwa ajili Ya External use only. Kama Dawa za Misuli na Joints.

Hapa nimezungumzia uganga,mkuu. Ila hata madawa ya Hosp source ni mitishamba hii, sema inategema utaalamu gani na ujuzi umetumika katika kujua dawa ipi inahisi na ufanyaji kazi. Kuna baadhi ya madawa ya kienyeji yapo kiiman zaidi
 
Hapa nimezungumzia uganga,mkuu. Ila hata madawa ya Hosp source ni mitishamba hii, sema inategema utaalamu gani na ujuzi umetumika katika kujua dawa ipi inahisi na ufanyaji kazi. Kuna baadhi ya madawa ya kienyeji yapo kiiman zaidi

Labda twende taratibu hapa.
Unasema Tiba za mitishamba huna tabu nazo lkn Uganga ndio shida ktk imani yako.

Sasa kwa ufahamu wako wewe Uganga maana yake nini?
 
Labda twende taratibu hapa.
Unasema Tiba za mitishamba huna tabu nazo lkn Uganga ndio shida ktk imani yako.

Sasa kwa ufahamu wako wewe Uganga maana yake nini?

Ukiondolea dhana ya mganga ni daktari kwa lugha sahihi, ila hapa nazungumzia madktari wanaotumia imani kutoa tiba
 
Ukiondolea dhana ya mganga ni daktari kwa lugha sahihi, ila hapa nazungumzia madktari wanaotumia imani kutoa tiba

Sasa huyo huwezi Kumuita MGANGA!
Huyo ni Mpiga Ramli! Au anaitwa MSHIRIKINA.
Watu wa namna hio hakuna Imani yyt ya kweli Ikawakubali.

Lkn MGANGA anaetumia mitishamba kutibia watu hana tatizo llt ktk imani yyt.
Unless otherwise wewe ni evangelists!
 
Back
Top Bottom