Naomba kufahamu kuhusu Ushirikina (Uchawi) Mitishamba

Naomba kufahamu kuhusu Ushirikina (Uchawi) Mitishamba

Kulamba omo ndio kufanya nini?
Au ndio matambiko ya kigalatia hayo?

Kiongozi my back side!
Teh teh teh teh.

Nyie wasanii mtakuja ingia kwenye adhabu mbaya sana Yaumu lkiyama.

Mimi na ndugu yangu kuitana kiongozi unakereka nini?

Nyie hata mkitutusi namna gani kamwe haturudishi tusi kwa tusi kwani Mungu wangu na Mungu wako ambae ni Yesu Kristo ametuagiza tuwapende tu...

Barikiwa sana ....!!
 
Ninavojua ni kuwa mungu kaumba miti kukiwa na tiba ndani yake iwe ya uchawi au ya kawaida hivyo ukiamini kuwa Mitishamba itakutibu basi utapona ila sasa mtu anapologwa ndio hutumika mitishamba iliyochimbwa kwa shilk mfano kuna miti kama mtu amelogwa ni lazima uchimbe ukiwa uchi yani unachotakiwa kujua ni kuwa kila mtu aliyelogwa kuna tiba yake maalumu mfano kichaa kuna mti kule kigoma unaitwa mzungu Mti huu hupendwa sana na sokwe na unamasharti yake ya uchimbaji ili uwe dawa ila pia ukichimba bila masharti ni dawa kwa kipanda USO au mgolo nk.
 
Kiongozi,hawa watu wana matatizo sana na ni kuwaombea tu ...

Ngugu yangu huku namshukuru Mungu mkuu Yesu Kristo kwani nipo salama,natumai huko wewe na familia yako uko salama pia mkuu!
Mkuu, Yesu Mungu nipo nae ndani yangu, ni mwema kweli.

Mungu akubariki Kiongozi.
 
Huwa nawatafakari sana hawa wenzetu lakin huwa cpat jibu sahihi kuwa wanaakili au

mkuu hawa SIO WENZETU,!

Hii ni misanii mijizi tu, kazi yao kuwadanganya watu kuwa wana mapepo kumbe vibaka tu.
Ibada zao zote ni USANII MTUPU.
 
Mkuu, Yesu Mungu nipo nae ndani yangu, ni mwema kweli.

Mungu akubariki Kiongozi.


Kwanini useme MUNGU akubariki wakati tayari yesu umeshampa cheo cha UMUNGU? Hivi nyie wasanii mna balaa gani?

HEBU TUMUULIZE YESU MWENYEWE, JE! YESU WEWE NI MUNGU??? Yesu anajibu.

kwanza kabisa yesu ALITAHIRIWA, Luka
2: 21: "Siku nane baadaye, wakati wa kumtahirI mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na Malaika kabla hajachukuliwa mimba"

Nauliza, MUNGU ANATAHIRIWA?

SASA Tutazame nini YESU ANASEMA KUHUSU YEYE nI NANI??
YOHANA 5:24
"Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yulealiyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.


YOHANA 5:30
"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.

YOHANA 5:36
Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma.

YOHANA 5:37
Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.


YOHANA 7:16
Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.


YOHANA 7:28
Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.


YOHANA 7:29
Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiyealiyenituma."



YOHANA 7:33
Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule aliyenituma.


YOHANA 8:16
Hata nikihukumu, hukumu yangu ni ya haki kwa sababu mimi siko peke yangu; Baba aliyenituma yuko pamoja nami.


YOHANA 8:18

Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma, ananishuhudia pia."

YOHANA 8:26
Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu. Lakini yulealiyenituma ni kweli; nami nauambia ulimwengu mambo yale tu niliyoyasikia kutoka kwake."


YOHANA 8:29
Yule aliyenituma yuko pamoja nami; yeye hakuniacha peke yangu kwani nafanya daima yale yanayompendeza."


YOHANA 6:38
kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa yangu, ila kutimiza matakwa ya yule aliyenituma.


YOHANA 6:39
Na matakwa ya yule aliyenituma ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho.


YOHANA 12:44
Kisha Yesu akasema kwa sauti kubwa, "Mtu aliyeniamini, haniamini mimi tu, ila anamwamini pia yule aliyenituma.


YOHANA 12:49
Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe, ila Babaaliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.


MATAYO 10:40
"Anayewakaribisha ninyi, ananikaribisha mimi; na anayenikaribisha mimi, anamkaribisha yule aliyenituma.


MARKO 9:37
"Anayempokea mtoto kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi; na anayenipokea mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea yulealiyenituma."


LUKA 9:48
akawaambia, "Mtu yeyote anayempokea mtoto huyu mdogo kwa jina langu, ananipokea mimi; na yeyote anayenipokea mimi, anampokea yule aliyenituma. Maana yule aliye mdogo kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkubwa kuliko wote."


LUKA 10:16
Halafu akasema, "Anayewasikiliza ninyi, ananisikiliza mimi; na anayekataa kuwapokea ninyi, anakataa kunipokea mimi. Yeyote anayekataa kunipokea, anakataa kumpokea yule aliyenituma."


YOHANA 4:34
Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yulealiyenituma na kuitimiza kazi yake.


YOHANA 9:4
Kukiwa bado mchana yatupasa kuendelea kufanya kazi za yulealiyenituma; maana usiku unakuja ambapo mtu hawezi kufanya kazi.


YOHANA 13:20
Kweli nawaambieni anayempokea yule ninayemtuma anaponipokea mimi; na anayenipokea mimi, anampokea yule aliyenituma."


YOHANA 14:24
Asiyenipenda hashiki maneno yangu. Na neno mlilosikia si langu, bali ni lake Baba aliyenituma.


YOHANA 15:21
Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye aliyenituma.


YOHANA 16:5
Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: `Unakwenda wapi?

HITIMISHO:

Kwa mujibu wa BIBILIA YESU ANASEMA WAZI KABISA KUWA YEYE NI MTUME.

QURAN 5:72-73
72. Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu!
Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.

TAFSIRI:

Wenye kudai kuwa Mwenyezi Mungu yu katika Isa bin Maryam hata akawa yeye Mungu, kama wasemavyo Wakristo hii leo, hakika wamekufuru! Yeye Isa hana dhambi ya haya, kwani hakupata kudai hivyo hata mara moja. Bali yeye aliwaamrisha Wana wa Israili wamsafie imani Mwenyezi Mungu peke yake kwa kusema: Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye niumba mimi na nyinyi, na ndiye anaye niendeshea mambo yangu yote, na kwamba kila mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu malipo yake ni kuwa hatoingia Peponi kabisa, bali ataingia Motoni, kwa kuwa amekiuka mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kuvunja mipaka yake hataepuka na adhabu.(Yesu kasema: "Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja." Marko 12.28. "Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe".Yohana 5.30 "Ninapaa kwenda kwa...Mungu wangu naye ni Mungu wenu." Yohana 20.17 ) "

We Ishmael bin max ACHENI UKAFIRI WENU KABLA HAMJAFA, HAKIKA ADHABU YA MUNGU NI KALI MNO.
 
Kiongozi,hawa watu wana matatizo sana na ni kuwaombea tu ...

Ngugu yangu huku namshukuru Mungu mkuu Yesu Kristo kwani nipo salama,natumai huko wewe na familia yako uko salama pia mkuu!

Eiyer, "Kiongozi mkata nyasi kwa buldoza" vipi ndugu?

Mungu mkuu Yesu Kristo?

But about that day or hour no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.

Je Yesu Kristo, mtoto wa Maria, anaijua siku au saa?

'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"

Je Yesu anasemaje hapo? Anakwenda kwa nani?

And this is eternal life, that they may know You, the only true God, and Jesus Christ whom You have sent.

Mungu wa kweli ni wangapi?

Hapo Yesu anaposema "That they may know you, the only true God" anamzungumzia Mungu yupi?

 
Kahtaan

Ishmael na Kiongozi wake katika kukufuru, Eiyer wamekula corner. Wakirudi hapa watakuwa wameweka sabuni ya Omo kinywani.

Au watafungua ile kamusi ya kejeli.
 
Eiyer, "Kiongozi mkata nyasi kwa buldoza" vipi ndugu?

Mungu mkuu Yesu Kristo?

But about that day or hour no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.

Je Yesu Kristo, mtoto wa Maria, anaijua siku au saa?

'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"

Je Yesu anasemaje hapo? Anakwenda kwa nani?

And this is eternal life, that they may know You, the only true God, and Jesus Christ whom You have sent.

Mungu wa kweli ni wangapi?

Hapo Yesu anaposema "That they may know you, the only true God" anamzungumzia Mungu yupi?

Naona unaanza kusaliti amri weye.
 
Kahtaan

Ishmael na Kiongozi wake katika kukufuru, Eiyer wamekula corner. Wakirudi hapa watakuwa wameweka sabuni ya Omo kinywani.

Au watafungua ile kamusi ya kejeli.
Pole sana weye
 
Huna majibu au tafakuri yoyote juu ya posts za hapo juu?

Au hukuyaona maswali weye mchungaji wa kondoo za bwana?

Nilijua tu atajidai umevaa miwani nyeusi na kujifanya hukuyaona maswali.

Msiba huu, Aswad Band.
I will call Black Uhuru to come and sing the Anthem here, inter-alia, Jesus is God.

By the way, Allah said there is no God just like non theists.
 
Watu wa Mungu ! Tambueni kuwa katika baadhi ya mada na maoni yanaweza kuandikwa wana wa ibilisi au majini.Iwe na busara.
 
I will call Black Uhuru to come and sing the Anthem here, inter-alia, Jesus is God.

By the way, Allah said there is no God just like non theists.

So did the Bible. The bible said the same.

there is no God but Me. Isaiah 45:5

If you accept this Bible ayat why you throw a stone at the The Quran ayat?

Quran says,
There is No God but Allah

Who is
Me
in The Bible Verse?

Answer the question if you dare, bro!

Test to your faith, and your belief!

 
I will call Black Uhuru to come and sing the Anthem here, inter-alia, Jesus is God.

By the way, Allah said there is no God just like non theists.
Jesus said, 'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"

Jesus gave them this answer: "Very truly I tell you, the Son can do nothing by himself;
 
Jesus said, 'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"

Jesus gave them this answer: "Very truly I tell you, the Son can do nothing by himself;
Mbona unakimbia neno la "TO MY FATHER"? Sasa wapi Allah kasema yeye ni BABA? HUU NI MSIBA KWENU. Kumbe Allah sio Mungu wa Yesu.
 
So did the Bible. The bible said the same.

there is no God but Me. Isaiah 45:5

If you accept this Bible ayat why you throw a stone at the The Quran ayat?

Quran says,
There is No God but Allah

Who is
Me
in The Bible Verse?

Answer the question if you dare, bro!

Test to your faith, and your belief!


Isaiah 45: 5 I am the LORD, and there is none else, there is no God beside me: I girded thee, though thou hast not known me:

haifanani na hii

Hakuna Mungu isipokuwa Allah.
 
Back
Top Bottom