Teh teh teh!
Kumbe mkuu mpaka leo hii hujanizoea tu eti?
Mi nataka Kuuchangamsha Huu uzi wako manake Umesinzia mno.
Ndio ukaona nawa Tag Hawa Waefeso waje hapa niwagawie Dozi wakalale!
Km unaogopa Basi Twende utakavyo wewe.
Kabla Ya kuuliza hilo swali hapo Juu lzm Kwanza Utambue MAANA ya SHIRK ni Nini.
SHIRK maana yake Ni Kumshirikisha Mungu Na Viumbe vyake au Kitu chochote.
Mfano hai Ni Hawa Wagalatia!
Wao Tunawaita MUSHRIKUUN kwa Sababu Wanamshirikisha Mungu na Viumbe wake!
Lkn Wewe Kula Dawa ya Mitishamba Ukiwa na Lengo la Kupata Afya hapo Unakuwa Hujafanya Shirki Yyt lkn Ukiamini kuwa Mganga yule Aliyekupa Hio Mitishamba Ana Nguvu za Kukudhuru wewe basi Hapo Tayari na Wewe unakuwa Umeingia Ktk Kundi la WASHIRIKINA.
Na Hio Ni Laana Kubwa mno!