Naomba kufahamu kuhusu Ushirikina (Uchawi) Mitishamba

Naomba kufahamu kuhusu Ushirikina (Uchawi) Mitishamba

He has already said that He is the Lord, and we know that God is the Lord of Lords, in contrast, Allah said there is NO GOD. Period.
Nimeuliza Mungu katika hiyo Hosea ni nani?, yupi?
 
Bado hujajibu swali.

Mungu gani anazungumziwa katika Hosea 13:4?

Kama hujui jibu, Ita Eiyer ikusaidie.
Nonda what part of Yesu ni Mungu hauelewi?

Jesus is the Lord God. Soma Revelation 19: 15-16.
 
Last edited by a moderator:
Nonda what part of Yesu ni Mungu hauelewi?

Jesus is the Lord God. Soma Revelation 19: 15-16.

Bado umeshindwa kujibu swali Ishmael.

Kama huna jibu, itisha 2013, pia ile kiongozi inayokata majani kwa buldoza zikusaidie.

Jesus, according to Paulo, ndio the Lord God Lakini Jesus menyewe inasema " I am ascending to my God". Au hiyo aya imekosewa?



 
Last edited by a moderator:
Yohana1:1-3 hapo mwanzo kulikuwa na neno naye neno alikuwako kwa Mungu naye neno alikuwa ni Mungu naye neno alifanyika mwili akaja akakaa kwetu, so no doubt Jesus is God kataa ukubali we worship what we know mnacritisize something that you dnt know*"**** soma biblia in spiritual eyes uelewe sio kiushabiki
 
Bado umeshindwa kujibu swali Ishmael.

Kama huna jibu, itisha 2013, pia ile kiongozi inayokata majani kwa buldoza zikusaidie.

Jesus, according to Paulo, ndio the Lord God Lakini Jesus menyewe inasema " I am ascending to my God". Au hiyo aya imekosewa?
Why are you scared of Revelation 19:15-16?

One of the names of God in Islam is AL-HAQ. Which means in Arabic ‘The Truth.' Did Jesus say in the Holy Bible, "I am the Truth?' Yes. He said on John 14;9," I am the way and the truth and the life. No-one comes to the Father except through Me." The most important for Christians now that Jesus said, "He is the Truth." Always remember this truth.

Can any Muslim deny that is God's (Allah) another name is "The Truth" (AL-HAQ)? No. No one can deny this fact. Because this Truth in Islam is ‘Allah'. AL is Arabic word and its English meaning is ‘you talking about whom.' HAQ means Truth which in English we say ‘I am the Truth'. In Arabic I am the ‘AL-HAQ'. Can any Muslim deny that?
 
Bado hujajibu swali.

Mungu gani anazungumziwa katika Hosea 13:4?

Kama hujui jibu, Ita Eiyer ikusaidie.

Another name for God of Islam is AL-BAETH. The Resurrection. Did Jesus say in the Gospel, "I am the Resurrection?" Yes. In the Gospel of John 11;25-26 Jesus says, "I am the Resurrection and the life. He who believes in Me will live, even though he dies; and who-ever lives and believes in Me will never die." When Muslims God ‘Allah' is called ‘AL-BEATH' which means resurrection, then it is clearly proven to all of us that Jesus Himself is Allah as Jesus says, "I am the Resurrection." In Arabic " I am the ‘AL-BEATH.' There are not a single Muslim in this Earth can deny that. If any Muslim denies this truth then he/she denies/reject ‘Allah' as well because they deny the 99 names of Allah.
 
Another name for God of Islam is AL-BAETH. The Resurrection. Did Jesus say in the Gospel, “I am the Resurrection?” Yes. In the Gospel of John 11;25-26 Jesus says, “I am the Resurrection and the life. He who believes in Me will live, even though he dies; and who-ever lives and believes in Me will never die.” When Muslims God ‘Allah’ is called ‘AL-BEATH’ which means resurrection, then it is clearly proven to all of us that Jesus Himself is Allah as Jesus says, “I am the Resurrection.” In Arabic “ I am the ‘AL-BEATH.’ There are not a single Muslim in this Earth can deny that. If any Muslim denies this truth then he/she denies/reject ‘Allah’ as well because they deny the 99 names of Allah.[/FONT]
Ishmael RESPECT FOOLS to avoid noises!
 
Last edited by a moderator:
Mfano wewe c mshirikina ila umeshauriwa na mtu kuwa ukitaka kupona huo ugonjwa oga na magadi au tembea na mfupa wa nguruwe nk nk. Huu ni ushirikina ingawa hujabobea
 
Huu uzi nimeupitia mada ilikuwa nzuri ila comments zikaenda opiii!

Sometimes na huwa its better kwa iman yangu ni kafanya mujadala na hawa wasio amini mungu kuliko hawa wenzetu,
ambao kisayansi na ki akili watanielewa mno kuliko kufanya mjadala na hawa washirikina ambao wana kitabu au watu wa kitabu,

Nisicho kipenda ni kejeli,
Kuna wenye utambuz ila baadae nao wanakengeuka na kuwa support hao wenye kejeli, hali ya kuwa ukweli wanaujua ila kwa maslahi ya kidunia au kibiashara wanaamua kupotosha wenzao.

Back to medicine, kila ugonjwa unatiba, tiba zimegawanyika kutokana na aina za ugonjwa lkn pia ijulikane kuwa ugonjwa ni nini na una athir pande zipi, ili kujua hayo inabidi binadamu agawanywe kwenye makundi matatu yaani, nafsi, akili, na mwili. Na tiba nayo itatibu kulingana na hizo features.
Ingawa pia kila feature ya binadamu niliyo itaja ina backup yake kwa ajili ya kuifanya feature hiyo i remain balanced/ healthier

Madaktar wanayajua haya.
 
Teh teh teh!
Kumbe mkuu mpaka leo hii hujanizoea tu eti?
Mi nataka Kuuchangamsha Huu uzi wako manake Umesinzia mno.
Ndio ukaona nawa Tag Hawa Waefeso waje hapa niwagawie Dozi wakalale!
Km unaogopa Basi Twende utakavyo wewe.

Kabla Ya kuuliza hilo swali hapo Juu lzm Kwanza Utambue MAANA ya SHIRK ni Nini.

SHIRK maana yake Ni Kumshirikisha Mungu Na Viumbe vyake au Kitu chochote.
Mfano hai Ni Hawa Wagalatia!
Wao Tunawaita MUSHRIKUUN kwa Sababu Wanamshirikisha Mungu na Viumbe wake!

Lkn Wewe Kula Dawa ya Mitishamba Ukiwa na Lengo la Kupata Afya hapo Unakuwa Hujafanya Shirki Yyt lkn Ukiamini kuwa Mganga yule Aliyekupa Hio Mitishamba Ana Nguvu za Kukudhuru wewe basi Hapo Tayari na Wewe unakuwa Umeingia Ktk Kundi la WASHIRIKINA.

Na Hio Ni Laana Kubwa mno!

Mshirikina namba 1 ni yule anaemfanya MTU kuwa Mungu, huu ni ushirikina ulio kithiri na Allah ( SW) atuepushe nao. mitishamba si ushirikian ni tiba kama zile za dukani tu
 
Thank you Sir.

why dont you marry him? He seems to like you cheeks!
1426519423179.jpg

Teh teh teh!
 
Habari wanajamvi humu,

Kuna hili swali nimekuwa nikijiuliza sana.

Labda niseme kuwa ninavyoelewa kuwa ushirikina na uchawi hutumia mitishamba na tech zao katika kuharibu na kuroga watu.

Pia waganga hutumia miti na vikolombwezo vingine katika kutibu na kurejesha hali ya mtu.

Hivi mtu akipata tatizo lets say kuwa kaumwa tumbo na ugonjwa hauonekani, au anasikia vitu vinamtembea mwilini, lakini mtu wa karibu ambae jirani au yeyote yule akamwambia ogea magadi au majani flani kwa siku kadhaa, hapi atakuwa amefanya shiriki? Dini zinasemaje juu ya jambo kama hili?

Kuna vijiswali vingi najiulizaga hapa, mshana jr, Eiyer, Mkuu waa chuo kahtaan yeyote mwenye details hebu shusha elimu hapa.

Mimi nadhani uchawi ni kutokuwa na maelezo juu ya jambo fulani. Mfano kama hujui chanzo cha ugonjwa au hufahamu tukio limetokeaje utaona ni uchawi. Lakini pia kwa upande mwingine uchawi ni kitu cha kawaida. Mfano mbona wakristu wanaamini kuwa Yesu alikufa ili waokolewe? Hata katika uchawi kuna kuhusisha uuaji wa mnyama au mtu kwa jambo fulani. I think hakuna Mungu wa wachawi like evil kama watu wanavyoona. Uchawi is nothing but the ability of man to use his Subconscious Mind kuumba or to make Thought in energy form to manifest. Kuna vitu watu wengi hawajui kuhusu uchawi. Like Medicines na benifits zake. Sema wabongo wanautumia vibaya bila kujua kiundani. Tunapaswa kuacha kuhukumu uchawi bali kuhukumu utumiaji mbaya wake.
 
Mimi nadhani uchawi ni kutokuwa na maelezo juu ya jambo fulani. Mfano kama hujui chanzo cha ugonjwa au hufahamu tukio limetokeaje utaona ni uchawi. Lakini pia kwa upande mwingine uchawi ni kitu cha kawaida. Mfano mbona wakristu wanaamini kuwa Yesu alikufa ili waokolewe? Hata katika uchawi kuna kuhusisha uuaji wa mnyama au mtu kwa jambo fulani. I think hakuna Mungu wa wachawi like evil kama watu wanavyoona. Uchawi is nothing but the ability of man to use his Subconscious Mind kuumba or to make Thought in energy form to manifest. Kuna vitu watu wengi hawajui kuhusu uchawi. Like Medicines na benifits zake. Sema wabongo wanautumia vibaya bila kujua kiundani. Tunapaswa kuacha kuhukumu uchawi bali kuhukumu utumiaji mbaya wake.

Mkuu, hebu weka nyama zaid tutoe tongo tongo mkuu, it seems unafahamu vema hizi habari.
 
Back
Top Bottom