Naomba kufahamu kuhusu Ushirikina (Uchawi) Mitishamba

Naomba kufahamu kuhusu Ushirikina (Uchawi) Mitishamba

ngoja nifanye msjaribio ya uchawi mara kadhaa kisha nije kutoa jibu sahihi.

mahitaji
fukufuku - mdudu
bingilisha kimba - mdudu
vumbi kutoka kwenye shughuli ya biashara ninayotaka kudhuru.
jina la ninaye taka kumdhuru na la *****,
mchanga wa kaburi.

njia
mahitaji yanachanganywa kwenye chungu cha moto, kisha nuio likimtaja mhusika kwa kumtambulisha kupitia mama yake. kisha chungu na vilivyomo vinapasuliwa njia panda.

nikimaliza jaribio hili nitaleta jibu dhahili kwa hoja.
 
Witch craft, ila naomb uanza na subconscious mind……!!!

Mkuu, siku ukija kugundua Sub-Conscious Mind na power yake utagundua kiini cha imani zote, matendo yote, na matokeo yote ya kazi za mwanadamu.

Mind ya mwanadamu imegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni CONSCIOUS MIND na SUBCONSCIOUS MIND.

Conscious mind kazi yake ni kutumia milango ya fahamu kutafuta maelezo na pia kazi yake ni kujaribu kukusaidia uweze kupata maana ya vitu. Ni sehemu ya Mind inayojua wakati/time. Ni sehemu ambayo taarifa zako tangu ulipozaliwa na tangu ulipoanza kujifunza hii dunia ilivyo taarifa zake zinawekwa kwenye sehemu hii.

Subconscious Mind, ni sehemu isiyo na mipaka. Ina asilimia kuwa ya akili yako lakini unaitawala kwa kiasi kidogo sana. Tafiti zinasema wapiga vifaa vya mziki, walimu wa imani, enlightened Beings, na watu waliofunguka ufahamu wanaweza kuiongoza kwa kiasi zaidi. Ni sehemu isiyojua wakati, haijui ubaya wa vitu na haiwezi kuhukumu unachokiamini. Ni sehemu ambayo kazi yake ni kuongoza matendo ambayo wewe huyajui kama vile mapigo ya moyo, kiasi cha sukari n.k. Ni sehemu ambayo ipo kukusaidia. Mfano unaweza ukajisemea nataka niamke saa 11 asubuhi. Huku ukisema hivyo unaamini kuwa lazima uamke kwa sababu unasafiri. Utaona asubuhi lazima uamke (ilishawahi kunitokea) hata kama ukiwa hauna saa unaweza ukaamka mapema tu na usingizi huwa unaisha. Subconsious mind inakusaidia pia ukiwa katika hatari kwa kukupa akili ya ziada. Ni sehemu ambayo wazo likipita kwenye conscious mind na ukalikubali na kuamini linaamia kwenye upande wa subconscious na linaanza kufanyiwa kazi.


Tukirudi katika mada ya uchawi. Mwanadamu anaweza kuumba au kufanya jambo lisilo na mpaka hata wa kisayansi. Mchawi anapofanya matambiko, kafara, chants, kuimba au na madoido mengi kazi yake ni kujitengenezea imani na kuanza kuamini jambo (hapo linaamia kwenye subconscious na linafanyiwa kazi). Pia ni sawa na wanaosali, wanaorudia rudia sala, kutumia rosari, meditation, yoga na vitendo vingi vya kiimani vinamjenga mtu subconsciously bila yeye kujua kuwa anajengewa imani.

Asante.
 
Mkuu, siku ukija kugundua Sub-Conscious Mind na power yake utagundua kiini cha imani zote, matendo yote, na matokeo yote ya kazi za mwanadamu.

Mind ya mwanadamu imegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni CONSCIOUS MIND na SUBCONSCIOUS MIND.

Conscious mind kazi yake ni kutumia milango ya fahamu kutafuta maelezo na pia kazi yake ni kujaribu kukusaidia uweze kupata maana ya vitu. Ni sehemu ya Mind inayojua wakati/time. Ni sehemu ambayo taarifa zako tangu ulipozaliwa na tangu ulipoanza kujifunza hii dunia ilivyo taarifa zake zinawekwa kwenye sehemu hii.

Subconscious Mind, ni sehemu isiyo na mipaka. Ina asilimia kuwa ya akili yako lakini unaitawala kwa kiasi kidogo sana. Tafiti zinasema wapiga vifaa vya mziki, walimu wa imani, enlightened Beings, na watu waliofunguka ufahamu wanaweza kuiongoza kwa kiasi zaidi. Ni sehemu isiyojua wakati, haijui ubaya wa vitu na haiwezi kuhukumu unachokiamini. Ni sehemu ambayo kazi yake ni kuongoza matendo ambayo wewe huyajui kama vile mapigo ya moyo, kiasi cha sukari n.k. Ni sehemu ambayo ipo kukusaidia. Mfano unaweza ukajisemea nataka niamke saa 11 asubuhi. Huku ukisema hivyo unaamini kuwa lazima uamke kwa sababu unasafiri. Utaona asubuhi lazima uamke (ilishawahi kunitokea) hata kama ukiwa hauna saa unaweza ukaamka mapema tu na usingizi huwa unaisha. Subconsious mind inakusaidia pia ukiwa katika hatari kwa kukupa akili ya ziada. Ni sehemu ambayo wazo likipita kwenye conscious mind na ukalikubali na kuamini linaamia kwenye upande wa subconscious na linaanza kufanyiwa kazi.


Tukirudi katika mada ya uchawi. Mwanadamu anaweza kuumba au kufanya jambo lisilo na mpaka hata wa kisayansi. Mchawi anapofanya matambiko, kafara, chants, kuimba au na madoido mengi kazi yake ni kujitengenezea imani na kuanza kuamini jambo (hapo linaamia kwenye subconscious na linafanyiwa kazi). Pia ni sawa na wanaosali, wanaorudia rudia sala, kutumia rosari, meditation, yoga na vitendo vingi vya kiimani vinamjenga mtu subconsciously bila yeye kujua kuwa anajengewa imani.

Asante.

Mkuu hebu recommend kitabu kizuri niweze soma hizi habari kwa undani,.
Shukrani sana
 
Why are you scared of Revelation 19:15-16?

One of the names of God in Islam is AL-HAQ. Which means in Arabic ‘The Truth.’ Did Jesus say in the Holy Bible, “I am the Truth?’ Yes. He said on John 14;9,” I am the way and the truth and the life. No-one comes to the Father except through Me.” The most important for Christians now that Jesus said, “He is the Truth.” Always remember this truth.

Can any Muslim deny that is God’s (Allah) another name is “The Truth” (AL-HAQ)? No. No one can deny this fact. Because this Truth in Islam is ‘Allah’. AL is Arabic word and its English meaning is ‘you talking about whom.’ HAQ means Truth which in English we say ‘I am the Truth’. In Arabic I am the ‘AL-HAQ’. Can any Muslim deny that?

Hujajibu bado Ishmael
Kwa nini unaogopa kujibu?
Ayat imekukamata ile sehemu nyeti.

Mungu anaezungumziwa katika Hosea 13:4 ni nani?
 
Hujajibu bado Ishmael
Kwa nini unaogopa kujibu?
Ayat imekukamata ile sehemu nyeti.

Mungu anaezungumziwa katika Hosea 13:4 ni nani?
Naona umesha elewa kuwa Yesu ni Allah.
 
Unaposema Product za waganga hapo unakuwa umetaja kitu ambacho ni kipana sana! Na ndani ya hizo So called (PRODUCT ZA WAGANGA) Kuna vitu ambavyo vinaweza kukupelekea wewe ukaingia ktk SHIRK.
Mfano:-
Mganga akikwambia VAA HIRIZI utajikinga Na BALAA au Maradhi hapo tayari Unaingia ktk SHIRK manake Mwenye Kuweza Kukukinga na Maradhi Au MABALAA ni MUNGU PEKE YAKE.
Kumbuka Hapa Naongelea Imani Yangu Tukufu ya KIISLAMU manake Hao wengine wana imani kuwa Askofu pia Anaweza kukukemea tu Biashara Yote ya Maradhi Ikaisha!
Huko sitaki kwenda kwa sasa manake kumejaa USANII MTUPU!

Lkn Km hizo Product ni dawa Za Mitishamba tu za Kupaka Au Kunywa ili Zitibu hayo maradhi ya mwilini basi Hazikuingizi ktk USHIRIKINA WWT.

Kakhtaan unajibu vyema ila una kama kitu kupenda ligi.maana hapa kwa unavyoandika hao unaowaita watakuja.mbishane muharibu mada.
 
So did the Bible. The bible said the same.

there is no God but Me. Isaiah 45:5

If you accept this Bible ayat why you throw a stone at the The Quran ayat?

Quran says,
There is No God but Allah

Who is
Me
in The Bible Verse?

Answer the question if you dare, bro!

Test to your faith, and your belief!


Nondo.!
 
Mimi na ndugu yangu kuitana kiongozi unakereka nini?

Nyie hata mkitutusi namna gani kamwe haturudishi tusi kwa tusi kwani Mungu wangu na Mungu wako ambae ni Yesu Kristo ametuagiza tuwapende tu...

Barikiwa sana ....!!

Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
 
Kama alivyoelewa huyu?


Mkuu huyo atakuchosha kwa kuleta mafundisho ya kanisani badala ya kujibu swali. Wanafunzi wake waliokuwa karibu naye walikuwa wanamuita mwalimu cha kushangaza hawa waliokufuru wanamuita Mungu...
 
Last edited by a moderator:
Naona umeishi mpaka unatumia video za Allah, Hivi Allah alisha wai teremsha Video? Msiba huu
Ishmael.
Naomba unipe darasa. Hivi Yesu (Unayesema ni mungu wako)aliandika kitabu Chochote.
Kama aliandika kitabu, hiko kitabu unakiitaje? Kitabu kinaitwaje?
Kama hakuandika kitabu chochote. Kitabu unachotumia kujengea imani yako kimeandikwa na nani?

Je Yesu aliridhia au aliamrisha kuandikwa kwa kitabu hicho?

Je kitabu hicho kiliandikwa wakati Yesu akiwa hai? Aliwahi kukihakiki na kukipitisha kuwa ujumbe uliokuwemo kwenye kitabu hicho ni ujumbe sahihi?
 
Ishmael.
Naomba unipe darasa. Hivi Yesu (Unayesema ni mungu wako)aliandika kitabu Chochote.
Kama aliandika kitabu, hiko kitabu unakiitaje? Kitabu kinaitwaje?
Kama hakuandika kitabu chochote. Kitabu unachotumia kujengea imani yako kimeandikwa na nani?

Je Yesu aliridhia au aliamrisha kuandikwa kwa kitabu hicho?

Je kitabu hicho kiliandikwa wakati Yesu akiwa hai? Aliwahi kukihakiki na kukipitisha kuwa ujumbe uliokuwemo kwenye kitabu hicho ni ujumbe sahihi?
Umesha sikia wapi Mbunguni kuna computer na kalamu kama kwa Allah aliye andika kwa miaka 500? Msiba huu ni wako yake.
1. Hivi Allah aliiteremsha Quran ikiwa imeandiwa au ilikuwa katika umbo gani?
2. Hivi Jibril ni kweli alimsaidia Allah kuteremsha Quran na kwanini atusomi Jibril akiipokea hiyo Quran kutoka kwa Allah?

FYI:

YESU NI NENO, hivyo hana sababu ya kuandika kitabu kama Allah wenu.
 
Umesha sikia wapi Mbunguni kuna computer na kalamu kama kwa Allah aliye andika kwa miaka 500? Msiba huu ni wako yake.
1. Hivi Allah aliiteremsha Quran ikiwa imeandiwa au ilikuwa katika umbo gani?
2. Hivi Jibril ni kweli alimsaidia Allah kuteremsha Quran na kwanini atusomi Jibril akiipokea hiyo Quran kutoka kwa Allah?

FYI:

YESU NI NENO, hivyo hana sababu ya kuandika kitabu kama Allah wenu.

Ni nani alipeleka ujumbe wa mimba ya Yesu kwa Bikira Maria?
 
Umesha sikia wapi Mbunguni kuna computer na kalamu kama kwa Allah aliye andika kwa miaka 500? Msiba huu ni wako yake.
1. Hivi Allah aliiteremsha Quran ikiwa imeandiwa au ilikuwa katika umbo gani?
2. Hivi Jibril ni kweli alimsaidia Allah kuteremsha Quran na kwanini atusomi Jibril akiipokea hiyo Quran kutoka kwa Allah?

FYI:

YESU NI NENO, hivyo hana sababu ya kuandika kitabu kama Allah wenu.

Sasa Ndugu Biblia unayotumia imeandikwa na nani?
 
Sasa Ndugu Biblia unayotumia imeandikwa na nani?
KORAN HAIKUTEREMSHWA KUTOKA KWA ALLAH


Je, ungependa kuwafahamu waandishi wa Koran?

Katika somo letu la leo, tutajifunza kuhusu waandishi wa Koran. Je, ni kweli Koran ilishushwa? Je, kuna ushaidi wa kutosha wa kusaidia madai ya kuteremshwa kwa Koran?

Unaposema kuwa Allah ndie mwandishi wa Qur'ani, ni uongo mkubwa sana na wengi wameukubali huu uongo na udanganyifu kwamba eti Koran ilishushwa wakatia inafahamika kuwa iliandikwa miaka 1400AD.
Mtu mwenye fikra anaweza kusema bila ya wasiwasi kuwa Qur'ani iliandikwa na watu kadhaa ambao wanajulikana kimajina. Waandishi Mashuhuri zaidi miongoni mwao ni hawa hapa:

Imrul Qays-mshairi: wa kale wa Arabia ambaye alifariki miaka michache kabla ya kuzaliwa Muhammad
Zayd b. Amr b. Naufal:-'lililopotoka' wa wakati wake ambaye alihubiri na kupandwa Hanifism
Labid:-mshairi mwingine
Hasan b. Thabit:-mshairi rasmi wa Muhammad
Salman: – Mshauri wa Kiajemi wa Muhammad
Bahira:-Nestoraian Mkristo mtawa wa Kanisa huko Syria
Jabr:-Jirani wa Kikristo wa Muhammad
Ibn Qumta:-Mtumwa wa Kikristo
Khadija:-Mke wa kwanza wa Muhammad
Binamu Waraqa:- Ndugu ya Khadija
Ubay b. Katibu Ka'ab;-Muhammad na Mwandishi wake
Muhammad: – Mwenyewe
Hapa chini, nitaandika historia fupi ya baadhi ya waandishi wa Koran. Nitaanza na Bahira ambaye alikuwa ni Mtawa wa Kikrito.
Bahira
Bahira alikuwa Mtawa wa Kikristo wa Nestorian aliyeishi katika Sham (Syria). Jina lake la Kikristo lilikuwa Sergio Georgius. Inaaminika kwamba alifukuzwa kutoka utawa baada ya makosa.

Katika mji wa Makkah, alikutana na Muhammad, akawa karibu sana na yeye na kukaa pamoja naye. Yeye alikuwa na mazungumzo ya siri na Muhammad, ambayo yeye hakika alimwambia Muhammad mambo mengi ya Ukristo. Aya kadhaa katika Qur'an zinazozungumzia Ukristo zilitoka kwa huyu Mtawa Bahira.
Mfano, aya zote za ndani ya Kuran zinazozungumzia kitabu cha Zaburi zilihaririwa na huyu Mtawa Bahira:
4.163 Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.
17: 55. Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.
21:105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.

2:113. Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana.

2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu.
3: 23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.
*** Quran haina chochote cha zaidi au bora kuliko vitabu vingine. Qur'an, imeandikwa kwa kuibia, kugezea, kupora, kudanganya na / au kupotosha kutoka BIBLIA, kuhalalisha kwamba Watu wa Kitabu wamwamini au kutumia kama mwongozo. ***
Jabr:

Kamusi ya Uislamu (Hughes Kamusi ya Uislamu, p.223) inasema kwamba Jabir alikuwa mmoja wa Ahlu-l-Kitab (Watu wa Kitabu) na alikuwa amesoma vizuri vitabu vya Taurati na Injil (Injili), na hivyo, Muhammad akamtumia sana Jabr katika uandishi wa Quran. Jabr ndiye aliye kuwa anamsomea Taurat na Injil Muhammad kila alipo pita nyumbani kwake. Muhammad alijifunza kutoka kwa Jabr na kuweka Sura katika Quran yenye mahusiano na Wakristo na Wayahudi. Mistari yote inayo mhusu Daudi na Sulemani ilitengenezwa na huyu Jabr. Baadhi ya aya hizo:

Daudi akamuuwa Jaluti ... 2:251
Zaburi alipewa Daudi ... 4:163
Allah ni mbaguzi ; anapendelea baadhi ya Mitume kwa wengine; aliwapa Zaburi Daudi ... 17:55
Allah alishuhudia hukumu ya Daudi na Sulemani ... 21:78
Allah kampa Sulemani uelewo sahihi ; Yeye alifanya milima na ndege kumtumikia Daudi ... 21:79
Allah kamfundisha Daudi ujuzi wa kufanya vita ... 21:80
Kabla ya Qur'an , Mwenyezi ujumbe katika Zaburi ya Daudi ... 21:105
Allahu kampa maarifa ya Daudi na Sulemani ... 27:15
Baba wa Sulemani alikuwa ni Daudi. Sulemani alikuwa mrithi wa Daudi; Suleiman kueleweka hotuba ya ndege wanyama, na mimea ... 27:16

Sulemani alikuwa na mamlaka juu ya majini ; majini na ndege kupigana katika jeshi la Sulemani ... 27:17
Allah kaweka milima chini ya amri ya Daudi; akamfundisha jinsi ya kufanya silaha kutoka chuma ... 34:10-11
Allah alikuwa na kaweka milima , ndege kwa ajili ya huduma ya Daudi na majaliwa yake kwa hekima na mantiki ... 38:18-20
Allah kusamehe dhambi ya Daudi ... 38:25
Allah alimteua Daudi kuwa mtawala juu ya nchi na akampa mamlaka ya kutoa hukumu ya haki na sheria za Mungu na kwa maoni yake binafsi ... 38:26
*** Bila shaka, hadithi/aya zote hapo juu si kutoka BIBLIA lakini walikuwa wamekopia/wamigizia/wameangalizia na kupotosha mafundisho ya baadaye ya Wayahudi na Wakristo ***
Ibn Qumta

Ibn Qumta alikuwa mtumwa wa Kikristo ambaye aliishi katika mji wa Makkah . Muhammad alijifunza kuhusu injili apocryphal ya Ukristo (kama vile : Injili ya Utoto na Injili ya Barnabas ) kutoka kwake. Sura nzima juu ya Maria na kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Sura 19) kiliandikwa na mtumwa huyu wa Kikristo.

Vyanzo kutoka Wakidi , Alphonso Mingana , katika insha yake , Maambukizi ya Koran, Chimbuko la Koran, p.103 , anaandika:
' Mwanahistoria wa kale zaidi, Wakidi , ina sentensi zifuatazo ambazo zilipendekeza na ' Abdallah b. Sad b. Abi Sarh , na mtumwa Mkristo, bin Qumta , walikuwa na kitu cha kufanya katika Koran.

Na bin Abi Sarh akarudi na kusema kwa Makureshi : "Ilikuwa tu Mtumwa wa Kikristo ambaye alikuwa akimfundisha yeye ( Muhammad ); Nilikuwa na kazi ya kuandika na kubadili chochote alichoa taka Mtume Muhammad. " '
Tafadhali kumbuka kwamba Abdallah b. Sad b Abi Sarh alikuwa mwandishi mwaminifu wa Muhammad. Wakati Muhammad anahamia Madina Abdallah na yeye alimfuata. Kila Muhammad alipo kuwa katika maono Abdallah ndiye aliye kuwa mwandishi wa hayo maono. Wakati Abdallah alipendekeza baadhi ya mabadiliko ya Muhammad lisping, Muhammad alikubali kirahisi. Mfano ni wakati Muhammad alikuwa anasema hii aya 23:12-14 .
23.12 Na sisi tulimuumba Mtu kutoka Udongo;

23.13 Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti
23. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.!
Hii hapa ni orodha fupi ya baadhi ya aya katika Qur'an ambazo Muhammad alinakili/ ilibia kutoka vitabu au nakala za Wakristo, Wayahudi, Waarmenia, Wahindu na Majusi (Wazoroastro):
Tayammum ( 04:43 ): Kunakiliwa kutoka kwenye maandiko ya Kiyahudi Talmud.
Kinga ya maisha ndani ya ndege (2:260 , 3:49 , 5:110): Kunakiliwa kutoka vitabu Coptic .
Houris , Azazil (44:54 ): kujifunza kutoka kwa wageni katika Makkah.
Harut amd Marut (2:102 ): Kutoka Muarmeni -vitabu Harut na Marut ni katika udhibiti wa upepo na mvua.
Kiti cha enzi ya Mwenyezi Mungu juu ya maji (11:07 ): Kutoka mapokeo ya Wayahudi
Malik, mtawala wa Jahannamu (43:77): Kutoka Wayahudi. [ Moleki - Mambo ya Walawi 18.21 ; 20.2/3/4/5 , nk]
7 Mbinguni (2:29, 41:12) : Iliyopitishwa kutoka katika maandiko Sanskrit ya Wahindu.
Mariamu kujifungua chini ya shina la mti ( 19:23 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto , apocryphal Mkristo Injili
Mtoto Yesu kuzungumza ( 3:46 , 19:30-31 , 19:33 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto .
Maelezo ya peponi na Kuzimu (kuna aya nyingi - tazama sehemu ya Salman, Kiajemi: Kunakiliwa kutoka Majusi ( Wazoroastro ) na Wahindu.

Yesu si kuuawa , Mwenyezi Mungu akainua Yesu ( 3:55 , 4:157-158 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Barnabas
Hadithi ya Yusufu (Sura 12): Kunakiliwa kutoka Midrash, maandiko ya Kiyahudi.
Hadithi ya Sulemani na Sheba ( 21:78-82 , 27:17-19 , 27:22-23 ): Kunakiliwa kutoka Haggada , Maandiko Wayahudi. [ Wafalme mimi 10.1 ]

Qur'ani ya awali ni agizo katika Mbinguni ( 43:4 , 85:21-22 ): Talmud anasema kuwa Torati ni kibao katika ulinzi wa Mbinguni.
Malaika wa kifo - Azrail au Azazil , Malaku'l Maut ( 6:61 , 7:37, 32:11 ): Iliyopitishwa kutoka Wayahudi na mchawi maandiko ( Zoroastrian ).
WAPAGANI WANASEMA QURAN NI SAWA NA HADITHI ZA KALE
Hapa ni ushahidi wa baadhi ya mistari ya kuchaguliwa kutoka Quran kutuambia kwamba wapagani walikuwa na ufahamu kwamba Muhammad alikuwa anawaambia hadithi ya kale walizokuwa wamesikia kabla ya-Muhammad:
Wasioamini walisema kuwa Quran ni kama hadithi za watu wa kale wa Kipagani ... 08:31
Wasioamini walisema kwamba Aya za Muhammad zilinakiliwa kutoka hadithi za kale ... 16:24
Wapagani wengi walishasiikia hadithi za ufufuo kutoka katika hadithi zamani za Kipagani... 23:83
Makafiri walisema kuwa 'Qur'ani ni hadithi za kale ambazo walisikia kabla ya Muhammad' ... 25:5
Wasioamini walisisitiza kwamba Qur'ani ni hadithi kutoka vitabu vya kale ... 27:68
Wakasema makafiri Quran imejaa visa vya watu wa kale ... 46:17
Wasioamini wanaliziita na kuzifananisha aya za Muhammad na hadithi za kale ... 68:15

HITIMISHO
'Quran' si maandishi ya Mwenyezi Mungu. Mungu mwenye Hekima hawezi kuandika Kitabu chenye Makosa, Utata, kujirudiarudia , makosa ya kimaandiko kama yalivyo jaa kwenye Qur'an yenye muongozo potofu kwa Mwanadamu.

Anomalies zote, utata , MAKOSA YA KIMAANDIKO, upayukaji , KUJIRUDIARUDIA , makosa ya kisarufi na kilugha, Makosa ya Kihistoria, TABIA YA KUPENDEKEZA MAUAJI, HATEMONGERING , WARMONGERING , UBAGUZI , ubaguzi wa rangi na sifa nyingine za mapepo ya Quran kutakufanya kwa urahisi uelewe kuwa Koran si Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtakatifu aliye jaa huruma na rehema angeweza kuandika kitabu cha kishetani kama Qur'an kwa Muhammad .
Inafahamika na wenye Hekima kuwa Muhammad ambaye anadai eti kapewa Koran ni uongo wa wazi kabisa na ndio maana Muhammad akasema alipewa maono na Allah ili kuwafunga Mdomo wale wote ambao wanatia shaka katika Kitabu chake.
Qur'an Nzima ni Maandishi ya Muhammad na imejaa matakwa na fikra zake.
Alter ego
Katika hali halisi, Muhammad, Jibril na Allah ni Mtu mmoja.
Muhammad
Ilikuwa ni Muhammad ndiye aliye anzisha Uislam na baadaye baadhi ya wafuasi wake ambao, 'Kwa jina la Allah' walitengeneza Qur'ani kwa kurekebisha , kurekebisha na kuibia kutoka maandiko mbalimbali na mila ya watu wengine wa wakati huo.
Wafuasi wake waliendelea kutangaza huu udanganyifu wa Muhammad na kuusambaza katika fahamu za binadamu, ili kupata matakwa yao ya kisiasa yenye nia ya kutawala peninsula ya Arabia na baadaye, nchi nyingine za amani.
Koran si Kitabu cha Mungu bali ni maandishi ya Muhammad na marafiki zake.
 
Back
Top Bottom