BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Wanaume wengi wanaathirika kisaikolojia kutokana na mali kupigwa mgao, ila wewe kama hiyo haitakuathiri kivyovyote basi ni ngumu kuwepo kwa athari nyingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina haya ya kusema juu ya hili, ingawa sijapitia hali hiyo, ila nina ndugu yangu ameshapitia hilo tena kwa kupeana talaka mahakamani.Mimi ni mkristo na nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 8 na tumebarikiwa kuwa na watoto wawili sasa ila kuna jambo nililikosea kwa mkewangu na sasa nataka nimwambie ukweli kuhusu hilo sasa kutokana na uzoefu kumhusu kwa kaliba yake naona kabisa ataenda kukiwasha isivyo kawaida na kwa asilimia 89.6% anaweza kudai talaka (namuwazia tu kichwani🙁) sasa kabla sijakubali atakachokidai naomba kufahamu kwa wale ambao mmeshapitia hii situation ya ndoa kuvunjika mpaka kupeana talaka..
Je kuna madhara yoyote yanaweza kutokea kama mmekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu kiasi hiki ukiachana na kugawana mali sijui nini ... Je haya mambo ya kupeana ttalaka inaweza kuniletea shida ya kisaikolojia au kiroho nikakengeuka.. ? mliopita kwenye hii situation naomba uzoefu wenu, nitashukuru sana kabla sijaaamua ..🙏
Ohooo pagumu hapo.mkewangu ni mtumishi wa serikali hapa canada kwenye mambo ya women empowerment
Katika nyakati tofauti kuna sauti inaniambia ukiachana na mkewako itanidhuru then kuna nyakati kuna sauti inaniambia ukiachana na mkewako utakuwa poa tuu sasa nipo njia panda nielekee upande upi kuhusu mali sina shida na hilo ntamwachia tu maana ni za watotoKama hauwezi kustahimili ndoa, mwambie tu ili muachane... Yaani hadi una umri wa miaka minane katika ndoa haujui mkiachana utapata hasara zipi! Kweli....
Mkiachana wala hakuna madhara mkuu... Utaishi peke yako kama mfalme na utaheshimika sana kwa sababu wewe ni mwamba umeachana na mkeo.
Mimi ni mkristo na nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 8 na tumebarikiwa kuwa na watoto wawili sasa ila kuna jambo nililikosea kwa mkewangu na sasa nataka nimwambie ukweli kuhusu hilo sasa kutokana na uzoefu kumhusu kwa kaliba yake naona kabisa ataenda kukiwasha isivyo kawaida na kwa asilimia 89.6% anaweza kudai talaka (namuwazia tu kichwani🙁).
Sasa kabla sijakubali atakachokidai naomba kufahamu kwa wale ambao mmeshapitia hii situation ya ndoa kuvunjika mpaka kupeana talaka.
Je, kuna madhara yoyote yanaweza kutokea kama mmekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu kiasi hiki ukiachana na kugawana mali sijui nini?
Je, haya mambo ya kupeana talaka inaweza kuniletea shida ya kisaikolojia au kiroho nikakengeuka?
Mliopita kwenye hii situation naomba uzoefu wenu, nitashukuru sana kabla sijaaamua ..🙏
Hamtaki tu kutuomba ushauri, sie wenye madhambi makubwa ndio tuna madini sana juu ya hii dunia inavyoenda [emoji28]Sema nini, mchango wa kibabe sana mtu wangu[emoji1787]
Karibu sana, all the bestasante mkuu wazo jema hili ill try my level best..
Bora umeijua dhami yako.Hamtaki tu kutuomba ushauri, sie wenye madhambi makubwa ndio tuna madini sana juu ya hii dunia inavyoenda [emoji28]
aiseeFantana alivyokua anakula domo la Mondi,
Jaribu kumuacha, halafu uone madhara yake. Yaani from nowhere tu umuache mtu ambaye hajakukosea kitu chochote! Aisee masononeko yake yatakutesa kwenye maisha yako yote.katika nyakati tofauti kuna sauti inaniambia ukiachana na mkewako itanidhuru then kuna nyakati kuna sauti inaniambia ukiachana na mkewako utakuwa poa tuu sasa nipo njia panda nielekee upande upi kuhusu mali sina shida na hilo ntamwachia tu maana ni za watoto
Asante mkuu kuhusu mali sina shida nazo hata akibaki nazo wasiwasi wangu ulikuwa naweza kupata madhara mengine ya kisaikolojia au ya kiroho nikashindwa kutimiza ndoto zangu..Wanaume wengi wanaathirika kisaikolojia kutokana na mali kupigwa mgao, ila wewe kama hiyo haitakuathiri kivyovyote basi ni ngumu kuwepo kwa athari nyingine.
Alioa mtetezi wa jinsia na watoto..lazima akiwashe..Ulioa mwanaharakati?
Asante mkuu kwa husia nzuri ila umenizodoa but nashukuru.. thanks in advanceMaamuzi ya kipumbavu na ubinafsi hapa ushaleta viumbe dunia(watoto) unaenda kuwaandalia mateso makubwa kwa tamaa zako za kishamba .
Mtu mzima unafanya mambo ya hovyo hata mkiachana ukaoa ni yale yale dunia haina jipya.
Hapa ndo utaona ubinafsi wa binadamu haswa wazazi kila mtu anajua kwamba ataoa au ataolewa kwingine meanwhile watoto watapata mateso ya kudumu kwa maamuzi yenu ya kishamba..
Ndoa ina miaka 8 ni mingi kwa wastani na mnaweza kusameana ..90% waliovunja ndoa zao ni majuto tu wanakutana na wale wale hamna kipya .
Umekosea jishushe na kiri kosa usifikirie kuvunja ndoa ni kuwakatili watoto wako.
Lakini pia kama bado unampenda mkeo, ni bora hilo swala ukalifikiria in deep zaidi mkuu.asante mkuu kuhusu mali sina shida nazo hata akibaki nazo wasiwasi wangu ulikuwa naweza kupata madhara mengine ya kisaikolojia au ya kiroho nikashindwa kutimiza ndoto zangu..
Mcanadakatika nyakati tofauti kuna sauti inaniambia ukiachana na mkewako itanidhuru then kuna nyakati kuna sauti inaniambia ukiachana na mkewako utakuwa poa tuu sasa nipo njia panda nielekee upande upi kuhusu mali sina shida na hilo ntamwachia tu maana ni za watoto