Naomba kufahamu Madhara ya kupeana talaka baada ya ndoa Kuvunjika

Naomba kufahamu Madhara ya kupeana talaka baada ya ndoa Kuvunjika

Changamoto niliyonayo ni kwamba nahisi hatia ndani mno na njia pekee ya kuwa na amani ni mpaka nimwambie mke wangu huu ukweli sasa kadri nnavyoendelea kukaa nalo nakosa amani najikuta nimebeba jambo zito mno na sijui sababu nini maana kuna mengi sijamwambia na yamebaki kuwa siri ila hili la mtoto nje ya ndoa nashindwa kulibeba linanisumbua sana ila sasa nikimwambia tu kuna hatari nyingi zinaweza kutokea nafikiri japo sikuwahi kupitia such experience ya kupeana talaka
Yaani hukupata hatia kumcheat unakuja kupata hatia sasa? Acha kutupanga mkuu wacuba tushaelewa
 
Watoto ndio hupata shida and yes itawatesa nyote kisaikolojia na hasa mwanaume hua rahisi sana kukengeuka,

Kama ni lazima sana kumwambia basi mtoe out, nendeni sehemu for a weekend just the two of you, spend a good time together, mkumbushe mlivyokutana, ups and downs, msifie alivyo mjasiri, mueleweshe bila yeye usingekua hapo, mjaze masifa hadi ajione Queen wa Dunia, kisha mwambie jambo lako kwa upole na hata akireact jaribu kua cool huku ukimplease acalm down ni changamoto, akilegea tu kula mate kama Fantana alivyokua anakula domo la Mondi, piga show ya kibabe hadi asiweze kutembea for 30 mnts, be romantic,

Imeisha hiyoooooooooooo
Labda demu wa kizungu...hizi kuku zetu za kienyeji utajua hujui.
 
Mimi ni mkristo na nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 8 na tumebarikiwa kuwa na watoto wawili sasa ila kuna jambo nililikosea kwa mkewangu na sasa nataka nimwambie ukweli kuhusu hilo sasa kutokana na uzoefu kumhusu kwa kaliba yake naona kabisa ataenda kukiwasha isivyo kawaida na kwa asilimia 89.6% anaweza kudai talaka (namuwazia tu kichwani🙁).

Sasa kabla sijakubali atakachokidai naomba kufahamu kwa wale ambao mmeshapitia hii situation ya ndoa kuvunjika mpaka kupeana talaka.

Je, kuna madhara yoyote yanaweza kutokea kama mmekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu kiasi hiki ukiachana na kugawana mali sijui nini?

Je, haya mambo ya kupeana talaka inaweza kuniletea shida ya kisaikolojia au kiroho nikakengeuka?

Mliopita kwenye hii situation naomba uzoefu wenu, nitashukuru sana kabla sijaaamua ..🙏
Kuwa mtu huru. Usiwe miongoni mwa poverty mentality.

Ilinitokea tukaachana hakudai kwa kuwa yeye alikuwa ni chanzo cha ufuska. Lkn baada ya muda nilimwambia niramgengea kwa maslahi ya wanetu.

Kumbuka wanawake si ujumbe kilichotimia na kuweza kuitwa binadamu. Hivyo usishindane nae. Hatukuju duniani kuhodhi mali, bali kutoa huduma (social responsibility) kwa wenye uhitaji.

Ikiwemo kuwahudumia wanawake, wazee na watoto
 
Katika nyakati tofauti kuna sauti inaniambia ukiachana na mkewako itanidhuru then kuna nyakati kuna sauti inaniambia ukiachana na mkewako utakuwa poa tuu sasa nipo njia panda nielekee upande upi kuhusu mali sina shida na hilo ntamwachia tu maana ni za watoto
Wewe nae itakua umekolea kwa mzungu tu.
 
Umeonaee anatupanga tu hana lolote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaani ukimsoma inafikirisha sana, wamegegedana na huyo mzungu hajawahi kwenda kumwambia mkewe ila sasa hivi baada ya ujauzito anahisi hatia really!!! [emoji15] [emoji15] Kwakweli anatupanga pakubwa huyu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yaani ukimsoma inafikirisha sana, wamegegedana na huyo mzungu hajawahi kwenda kumwambia mkewe ila sasa hivi baada ya ujauzito anahisi hatia really!!! [emoji15] [emoji15] Kwakweli anatupanga pakubwa huyu.
Ni mshangao wa herufi kubwa
 
  • Thanks
Reactions: nao
Mimi ni mkristo na nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 8 na tumebarikiwa kuwa na watoto wawili sasa ila kuna jambo nililikosea kwa mkewangu na sasa nataka nimwambie ukweli kuhusu hilo sasa kutokana na uzoefu kumhusu kwa kaliba yake naona kabisa ataenda kukiwasha isivyo kawaida na kwa asilimia 89.6% anaweza kudai talaka (namuwazia tu kichwani🙁).

Sasa kabla sijakubali atakachokidai naomba kufahamu kwa wale ambao mmeshapitia hii situation ya ndoa kuvunjika mpaka kupeana talaka.

Je, kuna madhara yoyote yanaweza kutokea kama mmekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu kiasi hiki ukiachana na kugawana mali sijui nini?

Je, haya mambo ya kupeana talaka inaweza kuniletea shida ya kisaikolojia au kiroho nikakengeuka?

Mliopita kwenye hii situation naomba uzoefu wenu, nitashukuru sana kabla sijaaamua ..🙏
 

Attachments

  • EA3AF651-5FC9-4A08-84EF-8C03AE481583.png
    EA3AF651-5FC9-4A08-84EF-8C03AE481583.png
    339.5 KB · Views: 9
Dada wanaume wanavifua vyepesi Sana,hawana uwezo wa kubeba mazito kifuani ...niamini
 
Ila brother inapitia majuto makubwa Sana ...hope huu msala ukipita Kuna kitu utakuwa umejifunza....Huyo ndio mwalimu ulimwengu ni mkuda Sana akikubananisha kwenye 18,lazima akupe funzo.....But we kaza tu ndio ndio mishale hiyo kuelekea uzeeni
 
Nichek inbox nikupe namba za achraf hakim atakusaidia
 
Huo ujinga tunawaambia kataa ndoa kataa kuoa, Ivunje hio ndoa fasta unasubiria nini.
 
Mimi ni mkristo na nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 8 na tumebarikiwa kuwa na watoto wawili sasa ila kuna jambo nililikosea kwa mkewangu na sasa nataka nimwambie ukweli kuhusu hilo sasa kutokana na uzoefu kumhusu kwa kaliba yake naona kabisa ataenda kukiwasha isivyo kawaida na kwa asilimia 89.6% anaweza kudai talaka (namuwazia tu kichwani🙁).

Sasa kabla sijakubali atakachokidai naomba kufahamu kwa wale ambao mmeshapitia hii situation ya ndoa kuvunjika mpaka kupeana talaka.

Je, kuna madhara yoyote yanaweza kutokea kama mmekaa kwenye ndoa kwa muda mrefu kiasi hiki ukiachana na kugawana mali sijui nini?

Je, haya mambo ya kupeana talaka inaweza kuniletea shida ya kisaikolojia au kiroho nikakengeuka?

Mliopita kwenye hii situation naomba uzoefu wenu, nitashukuru sana kabla sijaaamua ..🙏
katika mahusiaono ya ndoa, hupaswi kuweka talaka kuwa suluhisho, hata ikiwa umekosea kitu gani,
labda uniambie kuwa umekuwa choko, hapo lazima mke akuache...
 
Back
Top Bottom