Naomba kufahamu Majipu husababishwa na nini?

Hmmh! Nami nimepatwa na tatizo la jipu kwapani twice, ila ni wakati nilipo badilisha Deodorant kutoka FA niliyokuwa naitumua awali kwenda NIVEA. Hapo naweza amini kua NIVEA hainitaki. Sio kwa watu wote lakini.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…