Naomba kufahamu makadirio ya bati na mbao kuezeka nyumba hii

Naomba kufahamu makadirio ya bati na mbao kuezeka nyumba hii

Mkuu nina kautaalamu kidogo cha kuezeka ila kwa calculation yako hii umeenda mbali mno!

Ila nimekukubali sana , i wish ungenipiga msasa kidogo.
Mkuu mchoro wenyewe huu hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20221224-161537.png
    Screenshot_20221224-161537.png
    70.5 KB · Views: 193
BATI (92pcs)
No of Sheet = (11×9)÷(0.6×2.7)×1.5 = 92 sheets

Twende kwenye uhalisia kuproove
Tuassume nyumba yako haina kona kona hivyo tunapaua kwa mgongo wa tembo

Kama utatumia angle ya 45, king post itakuwa ni nusu ya urefu wa tie beam.
Kingpost = 0.5×9= 4.5m
Rafter = sqrt(4.5²+4.5²)= 6.3m+ Overhang (0.3m)= 6.6m

Idadi ya bati per roofing line = (11m+Overhang (0.4×2))/0.6 = 19.6 (approx 20)

Katika 6.6m zinaingia bati 2 na kubaki uwazi wa 1m
Jumla ya bati nzima = 2x20x2 = bati 80 (pande zote mbili)
Bati moja vinaingia vipande vya 1m vitatu, na jumla vinahitajika vipande 40 (20 upande mmoja, 20 upande mwingine)
Jumla ya bati za kuziba vipande = 40/3 = 13.3

JUMLA = 80+13 = Bati 93


MBAO 2×4 (125pcs), MBAO 2x2 (40pcs)
Idadi ya kench = (11m/1.2m)+1 = 10
Kench moja huwa inatumia mbao mara 5 ya urefu wa tie beam
So idadi ya mbao (2×4) = (10x5x9)/3.6 = 125

Mbao za 2x2 = (11m+0.4mx2)×6×2/3.6= 39.3 (Approx 40)

MISUMARI YA BATI 15PKT
No of pkt = (92 /6)= 15

Summary
Bati 92pcs to 94pcs
Mbao 2x4 125pcs
Mbao 2x2 40pcs
Misumari ya bati 15 pakt
Screenshot_20221224-161537.png
 

Hii ramani yako mchoraji hakutumia scale, mana upande ambao ni mrefu (10.9m) unaonekana ni mfupi kuliko upande ambao ni mfupi (8.5m). Scale ni muhimu sana ktk uchoraji vinginevyo ramani itakuja ikusumbue kwenye vipimo mfano ukiangalia hicho chumba chenye mita 4.5, ukafanya hesabu utagundua hicho kikabati kina 80cm lakini ukiangalia mchoro unaona ukuta unaotenganisha hizo kabati (closet) upo katikati ya korido ambayo ina 1.2m hivyo pattern inaonesha closet ina 60cm lakini vipimo vinaonesha closet ina 80cm, kama angetumia scale huo ukuta usingekaa katikati kama unavyoonekana. Yote kwa yote ukiondoa hizo varanda, mfumo uliobaki kutokana na ramani yako ni wa mfumo wa mapaa manne (kunakuwa hakuna ukuta wa gable baada ya stop course)
 
Hii ramani yako mchoraji hakutumia scale, mana upande ambao ni mrefu (10.9m) unaonekana ni mfupi kuliko upande ambao ni mfupi (8.5m). Scale ni muhimu sana ktk uchoraji vinginevyo ramani itakuja ikusumbue kwenye vipimo mfano ukiangalia hicho chumba chenye mita 4.5, ukafanya hesabu utagundua hicho kikabati kina 80cm lakini ukiangalia mchoro unaona ukuta unaotenganisha hizo kabati (closet) upo katikati ya korido ambayo ina 1.2m hivyo pattern inaonesha closet ina 60cm lakini vipimo vinaonesha closet ina 80cm, kama angetumia scale huo ukuta usingekaa katikati kama unavyoonekana. Yote kwa yote ukiondoa hizo varanda, mfumo uliobaki kutokana na ramani yako ni wa mfumo wa mapaa manne (kunakuwa hakuna ukuta wa gable baada ya stop course)
Nini madhara yake mkuu?
 
Na je makadirio ya bati na mbao kuna mabadiliko?
Mabadiliko yatakuwepo japo sio kwa kiasi kikubwa, mfumo wa mapaa manne unakuwa na wastage nyingi ya material, sio kwa bati tu hata kwa upande wa mbao. Faida yake ni kwamba utakuwa unavuna maji mengi kipindi cha mvua. Mfumo wa mapaa manne unapendeza zaidi kama nyumba yako ina umbo la mstatili mfano 5m kwa 9m, lakini kama nyumba ina umbo la mraba au vipimo vyake vimekaribiana sana mfano 5m kwa 5.5m paa litatokea kama mwamvuli
 
Mabadiliko yatakuwepo japo sio kwa kiasi kikubwa, mfumo wa mapaa manne unakuwa na wastage nyingi ya material, sio kwa bati tu hata kwa upande wa mbao. Faida yake ni kwamba utakuwa unavuna maji mengi kipindi cha mvua. Mfumo wa mapaa manne unapendeza zaidi kama nyumba yako ina umbo la mstatili mfano 5m kwa 9m, lakini kama nyumba ina umbo la mraba au vipimo vyake vimekaribiana sana mfano 5m kwa 5.5m paa litatokea kama mwamvuli
Mabadiliko ya ongezeko au kupungua?
 
BATI (92pcs)
No of Sheet = (11×9)÷(0.6×2.7)×1.5 = 92 sheets

Twende kwenye uhalisia kuproove
Tuassume nyumba yako haina kona kona hivyo tunapaua kwa mgongo wa tembo

Kama utatumia angle ya 45, king post itakuwa ni nusu ya urefu wa tie beam.
Kingpost = 0.5×9= 4.5m
Rafter = sqrt(4.5²+4.5²)= 6.3m+ Overhang (0.3m)= 6.6m

Idadi ya bati per roofing line = (11m+Overhang (0.4×2))/0.6 = 19.6 (approx 20)

Katika 6.6m zinaingia bati 2 na kubaki uwazi wa 1m
Jumla ya bati nzima = 2x20x2 = bati 80 (pande zote mbili)
Bati moja vinaingia vipande vya 1m vitatu, na jumla vinahitajika vipande 40 (20 upande mmoja, 20 upande mwingine)
Jumla ya bati za kuziba vipande = 40/3 = 13.3

JUMLA = 80+13 = Bati 93


MBAO 2×4 (125pcs), MBAO 2x2 (40pcs)
Idadi ya kench = (11m/1.2m)+1 = 10
Kench moja huwa inatumia mbao mara 5 ya urefu wa tie beam
So idadi ya mbao (2×4) = (10x5x9)/3.6 = 125

Mbao za 2x2 = (11m+0.4mx2)×6×2/3.6= 39.3 (Approx 40)

MISUMARI YA BATI 15PKT
No of pkt = (92 /6)= 15

Summary
Bati 92pcs to 94pcs
Mbao 2x4 125pcs
Mbao 2x2 40pcs
Misumari ya bati 15 pakt
IMG_20230103_174456_469.jpg
 
BATI (92pcs)
No of Sheet = (11×9)÷(0.6×2.7)×1.5 = 92 sheets

Twende kwenye uhalisia kuproove
Tuassume nyumba yako haina kona kona hivyo tunapaua kwa mgongo wa tembo

Kama utatumia angle ya 45, king post itakuwa ni nusu ya urefu wa tie beam.
Kingpost = 0.5×9= 4.5m
Rafter = sqrt(4.5²+4.5²)= 6.3m+ Overhang (0.3m)= 6.6m

Idadi ya bati per roofing line = (11m+Overhang (0.4×2))/0.6 = 19.6 (approx 20)

Katika 6.6m zinaingia bati 2 na kubaki uwazi wa 1m
Jumla ya bati nzima = 2x20x2 = bati 80 (pande zote mbili)
Bati moja vinaingia vipande vya 1m vitatu, na jumla vinahitajika vipande 40 (20 upande mmoja, 20 upande mwingine)
Jumla ya bati za kuziba vipande = 40/3 = 13.3

JUMLA = 80+13 = Bati 93


MBAO 2×4 (125pcs), MBAO 2x2 (40pcs)
Idadi ya kench = (11m/1.2m)+1 = 10
Kench moja huwa inatumia mbao mara 5 ya urefu wa tie beam
So idadi ya mbao (2×4) = (10x5x9)/3.6 = 125

Mbao za 2x2 = (11m+0.4mx2)×6×2/3.6= 39.3 (Approx 40)

MISUMARI YA BATI 15PKT
No of pkt = (92 /6)= 15

Summary
Bati 92pcs to 94pcs
Mbao 2x4 125pcs
Mbao 2x2 40pcs
Misumari ya bati 15 pakt
IMG_20230103_174753_791.jpg
 
Ramani yako ina makosa kadhaa, dirisha la choo cha public limeangalia choo cha chumba cha master..lakini pia kiusalama mlango wa jikoni unatakiwa ufungukie nje ili iwe rahisi kujiokoa inapotekea hatari kama moto n.k, kama bado hujapachika frem za milango badilisha uelekeo wa frem

Tukija kwenye upauaji, kama utapaua mapaa manne kingpost za katikati zitakaribiana sana kutokana na umbo la ramani yako (mraba), na pengine inaweza ikawa na kingpost moja tu mana wakati mwingine kingpost zikikaribiana sana, kingpost nyingine huwa inauliwa ili kusave mbao japo muonekano wake unakuwa haupendezi
 
Ramani yako ina makosa kadhaa, dirisha la choo cha public limeangalia choo cha chumba cha master..lakini pia kiusalama mlango wa jikoni unatakiwa ufungukie nje ili iwe rahisi kujiokoa inapotekea hatari kama moto n.k, kama bado hujapachika frem za milango badilisha uelekeo wa frem

Tukija kwenye upauaji, kama utapaua mapaa manne kingpost za katikati zitakaribiana sana kutokana na umbo la ramani yako (mraba), na pengine inaweza ikawa na kingpost moja tu mana wakati mwingine kingpost zikikaribiana sana, kingpost nyingine huwa inauliwa ili kusave mbao japo muonekano wake unakuwa haupendezi
Ni kweli mkuu dirisha la choo cha public linafungukia choo cha master. Hilo nimekubali iwe hivyo. Fremu bado sijaweka.
 
BATI (92pcs)
No of Sheet = (11×9)÷(0.6×2.7)×1.5 = 92 sheets

Twende kwenye uhalisia kuproove
Tuassume nyumba yako haina kona kona hivyo tunapaua kwa mgongo wa tembo

Kama utatumia angle ya 45, king post itakuwa ni nusu ya urefu wa tie beam.
Kingpost = 0.5×9= 4.5m
Rafter = sqrt(4.5²+4.5²)= 6.3m+ Overhang (0.3m)= 6.6m

Idadi ya bati per roofing line = (11m+Overhang (0.4×2))/0.6 = 19.6 (approx 20)

Katika 6.6m zinaingia bati 2 na kubaki uwazi wa 1m
Jumla ya bati nzima = 2x20x2 = bati 80 (pande zote mbili)
Bati moja vinaingia vipande vya 1m vitatu, na jumla vinahitajika vipande 40 (20 upande mmoja, 20 upande mwingine)
Jumla ya bati za kuziba vipande = 40/3 = 13.3

JUMLA = 80+13 = Bati 93


MBAO 2×4 (125pcs), MBAO 2x2 (40pcs)
Idadi ya kench = (11m/1.2m)+1 = 10
Kench moja huwa inatumia mbao mara 5 ya urefu wa tie beam
So idadi ya mbao (2×4) = (10x5x9)/3.6 = 125

Mbao za 2x2 = (11m+0.4mx2)×6×2/3.6= 39.3 (Approx 40)

MISUMARI YA BATI 15PKT
No of pkt = (92 /6)= 15

Summary
Bati 92pcs to 94pcs
Mbao 2x4 125pcs
Mbao 2x2 40pcs
Misumari ya bati 15 pakt
Mkuu Mimi nataka kujenga nyumba 13.2m x 9.5m naomba unikadirie bati
Hii nyumba kwa mbele itainekana hivi au kama vipi ntaweka hanamu mbili hapo mbele.
 

Attachments

  • IMG_20230703_195245~2.jpg
    IMG_20230703_195245~2.jpg
    27.5 KB · Views: 135
BATI (92pcs)
No of Sheet = (11×9)÷(0.6×2.7)×1.5 = 92 sheets

Twende kwenye uhalisia kuproove
Tuassume nyumba yako haina kona kona hivyo tunapaua kwa mgongo wa tembo

Kama utatumia angle ya 45, king post itakuwa ni nusu ya urefu wa tie beam.
Kingpost = 0.5×9= 4.5m
Rafter = sqrt(4.5²+4.5²)= 6.3m+ Overhang (0.3m)= 6.6m

Idadi ya bati per roofing line = (11m+Overhang (0.4×2))/0.6 = 19.6 (approx 20)

Katika 6.6m zinaingia bati 2 na kubaki uwazi wa 1m
Jumla ya bati nzima = 2x20x2 = bati 80 (pande zote mbili)
Bati moja vinaingia vipande vya 1m vitatu, na jumla vinahitajika vipande 40 (20 upande mmoja, 20 upande mwingine)
Jumla ya bati za kuziba vipande = 40/3 = 13.3

JUMLA = 80+13 = Bati 93


MBAO 2×4 (125pcs), MBAO 2x2 (40pcs)
Idadi ya kench = (11m/1.2m)+1 = 10
Kench moja huwa inatumia mbao mara 5 ya urefu wa tie beam
So idadi ya mbao (2×4) = (10x5x9)/3.6 = 125

Mbao za 2x2 = (11m+0.4mx2)×6×2/3.6= 39.3 (Approx 40)

MISUMARI YA BATI 15PKT
No of pkt = (92 /6)= 15

Summary
Bati 92pcs to 94pcs
Mbao 2x4 125pcs
Mbao 2x2 40pcs
Misumari ya bati 15 pakt

Uzi mzuri sana, we jamaa uko deep sana kwenye hii kitu.
 
Mkuu Mimi nataka kujenga nyumba 13.2m x 9.5m naomba unikadirie bati
Hii nyumba kwa mbele itainekana hivi au kama vipi ntaweka hanamu mbili hapo mbele.
Itabidi tuwasiliane ndg maana hapa nilikuwa natoa elimu ili kila mmoja aweze kufanya makadirio mwenyewe, in case kama mtu atataka nimfanyie makadirio hiyo tena itakuwa ni biashara
 
Back
Top Bottom