Naomba kufahamu ni namna gani naweza kujiunga na JWTZ baaada ya kumaliza kidato cha sita

Naomba kufahamu ni namna gani naweza kujiunga na JWTZ baaada ya kumaliza kidato cha sita

Dodo_55

New Member
Joined
Dec 3, 2021
Posts
1
Reaction score
0
Mwaka huu namaliza kidato cha 6 na ningependa kujiunga na jwtz baada ya hapo na inakuaje Kama sitapangwa JKT.
 
Wanasema ukienda kituo chochote ya jkt wanakupokea bila shida, mkikaa huko jkt ndio waweza bahatika kwenda huko jeshini
 
Kama autapangiwa jipeleke mwenyewe kwenye kikosi chochote kile na watakupokea, binafsi sikupangiwa wakati namaliza 6 na nilijipeleka mwenyewe kikosini na pia nikabaatika kupiga kozi ya Of cadet, Koo usife moyo chamsingi kubari yote utakayokutana nayo
Dogo inakusaidia nini kudanganya?

Eti nilipiga officer cadet nyenyenyenye..... Dah [emoji23][emoji3]

Vipi ulipata kazi uhamiaji?

 
Back
Top Bottom