Naomba kufahamu tabia za Wanawake wa kikurya.

Kwani kwangu umekosa nini mpaka unahangaika... Kumbe ni antenna au?
Wee sheendwaa smart kwani mi ni mura๐Ÿ˜!
Hapo ndio mwisho wa reli nitazungukaa weeeeee
Hapo hakuna chenye nakosa kama mziki mnenee doo ndo hatareee
nitake nini tena uweeee๐Ÿ˜›
 
Wee sheendwaa smart kwani mi ni mura๐Ÿ˜!
Hapo ndio mwisho wa reli nitazungukaa weeeeee
Hapo hakuna chenye nakosa kama mziki mnenee
Dough ipo
nitake nini tena uweeee๐Ÿ˜›
Nimeongelea wale husema hivyo... siyo wewe sweetheart...
 
Nimeongelea wale husema hivyo... siyo wewe sweetheart...
Umetishaaa...๐Ÿค 
Ukijichanganya lazima wakutoe jasho love Naimagine venye unakaza mtu hata hafeel anakuangalia tu hivi utafanyeje ?? Pamoja na Ukomando kipensi wako akili lazima ikukae sawa ๐Ÿ˜
God forbid
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usipompiga jua utapigwa wewe, kwao kipigo ni love language
 
Anhaaa weee sio kweli
Last month tulikuwa huko yaani hii Mila wanaendeleza tena vitoto vya primary tu unakuta tayariiii washatoa king'amuzi
Niambie ni maeneo gani ambayo last month kulikuwa na tohara ukuryani
 
Umetishaaa...[emoji1783]
Ukijichanganya lazima wakutoe jasho love Naimagine venye unakaza mtu hata hafeel anakuangalia tu hivi utafanyeje ?? Pamoja na Ukomando kipensi wako akili lazima ikukae sawa [emoji16]
God forbid
Muanze kutagg-iana tena sasa
 
Tufafanulie asee
 
Sifa zao na wachaga hazina tofauti sana
 

Huu ni uongo. Kama unabisha nipe mkono tushindane[emoji23][emoji23]

Hawaachi wanaume [emoji777]
Wanapenda watoto wao [emoji777]
Rough sex [emoji777]
N.B: Mostly hawana Antennae

Usioe Mkurya kama hauna mabavu ya kupambana
 
1 : Wanapenda sana kut.mbana yaani kila siku anataka.

2 : Wakorofi na Wanapenda ugomvi pia hawakubali kushindwa.

3 : Ni wachapa kazi kinoma,hawana aibu kwenye kutafuta maisha.

4 :Kuna jamaa yangu mmoja hapa wametengana na mkewe kisa mke apendi ndugu wa mume,..
 
Wana hasira sana mfano hakuna ukimuudhi, wanapenda ubabe kama wewe ni mwanaume usiye mbabembabe na mwepesi wa kupiga sikushauri uoe


Ukimuoa sahau kuachana na sahau kulala pasafi
 
Hii imeniacha hoi ๐Ÿ˜… ๐Ÿ˜… ๐Ÿ˜…
Ndio hivyo mkuu, sio kwamba ni mabinti ving'ang'anizi hapana ni mila zao. Moja kati ya mila za wakurya ninazozikubali ni hii, wazazi wakishapokea mahari binti anakuwa wa kwa mwanaume. Hii inasaidia sana mabintivkutokua na drama kwenye ndoa. Binti wa kikurya hana zile swaga za "nirudishe kwetu, nina kwetu, hujaniokota" hawana hizo mkizinguana mnakaachini mnajadili
 
Huu ni uongo. Kama unabisha nipe mkono tushindane[emoji23][emoji23]

Hawaachi wanaume [emoji777]
Wanapenda watoto wao [emoji777]
Rough sex [emoji777]
N.B: Mostly hawana Antennae

Usioe Mkurya kama hauna mabavu ya kupambana
Nipo na mkurya mimi ni mkurya.
Sijui wewe unasemaje mkuu
 
Tamaduni zao za Marathi nzuri mtoto wakike ana rithi kwa Mumewe na siyo kwao, Yani ukio msichana wa kikurya kaa ukijua ameshakuwa familia yenu na uwezi kusikia wazazi wake wamefariki akadai urithi wake.

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
 
Nipo na mkurya mimi ni mkurya.
Sijui wewe unasemaje mkuu
Mi nilioa Mkurya kutoka Rorya, nikachoma nauli yangu kwenda kutoa mahari. Rafudhi yao tu ilinitia mashaka. Kinachoniriwadha nilikula ndogo ya mdogo wake kwa hasira kali

Pia nimewahi kuwa na mpenzi wa Kikurya, tena anaitwa Mwamvita. Nitoshe tu kusema

Hapana,
Happaaaana,
Hawa ni wauaji,

HAPANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ