Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,654
- 8,564
Nikiwa zangu nimepumzika muda huu na uchovu wa pilikapilika za hapa na pale ili nipate tonge kusogeza siku,basi nimewasha tv nakutana na mtangazaji ana wahoji wafanyabiashara nini maana ya kodi na ushuru ni nini mpaka muda huu jibu halijapatikana nimeona nileta hapa jamvini ili nami nipate kuelewa kodi ni nini na ushuru ni nini?