Naomba kufahamu umri wa Bwana Kangi Lugola

Naomba kufahamu umri wa Bwana Kangi Lugola

Mkuu, hii habari nimeikuta BBC Swahili
Primary wameweka hadi 1967 -1975
Sekondari 1977-78

Wikipedia wametuwekea hii hapa.
Primary 1967-1974
Sec Katoke seminary 1975 -1977 akafukuzwa
Lake 1977 -1978.

Wanakwepa kuweka Katoke sec

John Joseph Magufuli started his education at The Chato Primary School from 1967 to 1974 and went on to The Katoke Seminary in Biharamulo for his secondary education from 1975 to 1977 before relocating to Lake Secondary School in 1977 and graduating in 1978. He joined Mkwawa High School for his Advanced level studies in 1979 and graduated in 1981. That same year he joined Mkwawa College of Education for a Diploma in Education Science, majoring in Chemistry, Mathematics and Education.[3
Maana yake JPM alianza shule ya msingi akiwa na miaka 8 (1967) na akasoma elimu hiyo kwa miaka 8 (mpaka 1974) au 9 (mpaka 1975), - sijui ilikuwaje mpaka kuwa na hiyo miaka 2 ya ziada.

Akaanza kidato cha kwanza akiwa na miaka 16 (1975) na kumaliza kidato cha 4 akiwa na miaka 19 (1978). Akajiunga Kidato cha 5 akiwa na miaka 20 (1979) na kumaliza akiwa na miaka 22 (1981) akapiga Diploma miaka 2 na kumaliza 1983 akiwa na miaka 24 na kwenda kufundisha Sengerema 1983 akiwa na miaka 23 labda ndio akamkuta Kangi yupo kidato cha 3 akiwa na miaka 20. Akamfundisha miaka 2 hiyo, 1983 na 1984.
 
Mkwawa ilikuwa ni Sekondari lakini Serikali ikaweka programu maalum ya Diploma, ukichaguliwa Mkwawa Sekondari miaka hiyo na ukafanya mtihani wa kumaliza kidato cha 6 na ukafaulu ilikuwa ni lazima uunge hapohapo kusoma Diploma ya Ualimu ya miaka 2. Hivyo ndivyo Magufuli na wasomi wengine walivyopitia, na ndio maana alisoma Shadaha baadae hata kama ni kwa kutumia matokeo ya kidato cha sita (sio ya diploma).

Hata kama unapenda kusomea Urubani, ukisoma Mkwawa sekondari ilikuwa ni lazima kwanza usome diploma ya ualimu. Baadae hii programu ilifutwa, Mkwawa ikabaki kuwa sekondari ya advance tu. Wengi waliosoma hapo waliukacha ualimu baadae kwa kusoma shahada ziziso za elimu.
Mkwawa ilikuwa ni A-Level/Chuo inayofundisha Sub Combination kama vile PM, CM, CB nk. Walikuwa wanasoma na somo lingine lililokuwa linaitwa Education, halafu wanafanya mtihani wa form six kisha wanaongeza mwaka mmoja wanasoma Education Methodology halafu wanatoka Na Diploma ya Ualimu,ukifaulu sana baada ya kumaliza JKT ilikuwa unaunganisha University. Kwa hiyo walikuwa wanasoma miaka MITATU Na siyo minne. Lengo lilikuwa kupata waalimu bora wa sekondari Na vyuo vya ualimu.
 
Mkwawa ilikuwa ni Sekondari lakini Serikali ikaweka programu maalum ya Diploma, ukichaguliwa Mkwawa Sekondari miaka hiyo na ukafanya mtihani wa kumaliza kidato cha 6 na ukafaulu ilikuwa ni lazima uunge hapohapo kusoma Diploma ya Ualimu ya miaka 2. Hivyo ndivyo Magufuli na wasomi wengine walivyopitia, na ndio maana alisoma Shadaha baadae hata kama ni kwa kutumia matokeo ya kidato cha sita (sio ya diploma).

Hata kama unapenda kusomea Urubani, ukisoma Mkwawa sekondari ilikuwa ni lazima kwanza usome diploma ya ualimu. Baadae hii programu ilifutwa, Mkwawa ikabaki kuwa sekondari ya advance tu. Wengi waliosoma hapo waliukacha ualimu baadae kwa kusoma shahada ziziso za elimu.
Mkwawa ilikuwa ni A-Level/Chuo inayofundisha Sub Combination kama vile PM, CM, CB nk. Walikuwa wanasoma na somo lingine lililokuwa linaitwa Education, halafu wanafanya mtihani wa form six kisha wanaongeza mwaka mmoja wanasoma Education Methodology halafu wanatoka Na Diploma ya Ualimu,ukifaulu sana baada ya kumaliza JKT ilikuwa unaunganisha University. Kwa hiyo walikuwa wanasoma miaka MITATU Na siyo minne. Lengo lilikuwa kupata waalimu bora wa sekondari Na vyuo vya ualimu.
 
Mkwawa ilikuwa ni Sekondari lakini Serikali ikaweka programu maalum ya Diploma, ukichaguliwa Mkwawa Sekondari miaka hiyo na ukafanya mtihani wa kumaliza kidato cha 6 na ukafaulu ilikuwa ni lazima uunge hapohapo kusoma Diploma ya Ualimu ya miaka 2. Hivyo ndivyo Magufuli na wasomi wengine walivyopitia, na ndio maana alisoma Shadaha baadae hata kama ni kwa kutumia matokeo ya kidato cha sita (sio ya diploma).

Hata kama unapenda kusomea Urubani, ukisoma Mkwawa sekondari ilikuwa ni lazima kwanza usome diploma ya ualimu. Baadae hii programu ilifutwa, Mkwawa ikabaki kuwa sekondari ya advance tu. Wengi waliosoma hapo waliukacha ualimu baadae kwa kusoma shahada ziziso za elimu.
Magu hakwenda JKT. Zamani walikuwa wakimaliza six,wanakwenda JKT then ndo chuo.
 
Aliwanyanyasa sana viongozi wa polisi. Kweli malipo ni hapa hapa Duniani. Kama ni watu wa visasi atajuta ni kwa nini alichaguliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani

Hakujua kwamba angeachia ngazi ya uwaziri na kuwaacha mapolis wakiendelea na kazi yao ya upolisi. Lakini pia hakujua polisi anaweza kuwa waziri lakini waziri hawezi kuwa polisi


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mada haina heshima wala mashiko kutokana na aina ya uchangiaji.
Wachangiaji wengi mnazingua..
Kwamba mtu wa 59 hawezi kumfundisha wa 64? Hivi mmeisahau Tanzania ya kabla ya MMEM na MMES! Kuna watu kwa bahati mbaya wanaotokea familia za wazazi wasio na mwanga wa elimu walikuwa wanasoma ni wakubwa sana. Mfano mimi wakati naenda kuanza drs la kwanza kuna mwamba alikuwa anaishi jirani yetu hana mpango kabisa wa kwenda shule maana alikuwa tayari ana hang out na washkaji flani wanafanya kazi kwenye mabasi flani kutoka wilayani kwetu kuja Mwanza. Ila mama yangu akawa kapambana akamuombea nafasi pale shuleni tukaanza nae. Bingwa alikuwa kijeba kweli kiasi kwamba kuna washkaji tuliwakuta drs la 7 ila walikuwa wakituonea tukashtaki kwa huyu mwamba anawpiga dizain hadi wanaruka madirishani wanakimbia. Imagine mtu wa drs la kwanza anampiga mtu wa drs la saba. Huyu mwamba alikuwa na umri gani jiulize. Sasa mfano dada yangu ambae mi naanza la kwanza yeye yuko la 5 angemaliza akaendelea na kuwa mwalimu asingeweza kuja kumfundisha huyu mwamba tuliekuwa nae japo kuwa sista angekuwa kamzidi kidogo au wamelingana na huyu jamaa? Zamani kulikuwa na watu wa ajabu mashuleni mtu mnasoma nae shule ya msingi ila wikend akienda kuchunga ng'ombe ndama akagongwa na nyoka au akapata shida yoyote jamaa anambeba ndama makumi ya kilomita kutoka alikokuwa anachungia hadi nyumbani, unajiuliza mtu wa hivi ana umri gani unabaki mdomo wazi
Hawa watoto waliosoma kipindi hiki unafaulu hata mzazi hashtuki *drs 7 wote wanafanya kuhamia sekondari* hawawezi kujua hii....zamani ukifaulu kwenda sekondari kijiji au mtaa wote unazizimaa na usipofanyiwa maombi au kupewa *missile* na babu yako kesho unakutwa ume - rest in peace.....by the way tulikuwa na *vijeba* na wale walituzidi umri sana tulikuwa tunaziita *njemba* zilikuwa zinapiga mkono na hata std 7 zaidi ya 4 ....sometimes watabe wa std 7 walikuwa wanakaa kikao cha dharura au kuomba assistance kutoka kitaa au shule ya jirani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana yake JPM alianza shule ya msingi akiwa na miaka 8 (1967) na akasoma elimu hiyo kwa miaka 8 (mpaka 1974) au 9 (mpaka 1975), - sijui ilikuwaje mpaka kuwa na hiyo miaka 2 ya ziada.

Akaanza kidato cha kwanza akiwa na miaka 16 (1975) na kumaliza kidato cha 4 akiwa na miaka 19 (1978). Akajiunga Kidato cha 5 akiwa na miaka 20 (1979) na kumaliza akiwa na miaka 22 (1981) akapiga Diploma miaka 2 na kumaliza 1983 akiwa na miaka 24 na kwenda kufundisha Sengerema 1983 akiwa na miaka 23 labda ndio akamkuta Kangi yupo kidato cha 3 akiwa na miaka 20. Akamfundisha miaka 2 hiyo, 1983 na 1984.
Kuwadanganya wenye akili zao ni ngumu sana.
Kwa uchambuzi ulioufanya, sio rahisi uncle kuwa aliweza kuingia primary akiwa na 8 yrs hasa ukizingia mfumo uliokuwa ukitumika kuwasajili darasa la kwanza (kuupitisha mkono wa kulia juu ya kichwa ili ushike sikio la kulia), jamii za wafugaji ambapo kipaumbele ilikuwa kuchunga ng'ombe.
Wenye taarifa za uhakika wataiweka sawa hii story
 
Nimeshangazwa sana na maneno ya Rais Magufuli wakati akimtumbua Lugola kuwa aliwahi kuwa mwanafunzi wake Sengerema Secondary wakati nikimtazama Rais Magufuli na Lugola ni kama Lugola ni mzee kuliko Magu

sasa kwa wanaojua umri wa bwana Lugola wanifahamishe tafadhari

Nimeangalia kwenye tovuti ya bunge kuwa Lugola alisoma sengerema secondary kuanzia mwaka 1981-1984 labda uchunguzi rasmi uanzie hapo kuangalia wakati huo mkemia Magu alikuwa anapiga mzigo wapi
Hon. Kangi Alphaxard Lugola

Member Type : Constituent Member
Constituent : Mwibara
Political Party : CCM
Phone : +255759300805
P.O Box : P.O Box 486, Bunda
Email Address : a.lugola@bunge.go.tz
Date of Birth : 1963-05-23
 
mitihani ya form two ilianza mwaka 1985 Kangi alikuwa form two 1982 mtihani wa form two haukuwepo, pia by then sengerema walikuwa wanaenda best pupils, asingefeli
OK sawa
 
Kuwadanganya wenye akili zao ni ngumu sana.
Kwa uchambuzi ulioufanya, sio rahisi uncle kuwa aliweza kuingia primary akiwa na 8 yrs hasa ukizingia mfumo uliokuwa ukitumika kuwasajili darasa la kwanza (kuupitisha mkono wa kulia juu ya kichwa ili ushike sikio la kulia), jamii za wafugaji ambapo kipaumbele ilikuwa kuchunga ng'ombe.
Wenye taarifa za uhakika wataiweka sawa hii story
Usajili wa kutumia kupitisha mkono wa kulia kichwani uliishia mwanzoni kabisa mwa miaka ya sitini (1962-1963 ). Kuanzia mwaka 1964 mtindo huo haukutumika tena. Mimi mwenyewe nilianza darasa la kwanza 1965 nikiwa na miaka 8 tu wala sikusajiliwa kupitia utaratibu huo pamoja na wenzangu wote tulioasajiliwa darasa la kwanza mwaka huo. Hivyo mwaka 1967 alipoanza shule Mheshimiwa Magu utaratibu huo ulikuwa haupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usajili wa kutumia kupitisha mkono wa kulia kichwani uliishia mwanzoni kabisa mwa miaka ya sitini (1962-1963 ). Kuanzia mwaka 1964 mtindo huo haukutumika tena. Mimi mwenyewe nilianza darasa la kwanza 1965 nikiwa na miaka 8 tu wala sikusajiliwa kupitia utaratibu huo pamoja na wenzangu wote tulioasajiliwa darasa la kwanza mwaka huo. Hivyo mwaka 1967 alipoanza shule Mheshimiwa Magu utaratibu huo ulikuwa haupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima yako mkuu.
Mkuu, basi huko kwenu mlikuwa na bahati. Mimi nilifanya kulilia kwenda shule baada ya kuona wenzangu niliokuwa nacheza nao wameandikishwa halafu mi mkono haukufika sikioni.
Nilichonya siku ya pili nilitoroka nyumbani hadi shuleni. Nilikuwa na umbo dogo lkn nilikuwa na akili.
Walimu walipoona nalilia shule wakaniambia niandike jina langu. Nikaandika vizuri. Nikaambiwa nihesabu hadi kumi. Nikahesabu haraka sana. Nikaambiwe nihesabu kwa makumi hadi mia moja. Nikaweza. Yote hayo nilifundishwa na dada yangu home. Basi walipoona nimefanya vizuri nikaandikishwa. Miaka walinipunguzia, waliona kama naongeza miaka vile.
Nilianza la kwanza 1986.
 
Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?
Ndioo Kuna jamaa amesoma Lushoto Diploma ya Sheria akamaliza akaunga mzumbe Degree Mbeya campus alipomaliza akabaki kufundisha,wengine aliosoma nao diploma wakaenda kufanya kazi mahakamani walipotaka kujiendeleza wakamkuta mwanafunzi mwenzao wakiwa diploma Sasa ni mwl wao kwa level ya degree. Hiyo inawezekana kwa Magu pia kamaliza form six kaenda kufundisha sengerema na kumkuta kangi yupo form three au four
 
Back
Top Bottom