mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 835
- 1,608
Mh JPM ametufundisha Sengerema Sekondary mwaka 1983 mwishoni hadi 1984...wakati huo Kangi alikuwa Form 3(1983) Mh Jpm alikuwa bado kijana mdogo wa wastani wa miaka kama 25,,,Bwana Kangi alikuwa ni moja ya wanafunzi wakubwa shuleni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app