Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Matako yanaliwa na kitu gani mkuu?Wakimuondolea walinzi kuna mapolisi watamla matako
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matako yanaliwa na kitu gani mkuu?Wakimuondolea walinzi kuna mapolisi watamla matako
Mkuyange
Wewe u hapa kufanyani ?Hivi hilo swali lina tija yeyote hapa
JPM amefundisha Sengerema sekondari mwaka 1983- 84. Akitokea chuo cha Ualimu Mkwawa.Basi Lugola alichelewa sana kuanza shule. Au alifeli la saba akarudia sana tena sana. Tatizo hawa wanasiasa utasikia tu wamesoma wapi na wapi ila miaka ipi hawasemi. Bashite nae haijulikani secondary alimaliza mwaka gani.
miaka ile siyo kma sasa mathalani mm nmesoma pembezon mwa mji.. form 1 mm nlikua na miaka 16 na ndo nlikua mdgo kabisa wakati mkubwa alikua na 28, sijui hapa unapata picha??: zaman kuna waliochelewa kuanza shule especially miaka ya 80's kuna mzee hapa anakwambia kamaliza std 7 ana 24Chuo kikuu,vyuoni huko sawa. Maana wengine wanatoka makazini. Secondary jamani ? ?????
Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?
Magu 59.Alimfundisha vipi Lugola ?
Inawezekana pia Magu hajazaliwa 1959, labda ni nyuma zaidi ya hapo
Kwani Diploma ya ualimu enzi hizo ilikuwa inasomwa kwa miaka miangapi ? View attachment 1332222View attachment 1332223
Nimeangalia kwenye tovuti ya bunge kuwa Lugola alisoma sengerema secondary kuanzia mwaka 1981-1984 labda uchunguzi rasmi uanzie hapo kuangalia wakati huo mkemia Magu alikuwa anapiga mzigo wapi
Sasa mbona Lugola amezeeka sana au kwa sababu ya kuendekeza bia & ngonoAlikuwa ni Mwalimu Sengerema Secondary.
Hapo kuna mawili, ni either mtumbuliwa alichelewa kuanza elimu au zamani kulikuwa na kautamaduni mtu akifeli darasa la saba anapewa jina la mwanafunzi mwingine pengine aliyekuwa darasa la 5 Ila hakuendelea na shule.Hivi unaweza kumfundisha uliemzidi miaka minne sekondari ?
wewe elewa moja kuwa kenge lugola kafundishwa na Rais. Ina maana huamini kauli ya Rais.!!!! Mbona una roho za kwa nini!?Nimeshangazwa sana na maneno ya Rais Magufuli wakati akimtumbua Lugola kuwa aliwahi kuwa mwanafunzi wake Sengerema Secondary wakati nikimtazama Rais Magufuli na Lugola ni kama Lugola ni mzee kuliko Magu
sasa kwa wanaojua umri wa bwana Lugola wanifahamishe tafadhari
Nimeangalia kwenye tovuti ya bunge kuwa Lugola alisoma sengerema secondary kuanzia mwaka 1981-1984 labda uchunguzi rasmi uanzie hapo kuangalia wakati huo mkemia Magu alikuwa anapiga mzigo wapi
Huyo mwamba noma.Kwamba mtu wa 59 hawezi kumfundisha wa 64? Hivi mmeisahau Tanzania ya kabla ya MMEM na MMES! Kuna watu kwa bahati mbaya wanaotokea familia za wazazi wasio na mwanga wa elimu walikuwa wanasoma ni wakubwa sana. Mfano mimi wakati naenda kuanza drs la kwanza kuna mwamba alikuwa anaishi jirani yetu hana mpango kabisa wa kwenda shule maana alikuwa tayari ana hang out na washkaji flani wanafanya kazi kwenye mabasi flani kutoka wilayani kwetu kuja Mwanza. Ila mama yangu akawa kapambana akamuombea nafasi pale shuleni tukaanza nae. Bingwa alikuwa kijeba kweli kiasi kwamba kuna washkaji tuliwakuta drs la 7 ila walikuwa wakituonea tukashtaki kwa huyu mwamba anawpiga dizain hadi wanaruka madirishani wanakimbia. Imagine mtu wa drs la kwanza anampiga mtu wa drs la saba. Huyu mwamba alikuwa na umri gani jiulize. Sasa mfano dada yangu ambae mi naanza la kwanza yeye yuko la 5 angemaliza akaendelea na kuwa mwalimu asingeweza kuja kumfundisha huyu mwamba tuliekuwa nae japo kuwa sista angekuwa kamzidi kidogo au wamelingana na huyu jamaa? Zamani kulikuwa na watu wa ajabu mashuleni mtu mnasoma nae shule ya msingi ila wikend akienda kuchunga ng'ombe ndama akagongwa na nyoka au akapata shida yoyote jamaa anambeba ndama makumi ya kilomita kutoka alikokuwa anachungia hadi nyumbani, unajiuliza mtu wa hivi ana umri gani unabaki mdomo wazi