Naomba kufahamu umri wa Bwana Kangi Lugola

Amesema ni mwanafunzi wake lakini hakusema kwa ngazi gani?labda chuo kikuu kama Kangi amewahi kusoma huko.
 
Mnasahau kwamba Mkwawa ilikuwa inaitwa Mkwawa the complex ? Mwanafunzi alikuwa akimaliza form IV akiingia hapo anasoma miaka mitatu anapata Diploma ya ualimu. Hapo ndipo alisoma JPM.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hilo swali lina tija yeyote hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…