Naomba kufahamu umuhimu wa ukasimishaji wa madaraka kiongozi wa nchi anapokuwa nje ya ofisi!

Huyu mama anapiga kazi bana acha watu wamchukie tub..2025 mama tena
 
Kuna majukumu mkasimishwaji lazima aombe go ahead, mwenye ofisilazima awe briefed kwa kila jambo linaloendelea (rejea enzi za kikwete yupo ulaya na waziri mkuu akiwa mizengo kp) Kukasimisha kwa baadhi ya ofisi ni almost a half.
Halafu hiyo ATCL nadhani nusu imekua booked na gavo means mbuzi wa musa kala shamba la musa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…