Kuna majukumu mkasimishwaji lazima aombe go ahead, mwenye ofisilazima awe briefed kwa kila jambo linaloendelea (rejea enzi za kikwete yupo ulaya na waziri mkuu akiwa mizengo kp) Kukasimisha kwa baadhi ya ofisi ni almost a half.
Halafu hiyo ATCL nadhani nusu imekua booked na gavo means mbuzi wa musa kala shamba la musa