Anaweza kuwa anajua aina fulani mfano mimi najua ule wa kukunja mdomo wa chini ila huu kumuita mtu aliye mbali hausikiki vizuri huo wa vidole ndo wenyeweHaya ndiyo madhara ya kukulia Masaki! Vitu vidogo tu kama mluzi, vinakushinda.
Kunja ulimi piga😶Ule wa kelele. Wa kuitia bodaboda.
Nenda lumumba ya ccm watakufundisha ...wewe waambie tu unataka kuwa chawa wa mikutano ya mama ..na buku 7 utapewaNaomba kufundishwa kupigq ule mluzi wa kelele kali. Achana na huu wa kuimbia nyimbo. Au kuna watu haiwezekani kabisa kupiga mluzi?
Mi ni mwanamke niliyelelewa kiume😔M
mbona aijaelewa,wewe ndo mwanamke au konda ulimshtua ili amuone mwanamke mwingine.
Hivi wewe huwa ni ke/me maana kuna mda unakuja kiume saa nyingine kike!
Jero wakati mwenzako anapewa buku 7 na ccm baada ya muda anakuwa diwani wa ccmKila mluzi utalipia jero
Kama kesha weza SA100 ajulishwe kuwa kapata chawa mpya wa kampeni za uchaguzi akamkabidhi buku 7 yakeHaya, mkono wa kuume weka kidole cha pili na cha tatu kutoka kikubwa, viweke katikati ya mdomo, yaani gawa lips sehemu mbili, puliza,
Jitahidi kurekebisha vidole mpaka upate mlio mkubwa.
Please feed me back.
Mi ni mwanamke niliyelelewa kiume😔
Kumbe nawe mtundu,huwa napenda mademu watunduwatundu.Ukiwaza kumkunja,mara migulu pande mara inyanyue naye yumo tu!daa raha sanaHaya, mkono wa kuume weka kidole cha pili na cha tatu kutoka kikubwa, viweke katikati ya mdomo, yaani gawa lips sehemu mbili, puliza,
Jitahidi kurekebisha vidole mpaka upate mlio mkubwa.
Please feed me back.
🤣umewaza mbaliKumbe nawe mtundu,huwa napenda mademu watunduwatundu.Ukiwaza kumkunja,mara migulu pande mara inyanyue naye yumo tu!daa raha sana
Atasubiri sana hapo kama mshumaa wa pasaka.Jero wakati mwenzako anapewa buku 7 na ccm baada ya muda anakuwa diwani wa ccm
Naomba kufundishwa kupigq ule mluzi wa kelele kali. Achana na huu wa kuimbia nyimbo. Au kuna watu haiwezekani kabisa kupiga mluzi?
Tupo hata wa uswazi mkuu[emoji23][emoji23]Haya ndiyo madhara ya kukulia Masaki! Vitu vidogo tu kama mluzi, vinakushinda.